Mwanamfalme mmoja nchini Saudi Arabia ameuawa kutokana na makosa ya kumuua mwanamume baada ya mzozo miaka mitatu iliyopita mjini Riyadh, wizara ya mambo ya ndani nchini humo imesema.
Hukumu ya...
LONDON, UINGEREZA
MWANAMFALME Harry na mke wake Meghan hawatatumia tena vyeo vyao vya uanaufalme na kupokea ufadhili wowote wa umma kwa ajili ya shughuli za kifalme.
Haya ni kwa mujibu wa...
Wiki hii, mwanamume wa miaka 34 Nhlanhla Dlamini alikuwa mtu wa kwanza kushtakiwa kwa madai ya ubakaji kwa kufanya tendo la ndoa na mkewe bila ya idhini yake.
Kwa kutumia Sheria ya Makosa ya...
Kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah amesema kutakuwa na operesheni mbalimbali dhidi ya vikosi vya Marekani katika kanda ya mashariki ya kati, ili kulipiza kisasi Marekani kuwaua makamanda wa...
Mataifa yaliyopoteza raia katika ajali ya ndege ya Ukraine iliyodunguliwa na Iran yameitaka Tehran iwajibike kikamilifu, uchunguzi wa kimataifa uanzishwe na familia za wahanga zilipwe fidia...
Hatimaye Marekani imemua Jenerali wa kutumainiwa kabisa na Iran.
Hayati Jenerali Qassim Suleiman aliwindwa kwa muda mrefu na CIA, ilikuwa vigumu kumuua kwa sumu au kutumia snippers kutokana na...
Rais wa Marekani, Donald Trump mnamo Ijumaa alimuonya kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kuwa "mwangalifu sana na maneno yake," baada ya kiongozi huyo wa Iran kuitumia hotuba adimu kwa...
China unveils ICBM capable of reaching US with 10 warheads
Long-range and hypersonic missiles show strides toward parity with Washington
TETSURO KOSAKA, Nikkei senior staff writerOCTOBER 02, 2019...
Tokea Rais Trump achukue madaraka amechezewa mno na amedhalilishwa mno na hawa majabali wawili
1) Senior Kim Jong Un
2) Comrade Hassan Rouhani
Kim alitishiwa mno kwa mikwara tofauti tofauti na...
Mkuu wa Jeshi la Niger, jenerali Ahmed Mohamed amefukuzwa kazi zikiwa zimepita siku tano tangu wanamgambo wa kigaidi kuwaua wanajeshi 89 walipovamia kambi ya jeshi la Niger, ikiwa ni idadi kubwa...
Haya jamani sarakasi zaendelea huko mashariki ya kati. Kambi ya kijeshi ya US nchini Iraq imeshambuliwa tena. Waswahili husema ukishalikoroga lazima ulinywe.
Hili ni jambo la kusikitisha yaani...
'Is the US acting like a normal state?' That’s the question which has been dominating geopolitical discussions in the World since the US assassinated the top Iranian commander Lieutenant General...
Maseneta 100 wa Marekani wameapishwa Alhamisi kama baraza la mahakama litakaloshughulikia kesi inayomkabili Rais Donald Trump.
Hakimu mkuu wa mahakama ya juu zaidi John Roberts aliapisha maseneta...
Habarini za machana
Polisi mjini Las Vegas Marekani wameachia video hii inayomuonesha Mzee mmoja wa miaka 93 akimfyatulia Risasi mara mbili na kumjeruhi Baba mwenye nyumba wake kwa tatizo la...
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Annegret Kramp-Karrenbauer amethibitisha taarifa kuwa Marekani imetishia kuongeza ushuru wa asilimia 25 kwa mauzo ya magari kutoka Ulaya.
Ongezeko hilo la ushuru...
=====
Iran's Khamenei slams 'cowardly' European governments
Tehran (AFP) - Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei on Friday accused the governments of Britain, France and Germany of being...
Raia 14 waliuawa usiku wa Jumatano kuamkia Alhamisi wiki hii katika kijiji Sinda, karibu na Douentza, katika mkoa wa Mopti, katikati mwa Mali, kwa mujibu wa vyanzo kutoka eneo hilo
Kulingana na...
La Catrina', 21, who led Mexico's most powerful hit squad is killed in shootout
Last moments of Mexico's most deadly female cartel boss
WARNING: Graphic video
WARNING: Graphic video
Boss...
Habari za siku ya leo wana JF. Siku ya leo ninapenda kuwaletea makala fupi kuhusu taifa la korea ya kaskazini na ukoo wa Mh. Kim Jong-Un. Kabla ya kuanza kueleza kuhusu Ukoo wa Rais wa korea ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.