Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;"></td>...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Obama Adaiwa Kuisaliti Ndoa Yake Vera BakerMonday, May 03, 2010 3:47 AM Rais Barack Obama wa Marekani amekumbwa na skendo la kuisaliti ndoa yake kwa kujivinjari na mwanamke aliyekuwa mstari wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa onyo kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya ukataji viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasitisha mgomo uliopangwa kufanyika leo Wasema lengo kusubiri kikao cha Jumamosi Rais wake asema wanajipanga kujibu hoja Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bidhaa feki zamkera Rais Kikwete Rais Jakaya Kikwete, amesema bidhaa feki zinazoingizwa nchini, zimekuwa kero katika maeneo mbalimbali na kuwataka wadau, wakiwamo wafanyabiashara na wawekezaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani nielewesheni hawa jamaa wameanzia wapi maana kila kukicha kunazaliwa wapya au kwa kuwa uchaguzi unakaribia walikuwepo wapi miaka yote au ndio wameona makula ni hapo ha wao. maana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
K wa wale mnaopitishwa na vingora tunawashauri si mnaenda huko game kusalimiana kuchekeleana ama kusifiana suti zenu bomba mmenua nua wapi ama yale mattoto ya rwanda yana shepu jamani nawashauri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kweli karibu mgeni apone imeendelea hadi kwenye upande wa kirooho pale watanzania wanapolazimikakuamka mapema asbh na hivyo kufika mapema mjini kutokana na kukosa cha kufanya na milango kufungwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hotuba ya mheshimiwa JK aliyoitoa kwa wazee wa Dar inasemekana iliandaliwa kimakosa na watendaji wake. kutokana na habari zisizo na uhakika inadaiwa kuwa hotuba hiyo iliandaliwa maalum kwa mh...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo kweli nimeamini Watanzania wanaweza kuwahi maofisini..hakuna cha anaepanda dala dala wala mwenye gari binafsi, watu wengi leo (Wa Dar) wamefika maofisini kabla ya saa moja asubuhi..mnaonaje...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sina hamu ya kupost ,sina hamu ya kazi ...kichwa hakifanyi kazi kabisa .. May .....Jun,July August,Sept....October ......October ... Hapa sijui anawaza nini??
0 Reactions
106 Replies
9K Views
Mi nikijaribu kuangalia maisha yalivyo magumu kila kitu a ghali shilingi nayo kupata ni shida halafu mweshimiwa ndio hivyo ameshapiga bonge la bit kwa yeyote atakayegoma kazi hakuna na viongozi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi biashara zinaendelea kama kawaida au mall ndio imefungwa kupisha mkutano wa kimataifa?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
WAZEE zaidi ya 1,000 waliokuwa wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete juzi kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee walikuwa wakimshangilia mara kwa mara, lakini si Bi Asha Omary, 70, aliyekuwa kijijini...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jamani hivi Tanzania ni Dar es Salaam peke yake? Kwani kila kitu Dar, ujenzi/ ukarabati wa miundombinu ya kwanza dar, hivi ni kwanini? Ndo maana mikoa mingine haiendei kwanini lakini?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Let's face it. Men and women want different things. They think differently, talk differently and learn differently. Many women want self defense training, but they shy away from firearms training...
0 Reactions
0 Replies
857 Views
THE president of the Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA), Mr Omar Ayoub Juma (left) declares the suspension of the countrywide strike in Dar es Salaam. Right is the Acting Secretary...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kunatabia imezuka katika hizo taasisi hapo juu tunapo tuma wake zetu kufuatilia masuala labda kulipia kodi au kuomba mkopo kutoka bank,inapotokea mke wako akapangiwa ofisa mikopo mwanaume au ofisa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwanaza nakupongeza kwa hili hadharani si mwenzio kikwete analea wachafu Nec kuogopa kukosa kura asilimia 100 wakatyi ana 70 tayari za wizi Raisi wa zanzibar Mh AMANI.A.KARUME amewashangaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bunge la ubelgiji limepiga marufuku hijab maofisini mashulen na sehemu za starehe ilichhukua kama liss limoja kuamua kuafikiana hili pale baadhi ya wabunge kugoma kukualiana na hili ndpo wakatumia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom