Kama kichwa cha habari inavyojieleza apo juu, kuna watu tofauti tofauti katika makuzi yao au miangaiko ya kila siku wamepata kujua baadhi ya formula ya kutengeneza dawa mbalimbali za asili...
WAkuu kutokana na tigo kupiga lock baadhi ya vpn zilizokua zinatrend hapa kati basi imeniwia vigumu kwa upande wangu,kwahivyo kwa yeyote mwenye vpn ya bule kwa sasa naomba anitumie inbox...
Wenye akili tunajua na ushahidi tunao ya kwamba ili udumu na mwanamke katika mahusiano lazima uwe dikiteta au jasusi kwake (hata wao ndivyo wanavyotaka) lakini ukijifanya lofa na kujifanya eti...
Wakuu nimeona nitie neno kwenye hii festival inayotarajiwa kuanza kesho huko Arusha kwa jina la Land Rover Festival. Binafsi nimetazama hili jambo nimeona lina kasoro kubwa. Kimsingi watanzania...
Mimi napenda kunawa mikono kwa sabuni nikifika tu nyumbani kutoka kwenye mishemishe. Sijui ilianzia wapi ila it came automatically na imeshakuwa sehemu ya maisha yangu. Wewe je?
Matokeo yameonekana,
Makonda kua Arusha sio bahati mbaya,
Makonda ana vitu vingi kichwani, sehemu kama Arusha inatakiwa iwe busy ipokee wageni wengi na pesa Ibakie pale.
Duniani kote habari za...
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Vyoo vilivyopo eneo la Desemba hapa Arusha, ni Katikati ya Mji lakini inatia kinyaa kwa jinsi hali ilivyo.
Ndani ya jengo la Vyoon hivi kuna baadhi vina nafuu na...
Serikali inaendelea na ujenzi wa miundombinu bora ya barabara na madaraja ya kisasa ili kupunguza ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikikatisha uhai wa wananchi wengi.
Hayo yameelezwa na Naibu...
Kumbe mtu unaweza toka bonyokwa ukaenda kujiandikishia boko au masaki na usiulizwe kitambulisho wala ulikotoka/unakaa wapi ,yaani shida yao ni majina yako matatu tuu hata ukidanganya naitwa...
Najua humu ndani naweza kupata msaada wa namna ya kudai mishahara yangu iliyozuiliwa kwa muda wa miezi nane huku nikiendelea na kazi.
Mshahara wangu ulizuiliwa baada ya kutokuwepo kazini kutokana...
Serikal mara kwa mara kupitia wizara yake ya afya imekuwa ikijinasibu iko karibu na tiba asili na wamekuwa wakijal na kuendeleza tiba asili hapa nchini kitu ambacho kwa upande mmoja si kweli hata...
Prof Mkenda unapofanya mabadiliko ya mitaala na mambo mengineyo basi na adhabu ya viboko kwa kidato cha tano na sita ifutwe maana wale ni watu wazima.
Haiwezekani wanamaliza form iv pamoja, mmoja...
Maisha yamekuwa na kaida ya kutupitisha kwenye changamoto mbalimbali iwe kwa kuzivutia mwenyewe au ziwe zimejivutia zenyewe ila hakuna namna waweza ishi pasi na changamoto.
Kuna changamoto...
Mtu Mmoja aliyefahamika Kwa jina la Yona Andrea (47) Mkazi wa kijiji cha loltepesi kata ya Sunya wilayani kiteto Mkoani Manyara, ameuwawa Kwa kupigwa na kitu kizito na watu wasiojulikana huku...
Leo nimeipata kusoma mkataba na kumsikiliza Wakili Nguri hapa, Tanzania Nikafikirisha akili yangu nikagundua Watanzania Wezetu ndio wanaotuingiza kichaka kwa ku Saini Mikataba Mi bovu.
Pia huo...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry William Silaa (Mb) amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), na kufanya maboresho ya...
Wasalam,
Jana, juzi na majuzi niliitwa na ndugu huko Mbezi. Japo wao kidogo wapo vizuri yaani ni wa kishua kiufupi.
Kama kawaida mgeni wa kiume basi utakua temporary chumba cha watoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.