Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu hii nimeipata kwenye comments za Caroline, ktk gazeti la Mwananchi la leo 1julai 10,topic husika ''Ajira sasa wazi EAC'' nanukuu: "Watanzania wote shikeni kalamu muandike maneno...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukitaka kuumiza kichwa na nchi hii basi fuatilia siasa, mimi nashindwa kuelewa kuchukua fomu ya kugombea uraisi ni sherehe na bendi zinakodishwa,na kurudisha pia ni sherehe,jamani ama ndio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hapa ni greenpoint stadium cape town...South Africa
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wapendwa polen na mihangaiko ya kila siku...kwa kweli nimeona tuabarishne kidogo\kuna haya mataa ya tazara kwa kweli yamegeuka balaa la wauwaj...mabwana hawa wanafanya wanavyotaka na wakikamatwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
THERE are many Zanzibaris who are illiterare, it was revealed here on Saturday. The Zanzibar Minister for Education and Vocational Training, Mr Haroun Ali Suleiman, said here on Saturday that...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mji wa Luanda nchini Angola Wednesday, June 30, 2010 12:36 AM Mji wa Luanda nchini Angola ndio mji ambao gharama...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Friday, June 25 Nicolas Cocaign, who was accused of torture or barbaric acts and murder preceded, accompanied or followed by another crime, will have to serve at least 20 years of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wapenzi wana JF, leo napenda tujadili suala la Mkapa na Kikwete katika awamu zao. Binafsi huwa nakaa na kujiuliza hivi ni kitu gani ambacho Kikwete amekaa ikulu na kukifanya, nakosa jibu...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hector Castro Wednesday, June 30, 2010 12:52 AM Mwanaume mmoja nchini Marekani anashikiliwa na polisi baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi kuna huduma yoyote inayofanana na mapquest Tanzania?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;"></td>...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumekuwepo na malalamiko kuwa Nyuki (Honey bees) wamekuwa wanapungua kwa kasi. Wanasayansi, wamegundua kuwa mionzi ya simu ya mkononi ni moja ya sababu kubwa ya kuingilia mawasiliano ya nyuki hasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka jana tulipata usumbufu sana baada ya mabenki kuto funguliwa kutokana na hii siku yao ya kufanya mahesabu yao ya mwaka. Tujihadhari, hamna taarifa rasmi zenye kutuelekeza tufanye nini. Wenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Source: Radio One Obuntu: Humanity asks: Kama usajili wa SIMU unachukua miaka miwili, Mradi wa vitambulisho utachukua muda gani?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
The Minister of State, Foreign and Commonwealth Office (Lord Malloch-Brown): My right honourable friend the Secretary of State for Foreign and Commonwealth Affairs (David Miliband) has made the...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimetumiwa text msg kuwa kuna ndege imeanguka punde na kugonga gari eneo la segera na barabara imefungwa. Wadau mnaombwa kufuatilia news hii ====== UPDATE: It's confirmed, ndege imeanguka eneo...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari wadau wa JF, naomba kufahamu ukweli juu ya kifo cha huyu jamaa aliyechota mabilion ya shilingi pale BoT, Mheshimiwa sana Balali hivi ni kweli alifariki au ni danganya toto? Nimediriki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutoka kwa Michuzi. HABARI ZIMETUFIKIA SASA HIVI ZINASEMA KUNA AJALI YA MAJINI IMETOKEA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM KARIBU NA FERI AMBAPO INASEMEKANA BOTI YA ABIRIA IENDAYO KASI IMEGONGA...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Meno ya Tembo yakiwa yamehifadhiwa Na mwandishi wetu, DodomaMAZUNGUMZO ya kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi jirani za Kenya na Uganda yamefanyika, ili kuzifanya nchi hizo zisiweke...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nishaurini wakuu hii gari mitsubishi airtrec inafaa kwa mazingira ya tanzania kwa maana ya spare parts, kudumu kwa gari nk pls nishaurini kwa hili
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom