👁️JINA LA UGONJWA
KUAMKA HUNA HELA MFUKONI.
👁️DALILI YA UGONJWA WA "KUAMKA HUNA HELA MFUKONI"
(a) Mwili kuchoka na kukosa nguvu, ikiwemo kupoteza hamu ya kula.
(b) Kupoteza hamu na shauku ya...
Naelewa tabu zimekuwa nyingi,
ILA,
Kwa hio Mungu ametuma manabii wenye miujiza mikuu waende Dar tu?
Kwa hio kutanguliza sadaka kabla hamjaombewa bado hamjaona kuwa ni shughuli ya kiuchumi ndio...
𝗔𝘀𝗮𝗻𝘁𝗲 𝗡𝗮𝘀𝗮! 𝘀𝗶𝘀𝗶 𝗻𝗱𝗼 𝗸𝗶𝘇𝗮𝘇𝗶 𝗞𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗮 𝗷𝗶𝗻𝘀𝗶 𝗷𝘂𝗮 𝗹𝗶𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝗰𝗵𝗼𝗺𝗼𝘇𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗿𝘀
Kwa Mara ya kwanza kwenye kizazi chetu tumeshuhudia kuona picha zikionyesha misioni za kiroboti za Nasa...
It's a very strange coincidence that only people who believe in God and gods are ever possessed by demons.
Why would a powerful immaterial being want to lock itself up in your body and make your...
Habari za jioni.
Basi tarehe 25.02.25 nguva jike akapashwa habari za ujio wa mama Samia Suluhu wilaya ya Kilindi Tanga.
Weeee! Nguva jike huyo mbio mbio kwenda Mabalanga Kilindi sehemu...
Habari zenu Wanajamiiforums.
Nimeshangaa jambo nililowahi kuliota leo limetokea live bila chenga. Mpaka mda huu bado naendelea kushangaa limewezaje kuwa sahihi.
Aisee ufahamu ni kitu tata.
Ndoto yako ukiitangaza kwa mtu au watu ni ngumu sana kuitimiza kwasababu tayari ushaitimiza kwenye matangazo yako.
Ladha ya ndoto yako itapotea pindi utakapoiweka hadharani. Hutotamani kuendelea...
Walituma text kwa watu ambao hawajachukua Vitambulisho vyao wafike office za NIDA kabla ya tarehe 28 Februari, 2025 ila utaratibu wa kukipata umekuwa mbovu sana sana haufai na sio sahihi...
👉🏾Dar es Salaam, jiji lenye giza na mwanga, limejaa ndoto na fursa zisizoisha. Lakini ni ndoto gani zinazozungumzwa na watu wanaoshindwa kutimiza malengo yao? Jiji hili linapokuja kwenye mandhari...
Tuchukulie Mfano, Kesi ya Mauaji ya Dada wa Bilionea Msuya.
Huyu Dada aliuwawa ndio, Kwa kuchinja kiasi cha mwili wake na Kichwa kutenganishwa.
Jamhuri kupitia Polisi ilikamata washukiwa, na...
Februari 8, 2025, Mwanachama wa JamiiForums.com alitoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Mkoa wa Dar na Pwani kushughulikia kero ya daladala zinazotoka nje ya Dar es Salaam...
VIDEO Francis Butoto anayesadikika kuwa na miaka 64 Mkazi wa Kijiji cha Kishanda kata ya Kibare tarafa ya Murongo wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ameuawa na kufukiwa kwenye shimo la choo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.