Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu \ Kidole kimoja hakivunji chawa JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA) Huwa Najiuliza je, Muungano wetu TANZANIA ni kweli...
3 Reactions
2 Replies
139 Views
Waziri wa Maji na Mbunge wa Pangani, Jumaa Aweso, ameungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika hafla ya Maulid ya Mtume iliyofanyika kijijini Kwa Mndolwa, wilayani Korogwe, mkoani Tanga. Hafla...
0 Reactions
3 Replies
183 Views
Nilipata nafasi ya kutembelea Soko la Makangarawe lililoko Buza, soko ambalo kwa nje linaonekana limejengwa kisasa, lakini hali ndani inasikitisha na kuzua maswali mengi. Soko la Kisasa, Lakini...
2 Reactions
13 Replies
654 Views
Hili ni jambo ambalo kama mimi ningekuwa kiongozi basi ningelivalia njuga na kulitatua haraka. Majanga yapo na iko siku yatatokea tu, Kujiandaa siyo Uchuro. Bajeti ya Nchi imeegemea sana kwenye...
17 Reactions
126 Replies
2K Views
Sijui inflation rates, sijui GDP, sijui unemployment rates, sijui exchange rates, hayo yote they mean katika uhalisia wa maisha ya ukweli yaliyopo mtaani. Mara nyingi hizi rates zinakuwa...
2 Reactions
4 Replies
166 Views
Siku nyingine jengo likianguka na watu kunaswa kwenye underground, njia rahisi ya kuwatoa kwa haraka ni kuchimba shimo pembeni ya jengo (barabarani), kisha lilishafika kina cha usawa wa...
12 Reactions
23 Replies
989 Views
Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo home.
22 Reactions
661 Replies
75K Views
Salaam, Shalom!! HAKIKA Donald Trump ni mtumishi wa Mungu aliye juu, Hivi Leo ametangaza vita na Taasisi zote zinazojuhusisha na kubadili JINSIA Kwa wamarekani akidai hii ni kinyume na mapenzi...
1 Reactions
2 Replies
255 Views
Ninasikitishwa sana na waandishi ambao hawana weledi..badala ya kuhabarisha umma wao wanatoa maoni yao. Unaposhauri kupelekwa kwa vyoo mjongeo eneo la kariakoo sisi wataalamu tunakuona ni kituko...
1 Reactions
3 Replies
287 Views
Nassor Athuman akizungumza kile alichokishuhudia baada ya kutoka eneo ambalo jengo limeanguka Kariakoo, Dar es Salaam. Nassor amesema ameshuhudia watu 10 hadi 15 akiwa chini bila ya kuweza...
1 Reactions
0 Replies
330 Views
WANAFUNZI WA KICHAWI WANAPOKUWA INTERNSHIP "FIELD" AU KWENYE MAFUNZO KWA VITENDO. Anaandika, Robert Heriel Baada ya kupokea kozi fupifupi au ndefu katika taaluma ya Uchawi na ulozi ni muhimu...
9 Reactions
46 Replies
5K Views
Maana mpaka saivi sijaona kiashiria cha uhakika kwamba .maisha yetu siyo ya kibahati bahati tu . Hamna kitu ambacho tuna uhakika nacho ( kuna vitu wanasemaga uhakika ila na vyenyewe ni bahati tu*
1 Reactions
5 Replies
206 Views
Kwema wakuu? Asee Latra mtuhurumie watanzania wenzenu, toka mwaka huu uingie nimeona wananchi wa Mwasonga wanateseka sana nauli inapanda bila sababu za msingi. Zamani nauli ilikuwa 500 tu hadi...
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Teknolojia na Zana za Uokoaji Katika Majanga ya Kuporomoka kwa Majengo Majanga ya kuporomoka kwa majengo ni moja ya changamoto kubwa zinazohitaji hatua za haraka, ushirikiano, na matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Kuna hali mbaya inaendelea huku vijijini baada ya sheria, kanuni au amri ya kukataza wananchi wanaoenda vituo vya kuuzia mafuta na dumu au galoni wasiuziwe mafuta. Hii sheria au amri...
19 Reactions
83 Replies
4K Views
GTs, Nawaza sana wenzetu wanavyoumia kwa kukosa hewa na kibaya mitungi ya oxygen ipo pale Muhimbili, inakuwaje haijapelekwa Kariakoo kutoa hewa safi kwa wahanga waliokwama chini ya vifusi??
1 Reactions
15 Replies
457 Views
Baada ya jengo la Kariakoo kuanguka, ni wazi kuwa Tanzania tunapaswa kuanza kuthamini masuala ya mipango miji. Inasikitisha kwamba mwaka 2024 bado tunaona nyumba zikijengwa kiholela, maeneo ya...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Kauli kwamba "Mungu ni maji" ina maana tofauti kulingana na muktadha na imani ya mtu. Kwa kawaida, hii si kauli ya moja kwa moja kutoka kwa maandiko ya kidini, lakini inaweza kueleweka kwa njia...
1 Reactions
4 Replies
548 Views
💀Mzimu wa Pontianak kutoka Malaysia Pontianak ni mzimu kutoka Malaysia mzimu huu ni wa mwanamke aliyekufa wakati wa kujifungua. Mzimu huu wa mwanamke mara nyingi hujigeuza kuwa msichana mrembo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Basi tutakuwa na vichwa vigumu sana 1.kwa tathmini ya haraka haraka ni majengo mangapi mpaka sasa kariakoo hapo hapo ujenzi unaendelea na biashara bado zinafanyika papo hapo? 2.Tunachukua hatua...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Back
Top Bottom