International Forum

News and Stories from rest of the World
Naibu generali ndugu Mohammad Reza wa jeshi la walinzi wa mapinduzi ya Irani(IRGC) amesema kuwa licha ya kuwa Iran ina makombora yaliyo thabiti na inauwezo wa kuivamia USA kwa njia ya ardhini na...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
Habari ya muda huu wachambuzi wa masuala ya dunia hasa yanayoendelea huko Mashariki ya Kati. Kufuatia vuguvugu la vita kati ya Iran na Marekani, mpaka wakati huu Adui wa Marekani North Korea...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Katika hali isiyo ya kawaida,Iran imesema kuwa haitaikabidhi Boeing kile Kisanduku cha taarifa. Yetu macho na masikio. Iran will not give black box from crashed Ukrainian airliner to Boeing...
3 Reactions
165 Replies
15K Views
Vita sio jambo la kushabikia hata kidogo.takibani siku chache kumekua na kila dalili za nchi ya marekani na iran kutaka KUINGIA kwenye vita kutokana na migogoro yao iliyodumu kwa miongo mingi bila...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwili wa kijana mdogo uligunduliwa katika sehemu ya gurudumu la ndege ya Boeing 777 ya shirika la ndege la Air France iliyokuwa ikitokea Abidjan, Cote d'Ivoire, mapema Jumatano wiki hii, kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumbe Iran kuna vivutio vingi sana. Vya Utalii. Hakika nimetokea kuvutiwa sana na vivutio hivyo na jinsi wanavyotangaza. Kwa kweli mwaka huu lazima niande nikashuhudie utajiri wa Utalii mchini...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo Jumanne televisheni ya taifa ya Oman imetangaza kuwa Afya ya Mfalme wa nchi hiyo inaendelea kuimarika na kwamba hatua za matibabu zinaendelea kama kawaida. Mheshimiwa Qaboos bin Said...
13 Reactions
102 Replies
16K Views
Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Iran kwa mara nyingine imakana madai kuwa makombora yake yaliidungua ndege ya abiria ya Ukraine karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tehran siku ya Jumatano. Mkuu wa mamlaka ya anga amesema ana...
1 Reactions
3 Replies
990 Views
Source BBC swahili. Uamuzi wa rais Donald Trump wa kumuua Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya Qudsi vinavyoungwa mkono na Iran umesababisha msururu wa maafa ambayo yameanza kushuhudiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali ya Sudan imefirisi mali za rais wao aliye itawala nchi hiyo kwa muda mrefu na kwa mabavu. Pia serikali hiyo imekipiga marufuku chama kilichokuwa kinaongozwa na rais huyo. Sudan...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Iran kwa mara nyingine imakana madai kuwa makombora yake yaliidungua ndege ya abiria ya Ukraine karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tehran siku ya Jumatano. Mkuu wa mamlaka ya anga amesema ana...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Baba mlezi wa IS awasaidia watoto zake.Alafu kuna watu wanadai US anapambana na Ugaidi.RIP Soleimani. ............................ Uamuzi wa rais Donald Trump wa kumuua Qasem Soleimani, Jenerali...
0 Reactions
1 Replies
598 Views
US President Donald Trump has sent a birthday message to North Korean leader Kim Jong-un, said South Korean National Security Advisor Chung Eui-Yong. Speaking with reporters, the official, who...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wanajamvi! Hili taifa linaitwa Azabaijan watu wake wanaitwa Azeris. Ni taifa lililopakana na Iran, Georgia na Armenia na karibu wote ni Waislamu wa madhehebu ya Shia. Azabaijan na...
12 Reactions
33 Replies
7K Views
Habari zilizojiri hivi punde ni shambulizi la maroketi mawili katika eneo la Green Zone huko Baghdad karibu na ubalozi wa USA. Makombora hayo yamerushwa masaa kadhaa baada ya Rais Donald Trump...
4 Reactions
67 Replies
8K Views
Rwanda na Shirika la Ndege la Qatar zimeingia makubaliano ya TZS 3trilioni, ambapo Qatar itajenga, itamiliki (60%) na kuendesha uwanja mpya wa ndege wa kimataifa wa Rwanda. Uwanja huo utaweza...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imemueleza Balozi wa Iran nchini humo kuwa inayazingatia mashambulizi ya makombora ya siku ya Jumatano asubuhi katika kambi mbili za jeshi la Marekani nchini Iraq...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanzo Trump alisema kama Iran itaretaliate basi Marekani itagonga hadi cultural sites za Iran. Hata hivyo Iran imejibu. Baada ya Iran kujibu, Marekani anakuja na propaganda kuwa hakufa mtu hata...
10 Reactions
55 Replies
8K Views
Maelfu ya Ngamia kusini mwa Australia watauawa kwa risasi kutoka kwenye helikopta kutokana na kuwepo kwa joto kali na ukame. Zoezi hilo la siku tano limeanza Jumatano, jamii ya eneo hilo...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Back
Top Bottom