Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Polisi ivi karibuni wametangaza kikosi maalum cha kuzui uhalifu na kutoa namba ndeeefu kweli za kupiga, wamedai ukipiga tu jamaa wako fasta mara moja wanatokea kwenye tukio...sasa hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Africa needs development, not God By Leo Igwe MY attention was drawn to an article "As an Atheist I truly believe Africa needs God" published on December 27, 2008 in the Time On-line in the...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wana JF ninaomba mnisaidie kuelewa katika hili. Ninashindwa kuelewa jinsi nguzo za taa za barabarani zilizowekwa katika barabara ya Kawawa - kutoka kwa Makamba (Karume) mpaka njia panda ya Kigogo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni nani kwenye safu ya uongozi Tanzania asiye fisadi? Maana karibu kila kukicha kuna tuhuma za mafisadi wapya. Na vipi kuhusu JF? Mafisadi mpo?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
TRENET Television Kwa Sasa haiko Hewani na Nimejeribu hata kucheck kwenye Site yao ya Effatha Ministry hamna Ufafanuzi wowote juu Kusitisha kwao Kurusha Vipindi vyao. Je Kuna yoyote ana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HAWA wote ngoma droo. Jamaa hudai chao mbele kwa mbele iwe kampuni au nchi inakwenda mbele, iko pale pale au inarudi nyuma potelea mbali. Basi jinsi Obama alivyowashikia bango viongozi Waafrika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Date::3/17/2009 Baada ya tamko la polisi majambazi wapora Sh40m kweupe Dar Festo Polea na Hidaya Kivatwa Mwananchi Siku moja baada ya Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Dar es salaam...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimefuatilia kesi mbalimbali za matukio ya wizi, na ufuatao ni muhtasari mfupi wa mtiririko: Ukiiba billion 40 - hakuna kesi, hakuna anayekufuatilia, unakuwa free man. Rejea suala la Kagoda...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za Kitaifa Habari zaidi! ATCL yaomba kustaafisha 70 Gloria Tesha Daily News; Tuesday,March 17, 2009 @20:19 Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imepeleka serikalini mchanganuo wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa bank ya baclays dar es salaam amelipa gazeti la sauti ya watu siku saba kuomba radhi kwa kicha cha habari "MENGI AIIBIA BACLAYS".... limeichafua ofisi yetu na kuonekana tunaibiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAFANYAKAZI wanaokadiriwa kufikia 150 kati ya 297 wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), watapunguzwa kazi ili kuweka uwiano kati ya watumishi na idadi ya ndege zinazotoa huduma ndani ya shirika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakati naperuzi 'literature review' on the state of political economy of Tanzania over the years, nimepata bahati ya kusoma insha ya mchumi wa Kitanzania akielezea vyanzo vya umaskini wa nchi za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbwa aliyezua tafrani Z`bar apelekwa NY 2009-03-15 14:07:06 Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar Hatimaye mbwa aliyedaiwa kuwa kero kubwa kwa wafanyakazi wa hoteli ya Kimataifa ya Zamani Zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Fourth Burundian albino murdered in a month 2 days ago BUJUMBURA (AFP) An albino man was murdered and dismembered overnight in Burundi by suspected smugglers with links to Tanzanian witch...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Theopista Nsanzugwanko Daily News; Monday,March 16, 2009 @18:50 Polisi leo inaanza operesheni maalumu ya kukagua na kukamata daladala, kubaini watakaotoza nauli kinyume na utaratibu ili...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Dear JF Businessmen, We have a consignment of fragile laboratory equipments to be shipped to Zanzibara. The final destinations of the equipments are Pemba and Unguja If you are a...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Beda Msimbe Daily News; Monday,March 16, 2009 @09:00 Barabara ya Kilwa ambayo imejengwa njia mbili inakaribia kumalizika huku kituo cha mabasi kikubwa katika barabara hiyo cha Mbagala Rangi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Since,too many peole in the Forum are being too amoruos,,and since The Pope is coming to Africa today,let us remine ourselves of these rules. This Pope chose this name ,because he believed that...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
NINAANDIKA kwa niaba ya vijana wa Kinondoni Biafra na maeneo karibu ambako tunafadhaishwa na kitendo cha kampuni kubwa kama Zena Mobile phones kuvamia uwanja wetu na kutunyima nafasi ya kufanya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
If you have found yourself in a situation where the process seems to change, accountabilities are uncertain and deadlines are missing, then perhaps you have a people, process and technology...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom