Ugonjwa wa Couvade, pia huitwa huruma ya mimba ni hali ambapo baba kijacho hupata baadhi ya dalili na tabia kama za mpenzi wake mjamzito.
Mara nyingi ni pamoja na kunenepa, viwango vya homoni...
Mtu yupo kanisani au msikitini kavaa jezi ya Man Utd.
Mtu yupo harusini au msibani kavaa jezi ya Yanga.
Mtu kaendda kufata huduma ofisi za serikali, kaenda kupiga passport kwa ajili ya...
Tamasha la Land Rover limefanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mkoani Arusha leo 12 Oktoba 2024.
Arusha ni kitovu cha utalii Afrika Mashariki zaidi ya magari 1,000 ya Land Rover...
Kila kitu kilikua kinaenda vizuri kama alivo mpanga kwasababu mshahara wake ulikua unamtosheleza mpaka pale alipo kopa 31m kufanikisha sherehe ya harusi yake, ili apate social class status kama...
Kwako kamishna Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
Napenda kukujuza tu lile zoezi la Mara Tarime liendee
Hali si nzuri mashamba ya bangi ni mengi yakiwa na...
Malalamiko yangu ni kuhusu uhamisho kwa Watumishi wa Umma, kuna baadhi ya mikoa mfano Mkoa wa Kilimanjaro na Lindi viongozi wetu wanakataa kupokea barua za Watumishi wanaotaka kuhama kwa...
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezungumza mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu kwenye ufunguzi wa Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini leo tarehe 13 Oktoba, 2024...
Kuna baadhi ya Halmashauri zinakwamisha juhudi za Serikali kwa makusudi ili ionekane Serikali haifanyi kazi.
Povu langu ni kuhusu mfumo wa uhamisho Serikalini, kubadilishana kwa Watumishi...
Habari JF members
Mimi ni mtumishi ngazi ya Serikali ya mtaa takribani miaka tisa (9) sasa. Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nikaomba uhamisho kwenda mkoani kwasababu familia yangu...
Dar es Salaam, Jumapili 29 Septemba. Leo ni mwanzo wa Safari ya Baiskeli ya Twende Butiama 2024, safari ya kihistoria ambapo waendesha baiskeli 113, wakiwemo washiriki wa kimataifa kutoka Kenya...
Wakati Tanzania ikielekea kuadhimisha miaka 25 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Vodacom Tanzania na Klabu ya Baiskeli ya ‘Twende Butiama’ tunaendelea na msafara...
Kwa muda mrefu, niliamini kwamba uongozi ulikuwa ni suala la kuvaa vizuri, kuwa muongeaji sana na ujasiri wa kusimama mbele za watu.
Pindi tulipokuwa shule haswa shule ya msingi basi kiongozi...
Huyu ni Mwanamama wa Kinaijeria mwenye Travel Blogg inayoenda kwa Jina la Go.Ebaide huko You Tube, anazunguka Afrika kwa kutumia Pikipiki na sasa yuko Tanzania, wakati akitokea Kigoma kuelekea...
Kuna vitu vingine vina hitaji akili ya kuzaliwa tu, wa Africa sijui tuko je elimu yetu haijatukomboa mtu ana phd bado anarubunia na form two drop-out na anaamini kabisa, kama sio kurogwa ni nini...
Ilikuwa kawaida sana ndio sababu Wanafunzi wa boys enzi hizo Walikuwa vidume kweli kweli
Sasa km 200 Kwa vijana wa Leo akina Lucas ni nyingi kweli kweli 😂😂😂
Shujaa aliwahi kutembea kutoka...
Sote tunajua gharama za ATCL zilivyo ghali na hasa safafri za kutoka Mwanza kwenda Dar na Dar kuja Mwanza na hasa nyakati za asubuhi.
Binafsi naona kama wasafiri tunaonewa na inaaonyesha kama...
BoT kama taasisi inayojitegemea kama zilivyo taasisi zingine naamini katika kurahisisha utendaji wake wa kazi basi kuna idara au vitengo mbalimbali zinazohusisha watumishi au wataalam wa kada...
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Dadeki! Haya Maisha bhana kûna mambo ukiyakumbuka unabaki kucheka tuu.
Bhana! Bhana! Kûna Dili nilikuwa nafukuzia Mbeya. Sasa Dili lenyewe likabuma, Pesa ya...
Habari ndugu zangu Wana JamiiForums, ninaomba kusaidiwa suala hili
1) Hivi Sheria za nchi zinaruhusu mfungwa kuendelea na wadhifa wake kazini au ni huku Kwetu Iramba tu?
Ninaleta mada hii kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.