Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Katika jamii yetu, imezoeleka kwamba kupata shahada (degree) na ajira rasmi ni hatua kubwa ya mafanikio. Hata hivyo, ukweli wa maisha unaonesha kwamba mafanikio ya kifedha hayategemei moja kwa...
16 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari wana JF, Hivi kuna maisha baada ya kifo? Au bado sijui maana ya kifo? Yaani babu yangu liyemzaa bibi yangu bado anaishi baada ya kufa? Kwamba hawa waliokufa wanaishi ila waneshakufa? Au...
14 Reactions
263 Replies
8K Views
itaendelea wiki ijayo...
7 Reactions
20 Replies
499 Views
Tofauti na hako katoto innocent hapo juu, hakuna cha maana tena. Too bad kakishafikisha miaka 14 kataanza fundishwa kumchukia baba yake. Modern Weak Men alafu wanakutana Modern Independent Women...
5 Reactions
8 Replies
215 Views
Benki Kuu ya Tanzania inapenda kuufahamisha Umma kuwa imebaini kuwepo kwa Majukwaa na Programu Tumizi 'Applications" zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidijitali bila ya kuwa na leseni na idhini...
15 Reactions
150 Replies
13K Views
kila mtu ana aura. Aura ni kiputo cha mwanga wa kiroho, sauti na hisia ambayo inamzunguka kila mtu. ✍️ Kupitia mbinu rahisi na mazoezi, unaweza jifunze kufahamu zaidi aura zako na za watu...
6 Reactions
39 Replies
674 Views
Sitaki kuongea sana soma hapo kisha toa maelezo mwenyewe.
2 Reactions
37 Replies
629 Views
Wana Jamvi, Nipo Moshi baada ya kitambo kirefu cha kuhudhuria hili ambalo sasa tuliite tamasha la mbio za marathon la Kili Marathon. Kwa hizi siku mbili za tamasha kuelekea kilele chake siku ya...
4 Reactions
23 Replies
520 Views
Hili limeniumiza sana Kweli karne hii bado wazawa tumeshindwa kabisa kusuka nondo na kumwaga zege kwa ajili ya kujenga barabara ili ma bus ya mwendokasi yapite. Wageni tunaowapa tenda...
5 Reactions
23 Replies
303 Views
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu. 2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo). 3...
12 Reactions
69 Replies
2K Views
Utajiri una mambo mengi magumu na mwisho wa siku unakuja kuangukia pua au kupoteza watu wako wa muhimu. Ukienda kwa mganga usimwabie nataka utajiri ila mwambie nataka mambo yangu yaende kila...
15 Reactions
72 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Katika kufunga Kuna faida zake Huenda ukaendelea kufunga na ukaendelea kubaki masikin sana usiye na tumaini wala rafiki wa kweli, wala msaada wala mfadhili...
9 Reactions
51 Replies
1K Views
Katika Jina la Yesu na wote tuseme, Amen.
1 Reactions
3 Replies
65 Views
Wadau wa Jamiiforums, Salaam! Katika dunia ya biashara, si lazima uwe mmiliki wa biashara kubwa ili upige hela ndefu. Ukiwa na akili ya mtaani (street smartness), unaweza kutumia fursa zilizopo...
1 Reactions
4 Replies
161 Views
Hii ni hatari kwa usalama endapo Bomba hili litapasuka Na ni uhujumu uchumi kama Kuna wizi wa maji. Kuna mtu hapa Kibamba Hospitali, ni mfugaji wa Samaki amefungia Bomba lenu kubwa ndani ya ukuta...
1 Reactions
15 Replies
378 Views
Wakuu ntangulize shukrani kwa wajuvi wa mambo,nikili tu kwamba mimi somo la history nilikuwa mweupe. Ila nakumbuka kama vile fuvu la binadam-nyani wa kale linapatikana Afrika mashariki. Olduvai...
2 Reactions
7 Replies
105 Views
Biblia inatoa maelezo mbalimbali kuhusu maisha baada ya kifo, na mafundisho yake yanatofautiana kulingana na mafungu ya maandiko. Hapa chini ni baadhi ya maelezo ya maisha baada ya kifo kulingana...
2 Reactions
7 Replies
221 Views
Binadamu huzaliwa, kukua , kuzeeka na baadae kufa kama viumbe wengine...lakini binadamu ndo kiumbe mwenye akili nyingi kuliko viumbe wote duniani, na ndiyo maana Mwenyezi MUNGU alimpa uwezo wa...
9 Reactions
87 Replies
7K Views
Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati. Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua. Visingizio hivi...
13 Reactions
125 Replies
2K Views
Baada ya kufuatilia tukio zima la mwanafunzi wa darasa la sita kuchapwa na mwalimu wake hadi kuumia mkono, huko mkoani kilimanjaro nimegundua mambo kadhaa toka kwenye familia yake Familia...
2 Reactions
5 Replies
164 Views
Back
Top Bottom