Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
1986: Kuanza Safari Baltimore School of the Arts Nilikulia katika maisha ya kawaida ya huko Bongo land kabla ya familia yangu kuhamia Marekani kutafuta maisha bora. Mwaka 1986, nilijiunga na...
7 Reactions
9 Replies
532 Views
Wakuu mambo ni vipi!! Natumai mmemaliza msimu wa sikuu kwa nguvu zote!! Nilitaka tushee uzoefu wa matumizi kwa msimu huu wa sikukuu!!! Kwa upande wangu nilipanga kutumia laki 6 tu, ila wiki ya...
2 Reactions
26 Replies
599 Views
Meditation (Kutafakari) ni nini? Meditation, inayojulikana pia kama kutafakari kwa kina, ni zoezi la kiakili linalohusisha kuzingatia mawazo, pumzi, au hali fulani ili kufikia utulivu wa ndani...
1 Reactions
0 Replies
311 Views
Wakuu niko kwenye final process za Kufungua Kampuni, Nahitaji Wadau mnishauri je Niwe na Namba Moja tu ya simu kwa ajili ya Mawasiliano ya Kampuni au niwe na namba zaidi ya Moja? Na Je nichague...
3 Reactions
11 Replies
311 Views
Edger Mwakalebela maarufu kama Sativa ambae anadaiwa kutekwa Dar es Salaam siku chache zilizopita amesema baada ya kutekwa alipelekwa kituo cha OysterBay. Sativa ameyasema hayo wakati akiwa...
24 Reactions
398 Replies
22K Views
Mimi kipaji changu ambacho sikitumii kabisa ni kupiga gitaa, hasa hasa gita la solo. Hiki kipaji Mungu alinipa toka utoto wangu,nilianza kwa kupiga madebe, makopo, nikapiga marimba, zeze, ndipo...
20 Reactions
68 Replies
1K Views
Jeshi la polisi wilayani Kilolo, mkoani Iringa linamshikilia mwenyekiti wa Kijiji cha Mtandika kwa mahojiano zaidi kuhusu tuhuma za kuchukua fedha kwa wafugaji na kusababisha migogoro kati ya...
0 Reactions
5 Replies
231 Views
2024 ulikuwa nimwaka mgumu sana kwangu, sijui wapi nilifeli maana kama ni kupambana nimepambana sana ila sijaona hatua nilizopiga zaidi yamaumivu tu. Mwaka huu kama Mungu atanipa pumzi na afya...
7 Reactions
18 Replies
361 Views
Sisi Wakazi wa maeneo ya Viwege na Pugu Kinyamwezi, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam tumekuwa na changamoto ya kuwa na barabara mbovu, ikinyesha mvua ndio kabisa hali inazidi kuwa mbaya kuliko...
0 Reactions
5 Replies
476 Views
Chukulia kuwa hujui Kingereza, utdhubutu kwenda kwenye nchi wasioongea Kiswahili bali English pekee bila kuwa na mkalimani? Jipe hiyo changamoto uone matokeo yake. Nenda labda Zambia au Malawi...
4 Reactions
16 Replies
450 Views
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo. Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system. Kuhani...
32 Reactions
71 Replies
3K Views
Anonymous (d4b6)
Habari, Napenda kukuandikia ujumbe huu kuomba msaada wa kutupazia sauti. Kampuni ya Betika inayoendesha michezo ya betting imeshikilia pesa za wataja wao. Pesa hizo zinahusisha miamala ya...
1 Reactions
5 Replies
250 Views
Naombeni mnieleweshe Kipindi au zama ambazo alikuwa anaishi bwana yesu kulikuwa hamna picha na huyu bwana yesu ambaye tumemuona au tanamuona makanisani picha yake ilipatikana VP? Na ukiangalia...
11 Reactions
82 Replies
2K Views
Teknolojia itumikayo katika usafiri wa anga, imenakili pakubwa kutoka katika viumbe vya asili. Ndegehai ni moja ya sababu kubwa ya ndege kupaa leo. Ukiacha mbinu za kimuundo na upaaji, sehemu ya...
2 Reactions
4 Replies
272 Views
Dr. Zaik Nakir amwesasili nchini Zanzibar na katika mahojiano aliyoyafanya amesema kuwa mhadhara atakaofanya hauna utata wowote kwani ataongelea vitu vilivyopo katika maandiko ya Biblia na Quran...
7 Reactions
52 Replies
1K Views
Wakuu habari yenu Kuna jambo ameongea Waziri wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akitahadharisha kuhusu athari ya teknolojia katika tasnia ya habari nchini, akisema inaweza...
1 Reactions
3 Replies
272 Views
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu. 1. Si jambo la kushangaza mkoani Tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia...
37 Reactions
158 Replies
14K Views
Wizara ya Mambo ya Nje ya Singapore imeandika maneno makali sani kwa wanachi wao wanapotaka kutembelea Tanzania, Tanzania inayojulikama na wanachi wengi kwamba ni nchi ya amani umoja na upondo ni...
6 Reactions
56 Replies
1K Views
Nilienda kutembea Dar es Salaam kwa dada yangu wakati wa sherehe hizi za christimass. Basi tarehe 25/12 kama kawaida tulikwenda ibadani na kurudi nyumbani,kilichofuata ni maongezi tu ya kifamilia...
181 Reactions
268 Replies
12K Views
Back
Top Bottom