TOPIC: THE TRUTH ABOUT BEAUTY PEAGENTS
Thanx guys 4 ur views. have bin thinking then i realised dat i started too far dats y most of u didn't understand. Here am back with a new topic, i believe...
aaaaahhh....jamani sina hata la kuwaambieni kwa jinsi nilivyowakoseni.Natumaini kila mmoja alikuwa na sikukuu njema ya Pasaka.Toka Ijumaa kuu mpaka leo kwa mimi kuikosa JF ilikuwa ni adhabu kubwa...
I have been working in East Africa and Beyond with Children, Youths and Women Initiatives. I have witnessed Children and Young girls Cry. The Child Prostitution is in the Increase in East Africa...
Mbunge wa jimbo la Nzega na mmoja kati ya wale walioitwa wapambanaji wa ufisadi Lucas Lumambo Selelii kesho saa nane mchana atahutubia wakazi wa mji wa Nzega kuonyeshwa kufurahishwa kwake na...
Baba yangu wa kambo aliniamuru niache shule ili niolewe na mzee wa umri wa miaka 77, kwa madai kuwa umri wangu ni mkubwa ukilinganisha na darasa ninalosoma, kwani wakati huo ndio nilikuwa niko...
jamani mnakumbuka enzi za chama kimoja wanafunzi walivyobadili nyimbo za chama na kuziimba vingine. mfano ''chai, chapati, maharage, mchuzi vyajenga nchi'' badala ya ''chama chetu cha mapinduzi...
Bado niko kwenye somo la imani, na leo hebu tuangalie 1Wafalme 18:42, nitanukuu,
Naye Eliya akamwambia Ahabu, Haya! Inuka ule, na unywe; kwani pana sauti ya mvua tele
Mwisho wa kunukuu...
TUCTA sasa 'yaishika pabaya' Serikali
Yasema fedha zipo, zinaliwa na vigogo
Bilioni 113.4/- zalipa posho wakubwa tu
wa wafanyakazi nchini ambao unaelekea kuungwa mkono na sehemu kubwa ya vyama...
Ninasoma kitabu kinaitwa First Comes Love Then Malaria by EVE WAITE BROWN, kuhusu Mmarekani aliyeenda kujitolea Uganda, it is a non- fiction, but also a comedic type of book, kuna very disgusting...
Wakuu nimesoma maneo fulani kuwa eti Liyumba kafutiwa baaadhi ya mashtaka?
"Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka...
Juzi juzi nilisoma mahali- sikumbuki wapi ila ilikuwa taarifa ya jinsi watanganyika wa maeneo ya mujini Ny walivyokutana na kuomboleza kifo cha Balozi Mwakawago.
Katika taarifa hiyo, ilionekana...
Takriban saa 9:05 alfajiri, tarehe 9 Aprili 2010, nikiwa ndani ya hoteli ya Aquiline iliyopo eneo la stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, ghorofa ya 5, nimeshuhudia tetemeko dogo la ardhi...
sijui hali halisi ya magereza hivi sasa...
ila nilikuwa naangalia documentary ya prison moja huko marekani nikapata wazo...
..la kujenga 'workshop' kwa kila gereza na kutoa 'training' kwa...
Many many years ago when I was twenty-three, I got married to a widow who was pretty as could be. This widow had a daughter who had hair of red. My father fell in love with her, and soon the two...
Nilifika hospitali moja kubwa iliyopo maeneo ya Mikocheni juzi, jumatatu... sikukuu ya pasaka, baada ya kuhisi nina homa kali
Niliingia chumba cha kumwona daktari nimwelezee matatizo yangu baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.