Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
WATU wanne wanaotuhumiwa kuwa majambazi wameuawa na Polisi mkoani hapa walipokuwa wakifanya jaribio la kutoroka mikononi mwa polisi. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zelothe Stephen alisema jana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
MTU mmoja anayesadikiwa kuwa ni jambazi wilayani Maswa, amewakimbia polisi waliokuwa wamemkamata kwa tuhuma za ujambazi huku akiwa na pingu mikononi. Tukio hilo lilitokea juzi wakati kundi la...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mwanamke Aliyesingizia Kubakwa Atupwa Jela Biurny Peguero Thursday, February 25, 2010 2:00 AM Mwanamke wa nchini Marekani aliyemsingizia mwanaume asiye na hatia kuwa amembaka na kusababisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakati JK akionya kuhusu viongozi wanaonunua uongozi kuna wanaomsuta kwamba hana 'moral authority' kuzungumzia suala hilo kwani hata yeye mwenyewe na watu wake wengi wanaomzunguka walipata uongozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mgogoro kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na waumini wa Kanisa la Full Gospel Fellowship kuhusu kupitisha njia ya umeme wa msongo wa Kilovoti 132 mbele ya kanisa hilo, umechukua sura...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Benki ya Taifa ya Biashara zinasema wizi mkubwa wa mamilioni ya shilingi ulioanza mwaka juzi hautokoma kwa kuwa benki hiyo imekuwa ikiwalipa watumishi wa ngazi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
UWEZEKANO wa wanawake wa mijini kupata vitambi ni mkubwa mara mbili ya asilimia 32 kwa miaka kumi ijayo tofauti na wa vijijini kwa asilimia 12 katika miaka hiyo, imeelezwa. Hata hivyo hali ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwenzenu nimeulizwa hili swali na watoto wangu niimeona ni vema kama nikipata msaada wenu kwani kwangu lilikuwa swali gumu kidogo. Swali lasema hivi:- Hivi kwa nini viumbe hai vyote vizaliwapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je ulijua kuwa ndombolo na zouk ni traditinal music ya Tanzania? je ulijua sprgheti ni chakula asili cha Tanzania? Ubalozi wetu Ukitaka ujue kama ndombolo ni muziki wa asili wa Kitanzania na...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Well done Oprah and British Airways. TWO TRUE STORIES ABOUT RACISM 1) I'm sure many of you watched the recent taping of the Oprah Winfrey Show where her guest was Tommy Hilfiger. On the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:cool:Hii ndio hotuba ya rais wetu kikwete jana isomeni na muijue msiishie kubiasha bila kutoa maoni nini unadhani ni sahihi na wapi kapiga chini: HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By Mike Thomson Today programme 12 year-old, Henri, which is not his real name, points at a large fresh looking scar on his midriff. "People accused me of sorcery and my mother believed...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
POLISI wamewatia mbaroni wanafunzi wawili wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Dar es Salaam, kwa tuhuma za kukamatwa wakiwa na mabunda saba ya mirungi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SERIKALI inatarajia kuwarudisha vyura 1,000 wa Kihansi kati ya 5,248 waliopo nchini Marekani hivi sasa katika miezi minne ijayo. Vyura 499 walipelekwa na serikali nchini humo mwaka 2000 baada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GWYNNE DYER Eagle-eyed Columnist analyses global issues BY May 1928 the basic principles of guerilla warfare...had already been evolved; that is, the sixteen-character formula: The enemy...
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Kombani awashukia walimu walevi na Ghisa Abby, Morogoro WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Celina Kombani, amewaagiza maofisa wa elimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
What Attracts Women 101 It has been a well accepted fact that men are basically clueless to whatever it is that attracts women. In fact, some reports contend that women are so hard to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Makubwa kama siyo madogo. Kelele zote, hatimaye Us blogger ajitambulisha na kuamua kujitosa kugombea Ubunge Jimbo la TEMEKE. Wakuu, maneno ya US blogger mwenyewe Bado anaendelea na kutaka mjadala...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
national examinations council of tanzania csee 2009 examination results s0713 igunga secondary school div-i = 0 div-ii = 2 div-iii = 16 div-iv = 64 fld = 37 cno sex...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na Muhibu Said 26th February 2010 Serikali imesema talaka ambazo hazitambuliwi na mahakama, hazivunji ndoa iliyofungwa kwa vile chombo pekee chenye mamlaka ya kuvunja ndoa Tanzania Bara ni...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom