Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta).
Malumbano kati ya serikali na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), yamezidi kushika kasi...
Mwanazuoni maarufu nchini, Profesa Issa Shivji.
Mwanazuoni maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, ameishauri serikali iwalipe walimu mishahara mizuri zaidi ya...
By DAILY NEWS Reporters, 5th May 2010 @ 00:14, Total Comments: 3, Hits: 821
A FRANTIC final polish was being given to Dar es Salaam late last night as the hours and minutes ticked away until...
Baada ya mgomo kuyeyuka katika dk za mwisho, baada ya uhamasishaji na mabango kuandaliwa nini neno la kuondokea!
Zaidi ya taarifa za kusitishwa kwa mda mgomo wa wafanya kazi, TUCTA wamekuwa...
Mzalendo Mwenzangu
Sasa umefika wakati wa kuonyesha vitendo, nakuomba unijibu kuthibitisha
kuhudhuria kwako katika
Kikao kitaakachofanyika siku ya Jumapili 9th May 2010.
Kama unavyofahamu...
Mara nyingi viongozi wetu wamekuwa wanafiki. Katika mambo ambayo yanaendelea kumpatia sifa kimataifa Mhe. B.W. Mkapa (Rais Mtaafu wa Tanzania) ni upeo wake wa kufahamu,kuchambua na kuweka sawa...
Kambayuwayu Mimi niliyetaka kuwa Tetere
Nilisimuliwa kisa cha mbayuwayu ambaye alikuwa anaishi katika shamba la Mkulima mmoja huko Ukwereni. Mbayuwayu huyo aliishi na wenzake katika maisha ya...
kiukweli hii tamthilia ya nyongeza ya mishara haitoisha leo wala kesho kwa sababu hapa upande wa serikali unataka ulipe kidogo ili wanyakazi waendelee kutomika milele.upande wa wawakilishi wetu...
je mh Rostam kaitema hii kampuni?
Sababu ya swali langu ni sababu hali ya kampuni kila kukicha inazidi kuwa tete
- Mshahara miezi zaidi ya miwili haijalipwa sasa?
- Madeni ya kodi yanazidi...
IGP amwaga vyeo polisi, Askari zaidi ya 500 wanufaika Wednesday, 05 May 2010 22:41 0diggsdigg
Boniface Meena
JESHI la Polisi limepandisha vyeo maafisa wa kati na juu zaidi ya 200 na kuwapangia...
Zamani kituo hiki cha tv kilikuwa bora sana,habari ,vipindi nk
siku hizi wamefutika kabisa katika ushindani kwani inaboa kutazama hata live wao wanajiunga na TBC tu,hawajawahi kurusha live hata...
Women under 50 'face work stress risk'
By Adam Brimelow
Health correspondent, BBC News
A heart attack deprives the heart of oxygen, causing permanent damage
Stress at work raises the risk...
Ni mkanganyiko wa nne wa kiitifaki unaomhusu JK na mkoa huo!
MKOA wa Arusha umeingia tena katika mzozo wa kiitifaki baada ya mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mary Kisaka, kualikwa...
Meaning of Manyara - TANAPA got it wrong
By Thomas Ratsim
Manyara was formerly the name given only to the Lake with an area of 231 square kilometres In 1960s it became the name of the 329...
KATIKA GAZETI LA RAIA MWEMA Toleo No. 132 LA TAREHE 5 MEI 2010, IPO HABARI KUWA MTENDAJI MKUU WA TANROAD NDG EPHRAIM MREMA ANAWADHARAU VIONGOZI WA WIZARA YA MUINDO MBINU.
MIEZI YA NYIUMA KIDOGO...
Kwa hakika wafanyakazi wa Tanzania hatuna kiongozi, na hatutakaa tupate haki zetu hata kwa dawa. Napendekeza huyo kiongozi wetu ajiuzulu baada ya kutudanganya watanzania kama watoto. Mambo ambayo...
He was my best friend
Or that's what I called him
He was never afraid
So 'kidume' they called him
but he died..:angry:
It was this Friday
The night to Saturday
He was out on his way
To catch some...
Kwa yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika natamani VOLCANO IENDELEE KUTOKEA WAKOSE SAFARI ZA NDEGE WAENDELEE NA MIKUTANO YAO...
Watanzania wote mnaombwa hizi siku 4 ni za kumuomba MUNGU...
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu wanne kwa tuhuma ya kupatikana na silaha za mbili za kijeshi aina ya SMG zikiwa na risasi 492 kwenye treni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.