Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hivi unafahamu kwamba kuna watu wengi sana miongoni mwetu ambao hutumia fedha nyingi kwa vitu au mambo yasiyo ya lazima? Kwa kadri tunavyojipatia fedha zaidi ndivyo tunavyoitumia bila mpangilio...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MWANAUME mmoja anayejulikana kwa jina la Tungaraza Harison [31] amejiua kwa kunywa sumu baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa rafiki yake kipenzi. Tungaraza alijiua kutokana na aibu aliyoipata...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
How the false hearted prey on the hopeless romantic...very sad... LAGOS (Reuters) A Nigerian undergraduate has been sentenced to 19 years in prison for obtaining $47,000 (33,382 pounds) from...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
YouTube - Tanzanian National Song
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mdau katuma kupitia maoni katika blog ya Mjengwa (under; E bwana,tutakula wapi pasaka?) kuwa serikali ina mpango kuanzia mwakani kufuta kimyakimya shule za boarding(na hii inafanyika bila...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndesamburo nusura avamiwe mkutanoni Mussa Juma, Moshi MBUNGE wa Jimbo la Moshi mjini, Philemon Ndesamburo juzi nusura avamiwe baada ya walinzi wa Chadema kumuwahi mwanamke mmoja aliyekuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
( ni kupitia mjengwablog Pichani ni jina la gazeti jipya la ' Kwanza Jamii' linalotarajiwa kuonekana nchini kote kuanzia Machi 31, 2009. Ni jarida la uchambuzi wa masuala yanayohusu na kuigusa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
zinaumiza sana. ukitaka kujua kuwa sehem ina maendeleo, wakazi wa pale hudumu eneo hilo kwa muda mrefu. mtoto anaweza kuzaliwa hapo na kuolea hapo. mahitaji yake anayapata hapo! hii ni tofauti kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mchungaji Pentekoste adaiwa kuuza kanisa, atimkia Zambia 2009-03-14 11:14:13 Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya Kanisa la Pentekoste Evangelistic Church lililopo mkoani hapa limeendelea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba niwasilishe hoja ya kuwa Jamiiforums imekuwa sasa part of mainstream media na kumbe matusi tunayotukanwa na new members wanaokuja na lengo la kupamba administration ya JK ni kutokana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
THEY ARE STILL OUR SLAVESdo not read!! Uhhhhh! I SAW THIS AND THOUGHT WE SHOULD SHARE: Greetings All, For those of you who heard it, this is the article Dee Lee was reading on a New York radio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwizi mzoefu katika kituo cha magomeni mapipa ameambulia kisago cha nguvu na kutobolewa macho yake baada ya kukwapua hereni za dhahabu kutoka kwa abiria mmoja aliyekuwa kwenye daladala iliyokwama...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
1. ...kwa hisani ya Globalpublisherstz... 2 ...kwa hisani ya Globalpublisherstz... 3.. 4. Picha zinaongea mengi! ...Inashangaza na kustaajabisha, inasikitisha, Inatisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
2009-03-14 08:55:00 More queries than answers in Ngeleja power remarks Energy and Minerals minister William Ngeleja as he addresses a press conference on the power generation in Dar...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia , as the government targeted radicals in a bid to head off potential terror attacks...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Fight corruption, improve infrastructure, pleads Mo 2009-03-14 11:37:21 By Perege Gumbo Notable mobile communications entrepreneur Dr Mohamed Ibrahim has said corruption and poor...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanandugu habarini za jioni/aubuhi/mchana kwa masikitiko makubwa;muda si mrefu nimetoka mitaa ya chalinze kwenye shuguli za kikazi;kwa bahati nashugulika na watu wa vijijini;katika pita pita ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa mitambo chakavu ya Dowans/Richmond huenda ikanunuliwa kinyemela na ingawa jambo kama hili si rahisi kwa nchi inayozingatia sheria, Tanzania chochote chawezekana. Natoa ombi kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba makamu wa Rais Dr Shein atazuru mji wa Bukoba ili kufungu kituo kipya cha Radio binafsi inayomilikiwa na mbunge wa Bukoba mjini na waziri mdogo wa mambo ya ndani Mh Kagasheki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mchungaji wa Pentekoste mbaroni kwa tuhuma za kubaka wanafunzi Na Shija Felician,Kahama RAIA mmoja wa Rwanda anayedaiwa kuwa ni Mchungaji wa makanisa ya Pentekoste Tanzania, anashikiliwa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom