Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Juzi nikiwa nipo home ndo nimetoka kwenye ujenzi wa Taifa hili lisilojengeka, alinijia Mke wa Jirani yangu na akaanza kunieleza hadithi ndefu ambayo kwa hakika ilikuwa ni mwendelezo wa hadithi ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Pikipiki zaua 181 kwa miezi minne JUMLA ya watu 181 wamefariki dunia kwa ajali za pikipiki katika ajali 1,414 zilizotokea kote nchini katika kipindi cha miezi minne kuanzia Januari, huku...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
HELO WANA JF TZ NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU AU VIPI UFISADI KUSHNEYY AU NDIO CHANGA LA MACHO HEBU NIJUZENI MAANA HATA SISIKII ISHU ZAKE cONQUEST-MTEMI WA VIJIWENI NI MIMI MIA HAINIPOTEI KWA MFUKO
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waziri wa Miundombinu jana, Dk. Shukuru Kawambwa. Wizara ya Miundombinu imenyooshewa kidole kwamba ndiyo imekwamisha miradi ya barabara kwa kushindwa kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hili ni eneo la Nzovwe Mbeya (Njiapanda ya Itende) ambayo imekuwa kero kwa kutokea ajali za mara kwa mara na kuua watu kadhaa kwa kugongwa na magari. Kama picha inavyoonekana mbele ni mteremko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
VITENDO vya wananchi kuvamia vituo vya polisi kwa lengo la kuwaua watuhumiwa vinazidi kushika kasi nchini baada ya wananchi zaidi ya 300 kuvamia kituo cha polisi cha Hedaru na kukiteketeza kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mpira Kwanza na Siyo Kilimo Kwanza: Footbal first and not 'Kilimo Kwanza'. Watanzania twapenda dhama hizi za 'kauli mbiu' . je wafikiri baada ya hii kauli mbiu (Impliedly it sound to be the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msemaji wa Chama Cha Jamii (CCJ), Fred Mpendazoe. Polisi katika kituo cha Karume jijini Dar es Salaam, imelikamata na kulishikilia kwa muda, msemaji wa Chama Cha Jamii (CCJ)...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kuna tangazo la maralia linarushwa na vituo mbalimbali vya TV, lengo ni kuhamasisha watanzania kutumia vyandarua. lakini kwa nini wameweka hili tangazo kwa kingereza kwa nini wasitumie kiswahili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kuna wimbi la matapeli wa fedha za kigeni nje ya maduka ya kubadilishia hizo fedha pale Posta karibu na SH Amon au Akari monoument. Juzi ndugu yangu wa karibu sana alienda kubadilisha US $...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati watanzania tukiwa na hamu ya kusubiri kuona wana brazil wakija tanzania kucheza na taifa stars...mama mmoja amejifungua njian jana mjini mwanza baada ya kukosa huduma hospital ya karume...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wadau mara nyingi nimeona watu wakiadhimisha arobaini ya mtu aliyefariki, je hii ni tamaduni au ni mafundisho ya dini? je jamii nyingine duniania wana utaratibu huu?.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wizi mtupu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HAKIKA KILA MTANZANIA ALIKUWA NA SIMANZI ALIPOONA KITU KAMA KITUO CHA POLISI CHENYE KUWALINDA WANANCHI KIKICHOMWA SASA WANANCHI WANAAMUA KUJILINDA WENEYEWE....NI KWELI TUKIO LIMETOKEA LAKINI MH...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuwalinde ndugu zetu wanaotafuta pesa kwa njia hii.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
“Those who forget the past are condemned to repeat it” Waungwana, katika pitapita zangu kwenye viwanja vya wasomi huku Ughaibuni, katika juhidi za kuongeza maarifa, nimekutana na makala ya msomi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Yassin Kayombo MAKATIBU wa CCM wa matawi mkoani Dar e Salaam, wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kugawa kadi kinyume cha utaratibu. Katibu wa CCM wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kirumbe Ng’enda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom