Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Baadhi ya Watumishi wa NHIF Kibaha Mkoani Pwani huduma zao sio nzuri, pia lugha zao pia sio rafiki kwa wateja, nimeshuhudia hali hiyo mara kadhaa na Wateja wengi wamekuwa wakilalamika. Mfano kuna...
2 Reactions
1 Replies
449 Views
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti...
6 Reactions
53 Replies
1K Views
Pengine hadi sasa hujui, wala hujawahi kufikiria kuwa; wewe ndo hayo mabadiliko unayotamani sana kuyaona duniani. Kwa namna moja ama nyingine, umekuwa ukijichukulia kuwa mfinyu na usiye na nafasi...
3 Reactions
9 Replies
184 Views
Watu wachache wanataka wachukue mali yote ya nchi. Wanataka wachukue kila kitu: dhahabu,almasi. In fact,almasi hatuisikii kabisa. Inanikumbusha zamani nilipokuwa shule ya msingi boarding school...
1 Reactions
2 Replies
133 Views
Mmoja wa maafande ambao ni marafiki wa madereva wa vyombo vya moto ikiwemo gari na Bodaboda ni Afande Adrian Rutaihwa Kamara. Kwa sasa yeye ni District Traffic Officer (DTO) wa wilaya ya Kipolisi...
1 Reactions
6 Replies
452 Views
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo...
23 Reactions
132 Replies
4K Views
Mamlaka ya mapato Tanzania inawakumbusha walipa kodi kuwasilisha ritani na kufanya malipo ya kodi ya zuio, PAYE na SDL kwa mwezi Januari 2025 kabla au mnamo Februari 7, 2025.
1 Reactions
4 Replies
290 Views
Najiulizaga hili swali sipati jibu labda niwaulize nyie mnaodaiwa na hamtaki kulipa….? Nini kinasababisha usilipe deni?? Kwa mtu binafsi achana na mahela ya benki!
3 Reactions
21 Replies
372 Views
Nawasihi sana ndugu zangu tusiwe wepesi wakunyooshea watu vidole! Mwabukusi kafanya kazi kubwa sana inayostahili kupongezwa! Huwezi kumpima mwabukusi kwa jambo moja! Angekuwa mtu wa dili...
0 Reactions
14 Replies
337 Views
Wakuu sasahivi kumekuwa na miradi mingi inayoanzishwa na serikali, ni kama mkakati wa kuwavuta wananchi kuelekea uchaguzi mkuu, zipo kero na miradi mingi huko nyuma hakuna aliyekuwa akiitazama ila...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Ifike hatua hawa manabii wa uongo Tanzania waache kucheza na imani za watu maana wanajitafutia umaarufu kidg tu kisha waanza kupiga deals kupitia unabii mpauko. Hivi haiwezekani kuwatandika...
5 Reactions
16 Replies
405 Views
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama. Ukifika...
0 Reactions
77 Replies
22K Views
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli? Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori...
15 Reactions
218 Replies
12K Views
Wakuu hili ni swali kwa wahusika au kama kuna mdau hapa mwenye ufahamu asaidie ufafanuzi. Nina jamaa yangu hapa ana tiketi ya safari ila alitaka kubadilisha tarehe ya safari ili asafiri siku za...
0 Reactions
2 Replies
257 Views
Tafiti nyingi zimepambanua utofauti wa namna akili ya mwanaume na mwanamke; majibu ni kama yafuatavyo. 1. KUFANYA KAZI NYINGI. Wanawake wana Ubongo wenye michakato mingi. Akili za wanawake...
2 Reactions
3 Replies
810 Views
Zijue Faida za Kuwahi Kwenye Ibada Kutofika Kwenye Ibada kwa Wakati Imekuwa ni desturi au tabia ya watu wengi kutokufika sehemu fulani kwa wakati. Hili tunaliona katika maisha yetu ya kila siku...
2 Reactions
2 Replies
232 Views
Naomba hii dhana ya hofu ya mungu ifutike mara moja na isijirudie tena, mungu hutakiwi kumwogopa bali unatakiwa kumuheshimu na kumpenda kwa maana mungu siyo mbaya na Hana nia mbaya kwetu...
3 Reactions
5 Replies
131 Views
Baada ya hofu kwa muda mrefu, jana nkaamua kujilipua. Namshukuru Mungu nipo salama, nashauri tu tucheze salama hali inaenda kuwa mbaya baada ya USA kujitoa kwenye mashirika ya afya.
1 Reactions
12 Replies
402 Views
Back
Top Bottom