Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
SAKATA LA RICHMOND Mwendo wa kuviziana ndio mtindo CCM Na Saed Kubenea HOJA za msingi hazijajadiliwa. Watuhumiwa wa ufisadi wameendelea kupeta. Vidonda vya migawanyiko vilivyokuwa vipate tiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtikila kuwaburuza mawaziri wa JK kortini Na Beatrice Shayo 28th February 2010 Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila. Mawaziri wawili wanatarajiwa kufikishwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
RAIS Robert Mugabe amefanya hafla ya siku ya kuzaliwa kwake Ijumaa iliyopita kwa gharama ya dola za Marekani 500,000 (Sh milioni 670/-), ambayo ilirushwa moja kwa moja na televisheni ya Taifa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukiwa kama mpakwa mafuta wa bwana mch mwakasege atakuwa akihubiri neno la mungu pale biafra dar es salaam,....tar 7 mapak 14 ,arch ukiwa mwana wa mungu usiache kuomba mungu azidi kumtumia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Marufuku kuwakarimu wakaguzi hesabu - CAG na Deogratius Temba MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amewataka wananchi kutowakarimu kwa namna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Biblia inasema tusiache kukusanyka kila iitwapo leo ukiwa kama mpendwa mtumishi wa bwana twende kanisani tukamwamudu mungu siku ya kesho nawatakia ibada njema
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waislamu wajizatiti kwa Uchaguzi Mkuu • Mufti aunda kamati kuwahamasisha nchi nzima na Lucy Ngowi VIJANA wa Kiislamu nchini wamehamasishwa kuchukua fomu za kugombea nafasi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Timu ya Memphis Grizzlies inayoshiriki ligi Kuu ya kikapu ya NBA, imempeleka mchezaji wake wa kati Hasheem Thabeet kwenye timu ya Dakota Wizards inayocheza ligi ya wachezaji wanaochipukia ya NBA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mh. Pinda unachofanya si kampeni? ..................................................................... Sitta, Kapuya mambo safi WANANCHI wa Urambo mkoani Tabora wamemhakikishia Waziri Mkuu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TANZANIA soccer suffered first setback when Premier League champions Young Africans crashed out of the African Champions League today after losing 1-0 on the road to Saint Eloi Lupopo of DR Congo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maafisa wa jela wakionyesha jinsi adhabu ya bakora ilivyofanyika Monday, February 22, 2010 3:23 AM Wanawake watatu wa nchini Malaysia ambao walicharazwa bakora kwa kufanya mapenzi kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MBUNGE wa Sikonge, Said Nkumba (CCM) juzi jioni alimuacha hoi Waziri Mkuu Mizengo Pinda, pale alipowapa salamu ya shikamoo watoto ili pamoja na wazazi wao wamchague tena kuendelea kuwa mbunge wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Madaktari Wapigana Hospitalini, Mtoto Afariki Dr Sinomar Ricardo alidundana na daktari mwenzie badala ya kumhudumia mwanamke mjamzito Saturday, February 27, 2010 1:59 AM Madaktari wawili wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani sidhani huuu upuuzi wa wyne bridge unafaa kuendelea kule uingereza,..huu ni upuuzi na itachukua muda kuelewa wewe umeachana na mwanamke .na mwanamke anaitaji mtu wa kumliwaza,...ati...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana nilikuwa naangalia Taarifa ya Habari nikakutana na Habari kwamba kuna Shule moja ys Secondari huko kanda ya Ziwa inaitwa Lake Wanafunzi na Walimu Wanakunya na Kukojoa Vichakani kwa Ukosefu wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Gaddafi calls for 'jihad' against Switzerland Today, 05:33 am Print Story Libyan leader Colonel Muammar Gaddafi has called for a "jihad" against Switzerland. Skip related...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilipita mtaani nikaona watu wanajadili, moja ya suala wanalojadili ni namna udini ulavyozidi kuigawanya tz, haswa wanaodhaniwa kuwa wanaonewa kuwa ni wakristo, na kwamba hawaiamini selikali ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna watu wanaochakarika na kusahau familia zao ni watanzania pamoja na kwamba maendeleo awaiifikii wachina ama wajapan Jamani hili ni wazo tu ni vyema hata kama unafanya biashara jitahidi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Friday, 26 February 2010 Circumcision: Zimbabwe's latest anti-HIV weapon By Steve Vickers BBC News, Harare Lovemore bravely looks on at the work of the doctor and nurse as they...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom