Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Dar es Salaam. Tarehe 24 Februari 2025: Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kudhamini Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Quran yaliyofanyika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es...
0 Reactions
1 Replies
98 Views
Yaani Mimi Si comedian, nimealikwa kuburudishwa na wachekeshaji Ili nicheke kuondoa tensions mbalimbali za wanaonipinga kazini, Sasa Badala ya Mimi kuwapa zawadi na tuzo wachekeshaji...
8 Reactions
14 Replies
403 Views
Miaka mitatu iliyopita majira ya usiku mida ya saa tatu baada ya kutoka chuoni nimepoa katika kibanda kimoja cha vinywaji baridi nikipiga stori mbili tatu na Mwanangu Tambwe. Ghafla anatokea...
58 Reactions
173 Replies
3K Views
. Ukiona mwanamme anamfungulia mlango wa gari mke wake.. Basi Jua huenda gari ni jipya ama mlango ni mbovu.. Sikuhizi mke hampigii simu mume wake akiwa kazini.. Labda awe anaulizia ile condom...
5 Reactions
1 Replies
122 Views
Uki stream DSTV HUWA HAINA TABIA YA KUSTUCK unakuta unatumia 4G speed ambayo una stream either kwa App au kwenye website kwa DSTV unachagua Highest Resolution na hai stuck. But Azam Max au...
2 Reactions
3 Replies
155 Views
1. Maisha ya Waislamu Baada ya Kufa Kwa mujibu wa Qur'an na Hadithi, Waislamu waumini wenye matendo mema wanapokufa hupata neema katika hatua zifuatazo: a) Kaburi na Barzakh Waislamu waumini...
3 Reactions
23 Replies
394 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nilikuwa naongea na Msabato mmoja rafiki yangu kuhusu Kanisa kuruhusu baadhi ya mafundisho au Imani zinazoenda kinyume na Biblia Katika mazungumzo yetu nilimtajia mambo...
2 Reactions
27 Replies
546 Views
Nimesikia baadhi ya waislam wenye uelewa finyu wanapangia watu wengine wasile hadharani kwenye mfungo wao kwanini wao ndio wasifunge hadharani. Mtu mwenye akili ndogo anazani kufunga kuna husiana...
3 Reactions
10 Replies
216 Views
Takribani miaka miwili iliyopita niliomba mkopo bank abc na walinipatia kiasi hicho cha hela.jambo linalonipa shida ni kuwa access bank ndio wanaonikata deni Hilo ijapokuwa mim sijawahi kuchukua...
1 Reactions
16 Replies
504 Views
Sababu kuu zinazofanya mataifa mengi ya Afrika kuwa na hofu au kukosa ari ya kubadilisha maarifa na elimu zao katika lugha za asili ni mchanganyiko wa sababu za kihistoria, kitamaduni, kiuchumi...
1 Reactions
2 Replies
91 Views
𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗶𝘁𝘂𝗻𝗴𝗶 𝘆𝗮 𝗚𝗲𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗶𝗸𝗶𝗮 Sehemu yoyote unayoishi ndo sehemu pa kwanza panapaswa kuwa Salama zaidi kuliko mahali pengine popote, ndo maana ukipita maeneo mbalimbali utakutana na...
1 Reactions
13 Replies
503 Views
Katika kuvutia watalii na wawekezaji, inafaa sasa tupate Zanzibar Airlines kama zilivyo Air Mauritius, Tahiti NUI Air na Fiji Airlines (Mauritius, Tahiti na Fiji ni visiwa kama kilivyo Zanzibar...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
CHUO Cha TABORA EA polytechnic kimekuwa JANGA kwa wanafunzi wanaosoma hapo kwani wanachuo wanalazimishwa kumaliza ada ya mwaka mzima ndani ya semester ya kwanza na bila hivo wasiomaliza hawafanyi...
1 Reactions
2 Replies
88 Views
Aura ni nishati au mwanga wa kipekee unaozunguka mtu, mnyama, au kitu, ambao unadhaniwa kuonyesha hali ya kihisia, kiroho, au afya ya mtu huyo. Katika imani za kiroho na metaphysics, aura...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Wakuu vp huko kwenu mshahara tayari umeingizwa wale ambao tunatumia NMb? Maana kwangu bila bila aisee
2 Reactions
12 Replies
300 Views
Binafsi sibishani na kuwafanyisha wahitimu usaili, ila nawewe fikiria kwenye angle hii kemia oral 2800 wanahitajika 541 Bailojia oral 2200 wanahitajika 511 Kwa CB aliyepita yote ni 1052 kati ya...
2 Reactions
5 Replies
182 Views
kwa sasa online radio inasikizwa zaidi kuliko vituo vya fm,hii inatoa fursa kubwa hasa kwa vijana kufikia maono yao ya kumiliki media. kwaanza kabsa unafichua mitazamo ambayo radio kubwa...
2 Reactions
17 Replies
214 Views
Kwenye maisha kuna vipindi vigumu tunapitia kama wanadamu mpaka unakaribia kukata tamaa kama sio kukata tamaa kabisa Ila ukifikiria familia yako,Hali yako ya maisha,manyanyaso na fedhea...
4 Reactions
22 Replies
359 Views
Habari za jioni wakuu. Nakuja kwenu muda huu nina shida sana na shilingi elfu ishirini na Tano. Naomba yeyote anayeweza kunipatia kiasi hicho kama mkopo wa wiki moja. Asanteni🙏
4 Reactions
61 Replies
819 Views
Zipo aina nyingi za misalaba ni somo jingine la kuchambua aina mbalimbali za misalaba Leo tuuchambue aina hii ya msalaba inaitwa ANKH. Huu si msalaba wa kawaida, bali ni Ankh, ishara ya kale ya...
2 Reactions
3 Replies
255 Views
Back
Top Bottom