Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Baada ya matukio machafu ya wizi na uharamia wa viongozi wa awamu ya 4 chini ya CCM , wananchi wamegundia Bungeni six anawa fix wakaamua kuchukua silaha wenyewe na kuingia vitani .Wananchi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
$1.9m later, all we get is this skewed pact! By KARL LYIMO lyimok@gmail.com THE EAST AFRICAN In a moment of utter frustration with the unsavoury relations between Zanzibar and the United...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii kali...ni kweli siku moja kabla ya ndoa gadner alilala nje ya nyumba na kimada????? Eti marlaw umewatosa masela wako baada ya kua superstaaaaaaaar sio isue babu vitu mnavyofanya kwa siri sasa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
habari zilizonifikia si muda mrefu rais wa zimbabwe MUgabe amekimbia nchi baada ya wananchi wa nchi hiyo kuingia barabarani na kuivamia ikulu. hadi sasa nchi aliokimbilia haijajulikana
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mkuu wa Idara ya Marekani na Ulaya kwenye Wizara ya Mambo ya Nje Bi. Radhia Msuya ameteuliwa kuwa Balozi Mpya wa Tanzania nchini Uingereza akichukua nafasi ya Balozi wa sasa ambaye atapangiwa kazi...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Ni vigumu kuamini......lakini si uwongo!! mambo ama mambo!! jioneeni wenyewe, http://udakudaily.blogspot.com/
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Posted Date::4/19/2008 Sakata ya Waziri bilionea Tanzania yazua maswali zaidi kuliko majibu Na Mwandishi wetu Mwananchi SUALA la utajiri wa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, linazidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Any great power Country could pick a leader in any country in Africa today, send in a modest military support force to sustain him in power, and follow this up with ten jumbo jets filled with...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Posted Date::4/17/2008 Kawawa ashangaa viongozi kumiliki mabilioni ya fedha Na Muhibu Said Mwananchi WAZIRI Mkuu Mstaafu, Rashidi Mfaume Kawawa, ameitaka serikali kuwasaka viongozi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Niko katika harakati za kulobby kamati fulani ya Bunge ili waweze kulidaka hili la Usalama wa Taifa na wakuu wa upepelezi n.k ili wajue wao walijua nini kuhusu wizi wa mabilioni, na walijua nini...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Quality ya hii kitu ikiwa bomba basi wengi tutakuwa wateja na kuzidi kuitangaza JF kila pembe ya dunia. Hongera sana Invisible.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Mwandishi Maalum SERIKALI imepandikiza chuki. Wiki iliyopita, ilitangaza kulipia mishahara ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli (TRL), ambao walishindwa kulipwa na muwekezaji aliyekodishwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jihadhari Jihadhari Jihadhari Jihadhari Jihadhari na watu hawa wa Naijeria....... wamebuni MBINU mpya ya kitapeli, na hakyanan, unaingia mtegoni kirahisi sana usipoangalia Eti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mhe Rais, Najua pressure ambayo unayo toka kwa GB na Brown hasa kuhusu suala la Zimbabwe. Wanatarajia support ya Tanzania likitolewa Azimio la Umoja wa Mataifa la kulaani Zimbabwe na matukio...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Angalia Mambo Ya Mazingira Katika Migodi Yetu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau Kama Kuna Mtu Anazo Data Atupe Ila Huu Ndio Ukweli Wa Mambo Mpaka Naingia Mtambo Sasa Hivi Yaani. Hawa Jamaa Wamegoma Wote Kabisa. Ila Sijapata Full Sababu Za Kuwasababisha Wagome...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna sababu ya kuwashirikisha wapinzani katika jumuia ya Nchi za Afrika AU ,kama vile katika mashirikisho ya Ulaya ambapo vyama wapinzani hupata nafasi ya kuweka wajumbe . Kwa ufupi vyama vyote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wana JF wenzangu, Kama kuna kitu ambacho nimechoka kukisikia katika maskio yangu ni “UFISADI!”. Kwa kipindi kirefu sana tumekuwa tukishuhudia mambo mengi yakiibuka juu ya mikataba mibovu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nilisoma maoni ya wana jf walioweza kupata nafasi ya kuandika kuhusu jk kuwa ndiye aliyetatua mgogoro wa uchaguzi wa Kenya, sikuweza kusema lolote kwa wakati huo, japo nimechelewa naomba kutoa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi kuna nchi duniani yenye sikukuu nyingi kama Tanzania?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom