Cameroon health officials Friday confirmed the first case of the novel coronavirus in the Central African country.
“The case was placed in solitary confinement in the Care Centre of the Yaounde...
Mini Mike baada ya kutumia zaidi ya dola nusu bilioni kugombea uteuzi wa chama cha Democrats huko Marekani, na jana baada ya kuangukia pua, asubuhi ya leo kaamua kubwaga manyanga.
Sijawahi ona...
President Donald Trump managed to find a silver lining to the coronavirus outbreak on Thursday, telling viewers of his Fox News town hall that he "likes" that people are "staying in the U.S." and...
12 June 2019
University of Indiana, Bloomington
USA
Source : NBC News
The next president must set a high bar on the use of force, and an exceedingly high bar on doing so unilaterally. When...
Mar 4, 2020
SOUTH AFRICA – A well known South African Anglican Gay Priest, which some people have been calling a Pastor has officially wedded with his long time Kenyan partner, Pastor Paul Mwaura...
Shambulio la angani nchini somalia limemuua kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la al-Shabab, tripoti zinaarifu nchini humo .
Marekani ilitoa zawadi ya Dola Milioni tano sawa na (£3.8m) mwaka 2008...
Marekani imetangaza zawadi ya dola za Kimarekani milioni 7 kwa yeyote atakayetoa taarifa juu ya eneo alipo kiongozi wa kundi la kigaidi lililomwaga damu nchini Nigeria na nchi za jirani, Boko...
Dow opens 1700 points down after coronavirus 'pandemonium' and 'one-two punch' of Saudi Arabia launching an oil price war with Russia causes global markets to plunge
''The Dow opened on a loss of...
Raia wanakufa kila siku Nchini Iran kwa Kunywa Pombe ya Kujitengenezea Majumbani wakichanganya kwa Kutumia Methanol bidhaa zinazotumika kutengenezea Madawa au Bidhaa zitokanazo katika mafuta n.k...
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amenusurika kifo kufuatia jaribio la mauaji lililotekelezwa mapema leo asubuhi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.
Taarifa kutoka shirika la habari la...
Bara la Afrika lina utajiri mkubwa wa madini. Kiwango cha kuitwa "Bara tajiri zaidi". Siasa haijakaa kando katika suala zima la madini ambapo kwa baadhi ya nchi imeleta mfumo wa maendeleo ya...
Meneja wa kampuni kubwa Somalia auawa katika shambulio la droni la Marekani
Meneja wa shirika kubwa zaidi la mawasiliano nchini Somalia ameuawa katika shambulio la droni (ndege zisizo na rubani)...
Jisomee masuala ya huko Marekani.
====
Washington (AFP) - Experts warned a US government panel on Wednesday that India's Muslims face risks of expulsion or other persecution under a citizenship...
Majaji katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC ya mjini The Hague, wameamua hii leo kufanyika uchunguzi wa madai dhidi ya udhalimu uliofanywa wakati wa vita nchini Afghanistan
Maamuzi hayo...
Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ametunukiwa tuzo ya amani ya Nobel mjini Oslo akitoa wito wa kuwepo umoja huku machafuko ya kikabila yakiitikisa nchi yake na juhudi za suluhu pamoja na Eritrea...
Raia wa Ghana, leo wanasherehekea miaka 63 ya uhuru wa Taifa hilo.
Ghana itawaliwa na Uingereza na kupata uhuru wake Machi Sita mwaka 1957, chini ya Mwanasiasa mashuhuri na mwanamapinduzi wa...
Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ambaye ameitembelea Iran hivi karibuni amepongeza juhudi kubwa za vyombo na taasisi...
Mamlaka nchini Paraguay zimesema kuwa nyota wa zamani wa mpira wa miguu wa Brazil Ronaldinho na kaka yake "walidanganywa" na hawatakabiliwa na mashtaka ya kusafiri kwenda Paraguay kwa hati za...
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
Vyombo vya habari vya Morocco vimeripoti kwamba, maafisa wa nchi hiyo wamenasa maelfu ya maski za masuala ya...
At least 27 people have been killed after gunmen attacked a ceremony in the Afghan capital where a top Afghan political leader, Abdullah Abdullah, was present but escaped unharmed.
The death toll...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.