Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (dd59)
Mimi ni tourist from Kenya. I recently visited Dar es Salaam. Na nilivyokuwa Dar nilipanda ferry kuelekea Kigamboni.. and back.. On my way back to the other side a certain askari hapo tu ferry...
7 Reactions
18 Replies
468 Views
Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi...
2 Reactions
3 Replies
150 Views
Mimi nikiwa na shida sipendagi shida zangu ziwe kero kwa mwengine nitajitahidi kadiri ya uwezo wangu kutafuta suluhu ya matatizo yangu , kadhalika huwa sipendi shida za mtu mwengine ziwe kero...
1 Reactions
1 Replies
124 Views
Nimebahatika kufika Kigoma siku tatu zilizopita. Nimeshindwa kuvumilia kituko cha barabara kutoka Gungu kwenda mpaka njia panda ya Kigoma mjini na Ujiji. Lakini pia Kituko cha barabara ya Kigoma...
2 Reactions
16 Replies
585 Views
1)JE? unajutia kwanini ulisomea taaluma ya kazi yako ya sasa??ulishawahi jilaumu kwa nini ulisomea kazi yako uliyonayo sasa wakati wakati una apply ulikuwa na uwanja mpana wa machagua ya fani...
3 Reactions
9 Replies
232 Views
https://youtu.be/3wH7JczHt78?si=UKqap7gXCoR_d7RX
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Inasikitisha sana majengo yetu ya ferry za Magogoni na Kigamboni kuwa kama mahabusu. Ndani mnalundikwa utadhani mbuzi wako Vingunguti wanasubiri kuchinjwa. Hamna viburudisho wala miundombinu...
2 Reactions
9 Replies
241 Views
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad Yaani hizi...
45 Reactions
424 Replies
8K Views
Polen najua nawachukulia mda WENU kufurahia MWAKA mpya Kumekuwa na ajali za ajabu sana MWAKA mpya ambapo Kama kungekuwa na upimaji wa vilevi huko njian walipotokea Tungeeweza kuthibiti vifoo...
3 Reactions
11 Replies
221 Views
Hamjambo wana JamiiForums Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
Mtu mjinga sana anaweza kupata mafanikio makubwa katika jamii mfano kuwa tajiri au mtu mkubwa sana katika siasa, biashara na sanaa katika jamii?
10 Reactions
66 Replies
1K Views
𝗠𝗔𝗚𝗔𝗭𝗘𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗝𝗔𝗣𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗕𝗘𝗚𝗨 𝗨𝗞𝗜LI𝗧𝗨𝗣𝗔 𝗟𝗜𝗡𝗔𝗞𝗨𝗔 𝗠𝗠𝗘𝗔 Inawezekana umeshangaa naam Japan ili kuondokana na uchafuzi wa mazingira waliunda magazeti ambayo yana mbegu ukifanikiwa kusoma na...
4 Reactions
12 Replies
458 Views
https://youtu.be/9kXhJgeaBms?si=DL79cRrrlihd_3Z0 Mm ni mbunifu hivo nabuni kulingana na mazingira yangu Wakosoaji ruksa
1 Reactions
4 Replies
208 Views
Mwaka mpya, iwe wa Hijria au wa kawaida (Gregorian), ni fursa muhimu kwa Muislamu kujitathmini, kufanya maamuzi mapya, na kujikurubisha zaidi kwa Mwenyezi Mungu. Quran na Hadithi zinatoa miongozo...
1 Reactions
15 Replies
308 Views
Tanzania ni nchi iko vizuri kivita zikiwemo za kiroho Osama na Gadafi ns magenge yake na pesa zao .Tanzania walikwama na future zao zikaishia Kuna huyu mhubiri wa Kiislamu anaitwa Naik kaja...
2 Reactions
10 Replies
266 Views
Incase kuna ambaye amesalia kuwatakia mwaka mpya basi naomba niwe mimi,. Happy new year Founder Maxence Melo na Uongozi wako mzima wa JamiiForums Active Wand Moderator Payge Paw Mhariri Na...
2 Reactions
6 Replies
157 Views
Mzazi unataka nikujengee nyumba kubwa nikununulie na usafiri, haya unayoyahitaji kutoka kwangu sijui kama uliwahi kumfanyia mzazi wako hata robo yake, mmekuwa ni watu wa kututishia kutupa laana na...
7 Reactions
12 Replies
218 Views
Jeshi la polisi Tanzania hasa ngazi ya juu, Nyarugusu Geita kunatisha kwa mauji ya watu kuchinjwa. Nyarugusu Geita ni kata Ambayo inapatikana mkoa wa Geita wilaya ya Geita vijijini wakazi wake...
3 Reactions
8 Replies
481 Views
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mgogoro wa ardhi baina wakazi wa Tungutungu Kata ya Mapinga Wilaya ya Bagamoyo pamoja na “kigogo”, nimefika mara kadhaa eneo hilo ni vilio vilio. Mgogoro huo...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari za jioni. Aisee! Leo nimenunua gari langu la kwanza aina ya Altezza kwenye Yard fulani maeneo ya Fire Dar. Kwakuwa najua kuendesha hata kabla ya kumiliki nikakamua wese mpaka Tegeta...
13 Reactions
30 Replies
935 Views
Back
Top Bottom