International Forum

News and Stories from rest of the World
Mtu huyo aliwasili Ubalozini akiwa anaendesha pikipiki na inaelezwa kuwa ni mtu pekee aliyeuawa katika mlipuko huo huku Maaskari watano wakijeruhiwa Ubalozi huo uliopo mji Mkuu, Tunis...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mara nyingine tena shirika la ndege la Ethiopia limekataa kusitisha safari zake za ndege kwenda nchini China, licha ya kuwepo kwa shinkizo la kulitaka kufanya hivyo kutokana na mlipuko wa...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
A new draft law that could make it easier for foreigners to gain permanent residency in China has stirred up a torrent of xenophobia online. The proposal, released by the justice ministry last...
1 Reactions
7 Replies
963 Views
Fedha ya Uturuki Lira yaimarika baada ya mapigano kusitishwa Idlib Sarafu ya Kituruki Lila imeimarika kidogo dhidi ya Dola leo Ijumaa, baada ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano baina ya...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Askari wa Uturuki wakimbia kwa makundi katika viunga vya Idlib, Syria Kufuatia mashambulizi makali ya anga na mizinga ya jeshi la Syria dhidi ya maeneo ya jeshi la Uturuki katika viunga vya mkoa...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Bethlehem, Palestina. Kanisa lililojengwa katika eneo ambalo linaaminika kuwa ndipo alipozaliwa Yesu jijini Bethlehem litafungwa kwa muda baada ya kutokea maambukizi yanayodhaniwa kuwa ni virusi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kutokea mauaji makubwa huko Mogadishu kwa Bomu la kujitoa mhanga ambapo zaidi ya watu 300 wamepoteza maisha, hiyo imeonyesha kuwa nchi hiyo ipo mbali sana kuwa na amani. Kikundi cha...
12 Reactions
72 Replies
9K Views
Habari JF Katika kupitia Hapa na pale kuhusu Mataifa yenye "Foundation" ya African political and social historical background, Nimekutana na Mataifa kama Misri, Ethiopia, Libya, Tunisa pamoja na...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Aliyekuwa afisa wa ngazi ya juu katika jeshi la Misri Hisham al-Ashmaw, amenyongwa hii jana baada ya kupewa hukumu hiyo kutokana na kuhusika na mashambulio kadhaa Taarifa ya kunyongwa kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mamia ya watu wanaokimbia vita kutoka Syria wamekwama katika mpaka wa Ugiriki walipokuwa wakitokea Uturuki kuelekea Ulaya. Uturuki walifungua mpakawake juzi na kuruhusu wakimbizi kutoka Syria...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Mzuqa, Wataalamu Irani na nje wamemshauri kiongozi mkuu wa dini na siasa Iran Ayatollah kudimamisha na kuzuia maelfu ya waumini kulambalamba madhabahu na milango mitakatifu katika hijja ya mashia...
5 Reactions
66 Replies
5K Views
Afrika Kusini nchi iliyopo Kusini mwa Bara la Afrika imethibitisha kuwa na Mgonjwa wa kwanza wa Corona ambaye hivi karibuni alitembelea nchi ya Italia Wizara ya Afya nchini humo imesema Mgonjwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wananchi wa Israeli wanapiga kura leo Jumatatu katika uchaguzi usio wa kawaida na wa tatu nchini humo katika kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huu ndio utaamua kujulikana hatma ya Waziri Mkuu wa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Battle for Idlib: Turkey's drones and a new way of war Turkish forces destroyed two Syrian Su-24 fighter jets, two drones, 135 tanks, and five air defence systems and "neutralised" more than...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Kwa wale wenye umri (na uelewa) fulani; Karibu Mkuu wa zamani wa UN aliendesha juhudi za kumaliza vita kati ya Iran na Iraq amefariki dunia. Jisomee zaidi. ===== Former UN chief and Peruvian...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa Korea Kaskazini imefanya jairbio jengine la makombora. Vyombo vya habari kutoka Seoul vimeinukuu wizara ya ulinzi ya nchi hiyo ikitangaza kuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mgonjwa wa kwanza wa maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona amethibitishwa nchini Ujerumani. Msemaji wa wizara ya afya mjini Munich, amesema jana jioni kwamba mgonjwa huyo ni mwanaume...
3 Reactions
28 Replies
6K Views
Ndege za Marekani leo zimefanya mashambulio dhidi ya kundi la Taliban kwa mara ya kwanza tangu pande mbili hizo kutia sainimakubaliano ya amani mwishoni mwa wiki iliyopita. Hata hivyo askari 32...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hiki kirusi kimechomoza kichwa na mapembe yote Iran, imewabidi kuwaachia huru wafungwa 54,000 ili kupunguza maambukizi zaidi yanayosambaa kwa kasi. --------------------------- Judiciary spokesman...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Katika vitu ambavyo Bernie haamin ni matokeo ya super Tuesday, nadhani sio Bernie Sanders almost Kila mtu haamini kinachotokea Na ni ishara nyingine marekani hawako tayari na socialism,
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom