Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Joshua aliomba Mungu asimamishe jua, ingawa hakuwa na uelewa wa kisayansi kwamba ni dunia inayozunguka, siyo jua. Lakini pamoja na ufinyu wa uelewa wake, Mungu alijibu ombi lake, na usiku...
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Nikiri Vodacom umekuwa mtandao Bora kabisa wa simu Ila kwa Sasa umekuwa na Changamoto Kwanza internet yao imekuwa slow sana unaunga bando muda unaweza kuisha hajamaliza , Baada ya waziri yule...
1 Reactions
2 Replies
156 Views
Hii nchi ya Lebanon kila siku naisikia iko vitani na Waisraeli au migogoro ya siasa za ndani kwa ndani kati yao wenyewe ila nimeshangaa masoko yao yana tiles! Sisi tunashindwaje kuweka hata zege...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Mhadhara (53)✍️ Binadamu anapaswa kuwa na huruma kwa binadamu mwenzake, lakini ahakikishe huruma yake ina kiasi. Usiwe na huruma kupita kiasi kwani unaweza kuwakaribisha na kuwalea adui hatarishi...
1 Reactions
1 Replies
190 Views
Tanzania ni Nchi yetu sote hivyo ni wajibu wa kujivunia vivutio vilivyomo. Mlima Hanang uliopo Katesh manyara ni mlima wa Saba Kwa urefu hapa Tanzania Nikiwa viunga vya huko niliona Nami...
77 Reactions
203 Replies
7K Views
Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024. 1.Wengi wanapata hii msg “Your verification has been passed successfully ,regular visit...
0 Reactions
0 Replies
291 Views
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nini?
41 Reactions
247 Replies
24K Views
Sijui heading ipo sawa au laa ila ninachokusudia ni zile process za kuvutia umeme majumbani. Huwa sipendi kubahatisha nikauliza mtu wa TANESCO kuhusu umeme nikaambiwa cha kwanza piga wiring ndipo...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga. Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura...
27 Reactions
115 Replies
7K Views
Kimbunga kikali kimezua taharuki katika Mji wa Babati mkoani Manyara, video ikionesha matanki tupu ya maji yakirushwa angani. Huko kwenu kimbunga kama hiki mnakiitaje?
2 Reactions
15 Replies
649 Views
Wakuu makazini mambo ni mazito. Hasa private yaan umbea, unafiki, kuzushiana maneno,kuchongeana kwa boss, kuchunguzana na kuharibiana kazi kupo saana. Mtizamo wangu labda serikalini hayapo haya...
14 Reactions
91 Replies
2K Views
Anonymous (eda0)
Habari! Tunaomba serikali ya Wilaya, mkoa na hata Wizara inayohusika kuingilia kati sintofahamu iliyopo soko la matunda na mbogamboga Msufini - Singida, kati ya wajasiriamali na wenye eneo...
0 Reactions
9 Replies
332 Views
https://youtube.com/shorts/DpPJZGaVFcs?si=XCZWQgMv64KBOJOR
4 Reactions
15 Replies
710 Views
Jamaa anaitwa Bollen Ngeti kada wa CCM aliyekuwa anamkosoa Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, mfuasi wa Membe na alikuwa anaibua hoja jadidi na kuntu, yuko wapi? Nimejaribu kutazama...
2 Reactions
7 Replies
404 Views
Siku hizi sio kitu cha kushangaza kusikia muumini wa RC au KKKT akikwambia kuwa now yupo kwa mtume na nabii......au kahamia kwenye kanisa la askofu. kupata huduma za maombezi ya kiroho. Nini...
2 Reactions
100 Replies
12K Views
Habari zenu wanakijiji cha Jamii Forums leo bhana nimewasogezea Ibada 3 za kingono zinazofanywa kimila na baadhi ya jamii barani Afrika.. lengo la hii thread si kwa nia ya kuchafua jamii hizo au...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu hope mko poa Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa...
16 Reactions
437 Replies
73K Views
Kupanga ni kuchagua na kuamua ni uhuru, ukiachana na siasa raha sana, maisha burudani haina mbaya haina noma sana. Kaa mbali na noma za utekaji kuna maisha baada ya siasa, Pang Fung Mi
4 Reactions
9 Replies
256 Views
Toka nchi hii uanze kutekeleza miradi ya Maendeleo ni muda mrefu na miradi mingi ya kimkakati imetekelezwa ,ikiwemo pamoja iliyotekelezwa na wakoloni mfano mradi wa Reli ya Kati. Ukiachana na...
16 Reactions
67 Replies
2K Views
Hivi kipindi hiki cha upungufu wa maji. Kinachosababisha upungufu wa uzalishaji wa umeme. Kukabiliana na hili kwann kusiwe na njia za dharura kama. Ukame husababishwa na jua kali kwa kipindi...
2 Reactions
8 Replies
645 Views
Back
Top Bottom