MREJESHO KWA WADAU: DUWASA YATATUA KERO YA MAJITAKA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inapenda kutoa mrejesho kwa wadau na wateja wake kuwa changamoto ya iliyokuwepo ya...
Ninapendekeza mamlaka ya RITA ifutwe
Halafu iwe hivi,
Wizara ya mambo ya ndani iwe na mamlaka/Idara ya Utambuzi na uhakiki.
Hii idara/Mamlaka itatambua na kuhakiki VIZAZI, VIFO, URAIA, na kutoa...
Habari ndugu zangu Wana jamiiforums Leo katika pita pita zangu nimekutana na hili tukio Wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya katika Kata ya Kyimo. Tunaiomba serikali kuliona hili.
Watu wawili wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Burere wilayani Rorya mkoani Mara huku wengine wawili wakiokolewa.
Tukio hilo...
Habari Zenu wakuu.
Nimekuja Iringa mara moja kikazi, sasa usiku wa kuamkia leo mwili ni kama ulibadilika nikapata kitu kama homa kali sana, ilikua ni kama saa 9 usiku hivi nikasema ngoja...
Hello!
Sometimes najuta kuacha masomo ya Sayansi mapema sana, ila muda mwingine naona kuwa nilifanya uamuzi sahihi nikiangalia wenzangu waliokomalia hayo masomo ya Sayansi almaarufu physics na...
Ni vipi wandugu,niende moja kwa Moja kwenye mada.Juzi kati tumeshuhudia msanii akishushwa jukwaani punde tu baada ya kuanza kuiburudisha hadhira yake.Hili linaleta taswira flani yenye sintofahamu...
Wanajukwaa!
Je, umewahi kukutana na MAJINI au JINI? Je ulifanyaje? Je mlikua marafiki, au walikutisha na kukuogopesha, je mliishi pamoja? Je umeshawahi kuzungumza nao? Basi kama ndio karibu...
Case study ya Familia ya Mrema! Ugomvi ugomvi uliosababisha aondoke na kijiji.. Tamko/wosia wa marehemu una nguvu sana baada ya kifo!
Msiba mkubwa wa watu 20 unaosadikika kutokana na maneno ya...
Anasema wafungwa ambao wanasubiri kunyongwa kwa siku hupewa dakika 15 tu za kutoka nje na muda mwingi hubaki ndani.
“Kwa kuwa wanakuwa wengi gerezani, basi kuna baadhi wanaweza kukaa muda mrefu...
Habari humu?
Mimi ni mtumishi katika Halmashauri X tarehe 26/08/2024 nilichukua mkopo wa mwaka mmoja.
Sasa nimeshangaa imefika tarehe 23/09/2024 wakanikata hela iliyo kuwemo, na mshahara ulivyo...
UKIONA JEURI YAKO BADO IKO JUU SANA JUA BADO MAISHA HAYAJACHANGANYA VIZURI KWAKO 😊
Maisha yakichanganya vizuri utaona hata wazee maskini sio wote walikuwa wavivu bali yaliwakuta kama yanayoenda...
Nadhani wote mmesikia kilichomtokea Zuchu huko Mbeya, Sio kosa lake, Hakujua kwamba yupo eneo tofauti kabisa, Alikuwa akipigia sana debe viongozi bila kujua kufanya hivyo ni kuamsha hisia kali...
Katika eneo linalonifikirisha zaidi katika kuendeleza Jiji letu la Biashara la Dar es Salaam, ni mwendelezo wa Sura ya mbele ya bahari iliyopakana na nchi kavu ya Jiji la kibiashara la Dar es...
Yapata wiki tatu sasa jiji la Dodoma hususan mitaa yote ya Kisasa maji hayatoki. Cha kushangaza sio mamlaka ya maji Dodoma (DUWASA) au mamlaka za Serikali Wilaya na Mkoa wa Dodoma waliojitokeza...
Kwa heshima, nachukua fursa hii kuwatakia wazee wetu wapendwa wa Tanzania kila la heri kuelekea kesho tarehe 1 Oktoba, 2024 ambayo ni siku mahsusi ya maadhimisho ya siku ya wazee duniani...
Sikiliza muungwana na nisikilize kwa umakini sana.
Kazi za Serikali na private sector ni ngumu sana muungwana. Wanaotoka ni wachache sana sana ila wanaotaka kuingia ni wengi. Sasa iko hivi kwako...
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), inahitajika kufanya innovation katika idara ya manager watu hatuwezi kuwa na viongozi ambao hawajitambui katika wajibu wao...
We are going dar together hakuna kuchanganyana. Wa mikoani tunajisifu tunajua Dar yote kumbe hata Yombo hujafika kila mtu ana action zake kazifanya Dar ila mimi napafahamu sana Kimara tena njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.