International Forum

News and Stories from rest of the World
Habari wadau, kuna sehemu nilisoma kuwa Rais wa Cameroon amedumu kwa muda mrefu, nchi hiyo maendeleo yakoje hasa? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Kombora la kwanza lenye teknolojia ya kisasa la Avangard Hypersonic limeanza kufanya kazi, wizara ya ulinzi ya taifa hilo imesema. Hawakusema ni wapi kombora hilo lilifanyiwa majaribio lakini...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mzuqa wanajamvi! Pichani hapo chini ni Raymond Matimba mzimbabwe aliyekulia Manchester Uingereza na kubadili dini kuwa Muislam na kutorokea Syria na vijana wengine 2014 na kujiunga na kundi la...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane ametangaza kwenye chama chake cha All Basotho Convention (ABC) kwamba atajiuzulu. Msemaji wa ABC ambacho ndicho chama tawala amesema kuwa Thabane atatangaza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Marekani imesema ipo "tayari kujadiliana na Iran bila masharti" baada uhasama uliozuka baina ya nchi hizo kufuatia mauaji ya jenerali Qasim Soleimani. Katika waraka wake kwa Umoja wa Mataifa...
4 Reactions
63 Replies
8K Views
Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na...
2 Reactions
96 Replies
12K Views
Habari za leo wanajukwaa Nijikite moja kwa moja kwenye hoja, haya ni maoni yangu binafsi na ushauri binafsi. Ningekuwa kiongozi mkuu wa Iran, ningeomba tukae meza ya mazungumzo na kiongozi wa...
0 Reactions
5 Replies
967 Views
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa wito wa fedha zaidi kwa ajili ya juhudi zake za kupambana na njaa katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo watu wengi wanakabiliwa na ukosefu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyo kijana ni mkimbizi aliyekimbia kutoka Burma kwenda Bangladesh, hakuwaacha wazazi wake ambao walikuwa hawana uwezo wa kutembea, aliwabeba mabegani mwake kwa muda wa Siku 7 mpaka alipofika...
38 Reactions
81 Replies
9K Views
7 ACTUAL REASONS WHY AFRICANS ARE POOR The exist many reasons why africans are poor. Knowledge is power and success is a treasure. Knowledge is the only true key to success. There is a saying...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Kama unasafiri au unategemea kwenda nchini China kimasomo, kibiashara au kutalii itakubidi uwe offline kwa muda mpaka utakapo toka huko ndiyo uanze kupatikana kwenye account zako za mitandao ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya aibu ya Jeshi la Iran kuweweseka na kuchanganyikiwa na kupiga kombora ndege ya abiria, na pia maandamano ya raia ya siku nne, Rais wa nchi hiyo amejitokeza na kuagiza jeshi litolee...
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Ndege ya Ukraine iliyokuwa imebeba watu 180 pamoja na Wafanyakazi wake imeanguka karibu na Mji Mkuu wa Iran, Tehran dakika tatu baada ya kuruka ikitokea katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa...
3 Reactions
107 Replies
13K Views
. Katika barua hiyo ilioandikwa Octoba tarehe 9 na kutumwa baada ya vikosi vya Marekani kuondolewa Syria, Bw. Trump alimuambia Erdogan: "Usijifanye kuwa na nguvu. Usiwe mpumbavu!" Vyanzo vya...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Texas imetekeleza hukumu ya kwanza ya kifo kwa mwaka 2020 nchini Marekani, kwa kumuua kwa sindano ya sumu mtu aliyekutwa na hatia ya kumuua mkewe miaka 15 iliyopita kwa sababu alidai talaka...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jeshi la Sudan linayashikilia makao makuu ya kikosi cha usalama wa taifa cha nchi hiyo ambacho awali kilikuwa kitiifu kwa rais aliyepinduliwa Omar al-Bashir, ripoti zinaeleza. Mapambano yalianza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The recent Ukrainian Airplane incident in which the plane was shot down by an Iranian cruise missile in the land of Iran just a minutes after having taken off in Tehran and claimed the lives of...
6 Reactions
147 Replies
11K Views
Shirika la kutetea haki za binadamu lililo na makao yake Mjini New York Marekani Human Rights Watch, limesema China inaweka mikakati ya kuidhoofisha mifumo ya kulinda haki za binadamu duniani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Guinea Bissau taifa la Afrika magharibi lenye idadi ya wakaazi milioni moja na laki sita ni dogo, lakini limekuwa likigonga vichwa vya habari tangu lilipojinyakulia uhuru...
2 Reactions
0 Replies
970 Views
Reinhard Bonnke nadhani kizazi cha miaka ya 1990 hadi 2000 mwanzoni watakuwa wanamjua vyema huyu mhubiri ambaye mikutano yake ilikuwa inatikisa vilivyo. RIP ====== German Pentecostal evangelist...
8 Reactions
62 Replies
16K Views
Back
Top Bottom