Wasalaam wadau,
nimekaa nikajiuliza sana kuhusu suala la uchongaji wa mihuri unaofanyika hapa Tanzania.Ningeomba wenye ufahamu wanieleweshe kama kuna sheria inayodhibiti uchongaji huu ninaouita...
Dr Rashid aliifufua Tanesco au aliizika?
Tafakuri na Na Mbasha Asenga, Mwanahalisi
MIONGONI mwa mambo ambayo serikali ya Awamu ta Tatu inakumbukwa ni kutumia Askari wa Kutuliza Ghasia...
Mto Pangani ambao unaelekea kupoteza uhalisia wake kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.
MAJI ya Bonde la Mto Pangani (PBWO) yanategemewa na mikoa ya kaskazini mwa Tanzania na baadhi ya...
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikisikia wasomaji taarifa za habari za TBC1 wakisema ''habari hii imetumwa kwa njia ya internet''. Mimi naona kama kuna tatizo- intaneti ni njia ya kawaida ya...
WAKATI Tanzania inajipanga upya kufufua Shirika lake la Ndege (ATCL), Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la Kenya (KQ), Titus Naikuni, amesema kama Tanzania inataka shirika hilo liendelee, Serikali...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema msimamo wa...
THE SUTRA OF FORTY-TWO SECTIONS SPOKEN BY THE BUDDHA
Jointly translated in the Later Han Dynasty by the monks
Kasyapa Matanga and Gobharana from Central India.
When the World Honored had become...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Ndugu zangu, leo tena imefika, siku ambayo tunakutana kupitia safu hii, kwa hakika tumshukuru Mungu ambaye ni mwema aliyetuwezesha mimi na wewe kuwa wazima na afya...
Jamani, naombeni mnisaidie kufikisha ujumbe huu kwa Rais wangu mpendwa kuwa kuanzia leo nimeamua kubadili Jina na kuitwa Whatever Muhando; najua baadhi yenu mtashangaa ila kuna ukweli mtupu kuwa...
Dear Friends
Greetings to you all. I would like to share with you on the great quotes, that will motivate to taking a further step in our life towards our success.
1. "Life is what we make it...
Why do people have unprotected sex despite being aware of HIV/Aids pandemic?
Why do people smoke when they know that it increases their chance of lung cancer?
Why do people over eat when they...
A commuter bus negotiates through a pond on potholed Bwawani Street at Kijitonyama, Dar es Salaam, yesterday.Ironically, the street is one of those the Surface & Marine Transport Regulatory...
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut) kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki ni miongoni mwa asasi za kiraia 200 zinazokusudiwa kufutwa na serikali.
Hatua hiyo imebainika kupitia tangazo la...
Kwako kamanda mwema.tunajua kila mtu anakula urefu wa kamba yake lakini naona sasa hawa ndugu zetu trffic wanaanza kutuchafulia hali ya hewa tanzania..traffic wameanza kuwa more kibiashara...
wadau mara nyingi nimeona watu wakiadhimisha arobaini ya mtu aliyefariki, je hii ni tamaduni au ni mafundisho ya dini? je jamii nyingine duniania wana utaratibu huu.
Vigogo wawakingia kifua mawakala wa ukwepaji kodi
Ni wafanyabiashara watatu wa Kihindi
Wajificha katika kuchangia kampeni za CCM 2010
WAKATI bajeti ya Serikali inasuasua kutokana na uhaba...
Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila
Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameahidi kumfikisha mahakamani Mwanasheria Mkuu wa...
Picture of the Day Tanzania Breweries Limited [TBL] Managing Director, Mr. Robin Goetzsche [left] and Sales and Circulation Manager, Mr. Nik Brooks [centre in a furrow] join other staff to clean...
Mwananchi Jumapili
WAPO walevi na wapo walevi wanaolewa njwii. Walevi wa madaraka ni walevi njwii. Mara nyingi tumesikia msemo huo na kukubali kwa sauti moja tukisema watu wasilewe madaraka au...
Usafiri huu kwa njia ya reli ya TAZARA ndio usafiri niliotumia mara nyingi sana kutoka Mbeya hadi Dar es Salaam. Lakini usafiri kwa njia ya reli hii hautabiliki sana hasa kuhusu ratiba ya treni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.