Bolivia's interim government announced on Saturday it would postpone presidential elections originally slated for May 3 and institute a mandatory countrywide quarantine for 14 days as coronavirus...
Mkuu nimesoma hii habari..Naona sasa hamna namna tunaondoka..kama ni kweli...
*A SENIOR CHINESE MILITARY INTELLIGENCE* *OFFICER WHO COULD NOT CONTAINED THE PAIN OF LOSING HIS* *ONLY CHILD, HAVE...
Profesa Irina Sannikova Raia wa Urusi anachunguzwa kwa kutenda makosa ya jinai. Alichukua likizo na kwenda nchini Uhispania lakini alishindwa kujiweka Karantini kwa siku 14 kama inavyotakiwa baada...
kuna mambo yananipa utata kuhusu jimbo la alaska ( USA) linalopatikana kaskazin magarib nchi ya kanada.
1. kwanin nchi ya Russia iliamua kuliuza hili jimbo kwa nchi ya Malekani kwa kipind hicho ...
Italy imposed further draconian restrictions on public life on Friday in an increasingly desperate effort to halt coronavirus infections after the death toll leapt by 627 in a single day, by far...
Kwenye taifa la Iran, hiki kirusi kinaua mtu mmoja kila baada ya dakika kumi, na kunakua na maambukizi mapya 50 baada ya kila saa. Muhimu sana Marekani ikawonea hawa watu huruma na kuachia...
Nchi ambayo imepata pigo kwa ugonjwa wa Corona basi Italia ni nchi ya kuhurumia
Ungawa nchi mbalimbali duniani wanajitahidi kupambana na huo ugonjwa ila kwa Italia Mungu isaidie ,watu wanakufa...
1. Mbinu za kijeshi za wakati wa vita zinatumika, kama vile kufungia ndani kwa kufuli maalum wasthirika wa corona wasitoke
2. Kupeleka waathirika kwenye makambi maalum yaliyotengenezwa
3...
The Rogers family is sad to announce that Kenny Rogers passed away last night at 10:25 p.m. at the age of 81.
Rogers passed away peacefully at home from natural causes under the care of hospice...
Mtikisiko wa Corona :Serikali ya Uingereza kulipa mishahara wafanyakazi wa sekta binafsi ili kulinda ajira zao. Kwa kweli huu ni utu zaidi ya ujamaa wa Mwalimu Juliazi.
====
Has the national life...
March 19, 2020
Madrid, Spain
The number of people infected with the SARS-CoV-2 virus has now reached 17,174, with 3,431 new cases in a day
Thursday put the number of coronavirus infections in...
Wanamgambo wanaosemekana kuwa ni waisalamu wenye itikadi kali wamewauwa wanajeshi 29 na kuwajeruhi 5 huko Mali, walipoivamia kambi ya jeshi iliyoko kaskazini mashariki, Machi 19, 2020
Jeshi la...
Picha:Kombora la balistic la North Korea likitazamwa kwenye luninga huku ndugu mtazamaji akiwa ndani ya mask ya kujikinga na Corona virus
North Korea kashafanya yake leo. Ametest mitambo kwa...
Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10.
Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17...
Kampuni moja huko Marekani inakusudia kuishitaki Mahakamani Serikali ya China kutokana na mismanagement ya ugonjwa wa Corona katika siku za awali kitendo kilichopelekea ugonjwa huo kusambaa...
Ndiyo maana tunasema Wanasayansi wasio waaminifu wanaweza kuiletea balaa dunia.
Hapa wanasayansi huko Uswiss baada ya kupewa Genome sequence ya Original Coronavirus anayeusumbua ulimwengu hivi...
Wakuu ukiClick hii link itakupeleka moja kwa moja kwa group la whatsap la WHO ambapo kutokea humo unaeza kupata Updates Na mambo mengine mengi kuhusina CORONAVIRUS
LINK : Link Partager sur WhatsApp
Pia, walio nje ya nchi warudi haraka, la, wajiandae kukaa nje ya Marekani kwa muda usiojulikana.
====
The State Department advised United States citizens on Thursday to avoid all international...
Wanaojitenge kwa siku 14 ili wasieneze ugonjwa wanatakiwa kulipwa pesa kamili za mshahara. Serikali itawarudishia pesa hizo waajiri kutokana na kodi ili kuepusha biashara na uchuni kuanguaka...
Rais wa Marekani Donald Trump amefuta Mkutano wa viongozi wa mataifa 7 tajiri dunaini G7 na badala yake watazungumza kwa njia ya vidio kutoa fursa kwa viongozi kushughulikia mpripuko wa maambukizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.