Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

✡Nukuu hii inazungumzia uhusiano kati ya huruma na upendo wa kweli. Huruma ni hisia ya ndani inayotufanya kutaka kuwasaidia wengine wanapokuwa na maumivu au matatizo. Kupitia matendo ya huruma...
0 Reactions
1 Replies
60 Views
Zab 92:12-13 SUV [12] Mwenye haki atasitawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni. [13] Waliopandwa katika nyumba ya BWANA Watasitawi katika nyua za Mungu wetu. Inawezakana umejenga...
8 Reactions
10 Replies
207 Views
  • Redirect
Wadau wa JF, Salaam! Hii dunia ni ya ajabu sana. Kuna jamaa anakuambia kuna mti fulani, ukiusogelea na kuuangalia tu kwa dakika chache, unanyesha noti. Wengine wanakuambia kama unataka utajiri...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Hawa jamaa wa lbl wanasema tayari wameshaweka sawa kati yao na BoT, je ni kweli? Tutaamini vipi? Na kwanini wanasema tulipie tena 50% ya daraja letu ili tuweze kufanya activation? Ila mm sina...
4 Reactions
Replies
Views
Ni January inakaribia ndyo nakumbuka kuna kitu kinaitwa efd machine na kutoa risiti kwakweli kwangu ni ngumu,syo makusudi bali ni kusahau tu. Sikumbuki huu mwaka unaenda kuisha nadhani nimeitumia...
2 Reactions
21 Replies
562 Views
1. Maana ya "Hakuna Kijiko" (There is No Spoon) Katika Matrix, Spoon Boy anamwambia Neo: "Usijaribu kupinda kijiko, hilo haliwezekani. Badala yake, jaribu kutambua ukweli... hakuna kijiko. Kisha...
1 Reactions
0 Replies
70 Views
Watanzania mambo ya msingi hawayapi kipaumbele ila mambo ya ujinga ndio wanayapa chapuo.
1 Reactions
18 Replies
410 Views
Sikutegemea ipo siku kuna chama kitaanzishwa na walimu waliokosa ajira Basi nakiri kusema kuwa tupo katika unemployment crisis. Kuna wakati waalimu hawakubaki mtaani kwa maana walikuwa on...
5 Reactions
28 Replies
556 Views
  • Redirect
Licha ya kuwa ni mpinzani mkubwa wa serikali ya Uganda, Kiongozi mkubwa wa chama cha upinzani nchini Uganda na adui mkubwa wa Yoweri Museveni, Mpaka wanafikia hatua ya kuumizana, Uliwahi kujua...
1 Reactions
Replies
Views
Ni vingi lakini hivi ni baadhi, -Mmasai albino -Mwanajeshi albino -Ambulance ikiwa sheli (kituo cha kujazia mafuta) Najua hata nyie vitinda mimba hamjawahi kuwaona mama zenu wakiwa wajawazito...
11 Reactions
58 Replies
1K Views
SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS Askari wa Mamlaka ya Wanyamapori kwa kushirikiana na TANAPA na Jeshi la Polisi wamefanikiwa kumuua fisi mmoja katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, baada ya kuingia...
14 Reactions
80 Replies
3K Views
Wanajamvi nimekuwa napita pita kwenye mitandao na mara nyingi unakutana na dawa za kurefusha uume, na kuna wakati uwa unaona watu wametoa ushuhuda kwamba ni kweli uume umerefuka. Kati ya vitu...
8 Reactions
43 Replies
8K Views
Tarehe 4/02/2025 Gavana wa Kivu Kusini Kongo alitoa tahadhari kuwa kuna uwezekano wa Kivu kusini kuzalisha wakimbizi Tanzania endapo makundi ya waasi wa Maimai na Wazalendo hawataingia vitani...
3 Reactions
14 Replies
467 Views
Wakuu habari zenu? Kuna hoja apo juu kwa upande wangu katika kuzunguka huku na huko nimekuja kupata majibu kwamba Arusha na Mwanza ni miji ambayo ukikaza kujitafuta unajipata. Nilikua na...
5 Reactions
4 Replies
205 Views
TUWE NA TAHADHARI KATIKA HILI ������ Bwana Juma ni Dereva Taxi maeneo ya Mwananyamala kwa kopa siku moja alifuatwa na jamaa mmoja ampeleke Sinza kwenye...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Habari wakuu Sijsikia viongozi wa upinzani wakiliongelea hili kwa nguvu,wala fisiemu Marupurupu kuwa makubwa yasio akisi hali ya wanaotuwakilisha ni chanzo cha kuwa na vibaraka sio tuu wa kuacha...
5 Reactions
21 Replies
506 Views
Karibuni sana wadau tuweze kujuzana na kufahamishana waliko watu hawa. Pengine waliwahi kuvuma na kuwa watu maarufu katika jamii yetu, ila Kwa sasa hawasikiki tena, na hata kutofahamika wako wapi...
2 Reactions
17 Replies
506 Views
Back
Top Bottom