Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Watumishi wa kampuni ya lbl wenye tuhuma za kuendesha kampuni kinyume na matakwa ya mfumo wasiachiwe huru. wananchi walioumia kwa tuhuma za kutapeliwa wahamasishwe kujitokeza kutoa ushahidi...
2 Reactions
7 Replies
232 Views
Mfano Kuna Ps Kuna dereva Halafu kuna wewe jumla mpo watatu mnadili na boss, mmoja boss anasafiri wote mna taarifa, watatu wengine hawana akitaka kusafiri au akiondoka wewe unawapa taarifa pc na...
9 Reactions
30 Replies
559 Views
Kamari au kubet kama mnavyoita ni aina Fulani ya Laana na kama unabisha nenda kasome Vitabu vitakatifu Wanasiasa wa Tanzania hasa huku Tanganyika tuondoleeni haya makamari Nakumbuka Shehe Mmoja...
2 Reactions
13 Replies
193 Views
Habari wakuu Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma. Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na...
18 Reactions
158 Replies
9K Views
Hakika Watanzania wote wanampenda sana Mgeni rasmi Pangani Tanga na Chama chake pia hivyo aongoze na dunia. Cc: Lucas Mwashambwa
0 Reactions
8 Replies
284 Views
Nimekuwa nikipokea malalamiko sana kutoka kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wakisema kuna watu wamekuwa wakiomba Funds kwa ajili ya Taasisi zao kwa kutumia jina langu la Kiduku Lilo. Kwanza watu wangu...
89 Reactions
206 Replies
22K Views
Nashukuru sana kuwa JF na pia Max Melo kumkaribisha humu Billionea Lugano. Huyu jamaa kwa kweli amekuwa model wa vijana wengi wachapakazi hapa Nchini nadhani na nchi za nje pia ambazo kutwa kucha...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka. Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu na kaka zangu naomba nahitaji kusafirisha gari kutoka Zanzibar nahitaji agent ambaye ataisimamia gari hadi inapata usajili na number kabisa
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho...
67 Reactions
459 Replies
12K Views
Anonymous
Wafanyakazi wa Chuo Cha Mkwawa tunapitia Changamoto kubwa ya usafiri wakati wa kwenda na kurudi kazini. Uongozi wa Chuo umeweka Katazo la Pikipiki (Bodaboda), Ikiwa mfanyakazi anakuja na Pikipiki...
0 Reactions
31 Replies
761 Views
  • Redirect
Kutokana na utafiti wangu usio rasmi, hakuna mwanamke asiyejua kukata mauno kitandani kama anakunwa kisawasawa. Nilikutana na mwanamke niliyeambiwa kuwa ni gogo kitandani na ni kweli siku...
2 Reactions
Replies
Views
Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo linaniwazisha sana hasa juu ya hii mifumo ya upatu maarufu kama Ponzi schemes(kama sijakosea herufi) binafsi sijawahi kushiriki Ila naona kama serikali...
1 Reactions
20 Replies
428 Views
Nina Marafiki kadhaa huko Arusha na GENTAMYCINE huwa sipendi kuwahi Kumhukumu Mtu bila ya Kwanza kufanya Uchunguzi wangu wa Kinjagu (Kimosadi) ili Kujiridhisha. Nilichogundua ni kwamba Mbunge...
2 Reactions
1 Replies
120 Views
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hasan, Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama (Mb), Mkurugenzi Mkuu Dkt. Irene Isaka pamoja na Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko wa...
1 Reactions
9 Replies
288 Views
Omba isikutokeee sikia kwa watu
4 Reactions
9 Replies
254 Views
Vyuo vya kisekta vyote vimekufa Sasa Wawekezaji wakija wanasema wanakuja na Wataalam wao wa kisekta Hivi vyuo sijui vilikufaje kufaje mfano kile cha Bandari 🐼
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Back
Top Bottom