Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Tunaomba mrejesho kuhusu ujenzi wa barabara za kata ya kitunda kama tulivyoahidiwa kutoka Banana kwenda Kitunda, Magole, Kivule, Hospitali ya wilaya kivule, Magole, Mwanagati, Msongola nk...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wananchi wa Buchosa na Geita hatimaye wameondokana na kero ya usafiri baada ya ujenzi wa daraja linalounganisha Halmashauri ya Buchosa na Kijiji cha Lubanga, Wilaya ya Geita kukamilika. Mbunge wa...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Timu Maalumu inayo ongozwa na Prosper Alexander Kisinini mwanasheria wa Serikali imetinga wilayani Mbarali kwa Mafunzo yaliyoandaliwa na wizara ya katiba na Sheria kwa lengo la kuwajengea uwezo...
1 Reactions
0 Replies
39 Views
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma. Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu. Kwaresma ETI wanafunga ili...
8 Reactions
84 Replies
1K Views
  • Redirect
Nipata nakala ya kitabu chake nikapitia ila tokea kutolewa uwezi sikia wala kuzungumziwa kuanzia hapa JF wala kwenye mijadala yoyote. Ili yaliyomo yanatisha kwenye nchii na ndio maana wanatumia...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wapendwa… Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache...
1 Reactions
22 Replies
291 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha kuwa utoaji wa mikopo kwa wananchi unazingatia makundi yote...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James ametoa siku 14 kwa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani humo kuhakikisha wanatimiza majukumu yao...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua...
1 Reactions
3 Replies
377 Views
Kama umeajiriwa/umejiajiri haina haja ya kumpiga vibuti bwana yako kila mara. Kama umeajiriwa/umejiajiri toa kwa moyo na jitihada as much as bwana yako anavyozitoaga ili kukidhi bills na costs...
1 Reactions
5 Replies
97 Views
Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya. Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu. Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo...
16 Reactions
314 Replies
5K Views
Hapa kuna orodha ya nchi zinazoongozwa kwa sera za kidini au ambazo dini ina ushawishi mkubwa kwenye serikali na sheria za kitaifa. Nimezipanga kulingana na dini husika: 1. Uislamu (Nchi za...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nasema Kwa dhati ya moyoni ndugu zetu ni wakarimu sana kutuzidi. Mimi ni Mkiristo lakini nitumie fursa hii kuwapongeza sana Waislamu walio kwenye mfungo Kwa kuonyesha...
7 Reactions
29 Replies
417 Views
Je, Wazalendo wa Kweli wa Tanzania wakiongozwa nami GENTAMYCINE tukienda TRA kuona kama wanalipa Kodi tutajua?
5 Reactions
25 Replies
670 Views
Back
Top Bottom