International Forum

News and Stories from rest of the World
Morning an esteemed member of JF. Hope you are all doing great. I'm very excited to see Malaysia has begun implementation of a SUGAR TAX on sweetened beverages. As you know, high sugar contents...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Waziri wa Mazingira wa Malaysia, Yeo Bee Yin akiwa kwenye ziara Pengani, leo, Januari 20 amesema kuwa makontena 110 ya taka yaliyoingizwa nchini humo kutoka nchi mbalimbali yatarudishwa kwenye...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Photo credit: Greg Lynch/The Wade Brothers, from left to right: Zachary, Aaron, Nigel, and Nick Something really incredible just happened in the Wade household. Ohio quadruplet brothers Zachary...
10 Reactions
43 Replies
5K Views
Utafiti uliofanywa na wizara na Unicef Utafiti uliofanywa na Wizara ya Elimu kwa ushirikiano na UNICEF umebaini kuwa zaidi ya watoto milioni 3 hawahudhurii masomo nchini Sudan Watoto wa Sudan...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii airport ya uwezo wa kuhudumia abiria milioni 100 kwa mwaka nadhani itakuwa mfuniko kwa nchi nyingi sio Africa peke yake!! ===== With a $5 billion worth airport facility, Ethiopia will soon...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Shirika la wanahabari wasiokuwa na mipaka, limewataka maafisa wa usalama wanaochunguza mauaji ya wanahabari watatu wa urusi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati mwaka 2018 kutoa ripoti kamili ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In a scene that could have come right out of ‘Top Gun’, India seems to have knocked its own helicopter out of the sky with a missile aimed at intruding Pakistani jets, according to media reports...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mahakama yaamuru Netflix kufuta filamu inayoonyesha Yesu kama mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja Jaji huko Brazil ameamuru Netflix iache kuonyesha filamu "ya kufuru" ambayo inaonyesha Yesu...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Misri, Ethiopia na Sudan wamefikia makubaliano ya awali ya kujaza maji na shughuli nyingine kwenye bwawa kubwa linalojengwa Mto Nile. Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi tatu, pamoja na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Imeelezwa kuwa nchi ya Ethiopia inaanza programu ya kufundisha lugha ya Kiswahili katika ngazi ya cheti, stashahada na shahada katika Chuo Kikuu cha Addis Ababa, ifikapo Septemba 2019...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
IRAN WILL NEVER HAVE A NUCLEAR WEAPON! Washington (AFP) - Rais Donald Trump Jumatatu alirudia usisitizo wake kwamba Iran haitaruhusiwa kupata silaha ya nyuklia, huku kukiwa na mvutano juu ya...
2 Reactions
102 Replies
11K Views
Haipendezi na si ya kushabikia, lakini ngoja tuone "ubabe" wa Iran! Iran ana kila sababu ya "kumpiga" USA maana USA amemchokoza IRAN kwa kuua "mbabe " wao! Haya Iran uwanja ni wako!
2 Reactions
69 Replies
6K Views
Mikakati ya kiufundi ndio huamua matokeo ya mpira uwanjani. Unaweza kuwa na timu nzuri ikaambulia magoli mengi. Hali kadhalika katika uwanja wa vita mikakati ya kivita almaarufu kama mbinu za...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe walilazimika jana kuondolewa kwa dharura kutoka ukumbi wa sinema baada ya waandamanaji kujaribu kuingia ukumbuni na kuvuruga onesho lililokuwa...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Mtoto wa Mwanamfalme wa Uingereza atambulishwa kwa Askofu Desmond Tutu Source...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mchezaji mpira maarufu wa Kikorea katika ligi kuu nchini England katika Club ya tottenham Hotspurs amelalamika katika vyombo vya habari kuwa anabaguliwa (ubaguzi wa rangi) sasa tupige picha hawa...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Tarehe 13 mwezi Octoba mwaka 1961, mwanamfalme Louis Rwagasore wa iliyokuwa Burundi (ikiitwa Urundi wakati huo) aliuawa kwa kupigwa risasi na mtu asiejulikana. Urundi ilikuwa chini ya utawala wa...
11 Reactions
37 Replies
4K Views
Roketi kuanza kusafirisha watu kati ya miji kwa dakika tu Source: Roketi kuanza kusafirisha watu kati ya miji kwa dakika tu Hivi karibuni watu wataweza kusafiri kutoka mji mmoja hadi mwingine...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom