Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Na Mashaka Mgeta, Dodoma Zaidi ya hundi 6,000 za malipo ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, zimeharibika na nyingine kadhaa kurejeshwa Hazina, baada ya wahusika wake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wenye simu za mkono ambazo zina uwezo wa kutumia internet, WLAN, n.k. wanaweza kwenda www.fring.com na ku download application iitwayo Fring. Fring inajumuisha applications zingine kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wengi tunaelewa kuwa, baadhi, nasema baadhi ya wandugu zetu wa Nigeria, kipindi cha nyuma wamekuwa wakisifika sana kwa ulaghai, hasa wa kuwaibia hela watu mbumbumbu au wasio na elimu ya kutosha...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
KWA mara ya kwanza katika historia ya sherehe za kuagwa kwa maofisa wa polisi nchini, makamanda wa polisi mkoa wa Mbeya na Mwanza wamezawadiwa gari kila mmoja. Ingawa jambo hili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watumishi wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakiwa wanaendelea kupiga kambi nje ya Ikulu ya Mtukufu Rais Mpendwa wa Watu aliyechaguliwa kwa asilimia 80 ya wapiga kura ambaye chama chake...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Jamani, Tutafika kweli??? Guys please take a look at this, its an embarrasment for us: http://www.crdbbank.com/BranchNetwork.asp#
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Patakuwa hapatoshi hapa bungeni Mwandishi Wetu Anne Kilango Malecela aliwasha moto mkali wakati akichangia katika mjadala wa Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Serikali Juni 19 mwaka huu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
FIFA rules out giving funds to ZFA ABDALLAH MSUYA Daily News; Saturday,July 26, 2008 @00:05 The world soccer governing body, FIFA, has clarified that the Zanzibar Football Association...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ZIMBABWEAN HOPEWELL RUGOHO-CHIN'ONO NAMED CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST 2008 Hopewell Rogoho-Chin'ono, CNN MultiChoice African Journalist of the Year 2008 : Picture by CNN. 2008...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
  • Closed
Kuna taarifa zilizothibitishwa na Mamlaka ya usafiri wa Anga Nchini (TCAA) kuwa ndege mbili ndogo zimepotea wilayani Kilwa. Moja ya ndege hizo, iliyokuwa inatoka Dar kwenda Kilwa ilikuwa na watu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yes JF, I just want your opinion on this. Would you haggle hard on the price of wedding or engagement ring for that matter?! [God forbid]...And how about over a loved one's coffin, would you...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf hivi yale mazungumzo ya Rais wetu na wananchi kila mwisho wa mwezi kupitia vyombo vya habari yamekwenda wapi???????? kuna mtu yoyote mwenye habari kwa nini Rais wetu hafanyi tena ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa, Kufuatia shughuri zangu sasa niko Iringa na ninakaa mitaa furahi maeneo ya Wilolesi. Ni zaidi ya Wiki tatu sasa tangu lundo la kufusi kumwagwa katika barabara ya mtaa wetu kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Looming land battle at the foot of `Mountain of God' CORRESPONDENT BUSINGE MWANKINA THIS DAY Arusha THOUSANDS of Tanzanians of the Maasai tribe are threatening to make a mass exodus to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania inatakiwa kufikiria kwa kina kuhusu tatizo la mafuta kwa future ya nchi yetu. Inabidi tuanze kufikiria kutumia train za kwenda mikoani za kisasa na kufungua plan za kubadilisha engine za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama wiki hivi nilisikia kupitia vyombo vya habari kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Abbas Kandoro aking'aka analipo ulizwa kuhusu michango ya secondary aliyo kuwa akichangisha hivi karibuni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeona leo tuangalie picha zinazoonesha watu wa Japan wakishehereka na kitu wanaita Hōnen festival, sherehe ambayo hufanyika kila mwaka. Sherehe hizo zilifanyika katika jumba la ibada...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wafanyakazi wa Shoprite - Kamata leo asubuhi wamegoma kufanya kazi wakishinikiza uongozi kuwaongezea mshahara na pia wanalalamikia uongozi mbovu uliopo madarakani. hadi hivi sasa bado wapo mbele...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I saw this on drfaustine.blogspot.com and thought I should share it with you. This is an article was read by a Caucasian, one Dee Lee on a New York radio station. THEY ARE STILL OUR SLAVES We...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninajitahidi ili niweze kuleta linki ya maelezo ya mpango wa AGOA-African Growth Opportunity Act ambayo ilisainiwa toka enzi za Clinton na bado wananchi hawaja wezeshwa kuitumia bahati hiyo. Ni...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…