International Forum

News and Stories from rest of the World
Polisi wa Nigeria wamevamia shule ya kidini na kuwaokoa wavulana 300 waliokua wamefungwa kwa minyororo kama watumwa na kulawatiwa kila siku huku wakipata mafunzo ya kidini...
8 Reactions
302 Replies
26K Views
Katika kuwalinda raia wake Ethiopia imeingia mikataba maalumu na mataifa ya kiarabu kurasimisha kazi za majumbani kwa raia hao Katika kuzuia uhamiaji haramu Ethiopia imetuma maelfu ya wafanyakazi...
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Hii inafaa kuwa funzo kwenye mataifa ambayo bado yanawalea "wasiojulikana", kwamba chini ya utawala mpya mambo hukengeuka na kibao kubadilshwa. Kule Sudan wamekusanywa 27 ambao walikua mashushushi...
1 Reactions
3 Replies
993 Views
The global music icon said he will start the tour in Ghana. In an interview with Joy News, he explained that the aim of the tour is to project Africa and highlight the business opportunities in...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Ahmad al-Khair, 36, alikufa wakati ameshikiliwa na maafisa hao baada ya kukamatwa wakati wa maandamano ya kumtoa Rais Omar al-Bashir madarakani. hii ni moja ya kuhumu za mwanzo kabisa kutolewa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mfichuasiri 'whistleblower' aliepelekea Rais Trump kuanza kuchunguzwa na kupelekea kupigiwa kura ya kumuondoa madarakani kufanyika afichuliwa. Jana alhamisi Rais Trump alilaumiwa kwa kusambaza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu ni Fatmata, binti ambaye aliiba hela za shangazi yake ili kwenda Ulaya, maisha yalimsinda na akaamua kurudi kwao Siera Leone. Hiko ndio chanzo kikubwa cha yeye kutopokelewa kwa shangwe...
6 Reactions
50 Replies
8K Views
A SCIENTIST dubbed “China’s Dr Frankenstein”, who created the world’s first babies specially ”gene-edited” to prevent HIV infection, has been jailed for three years after being convicted of...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran amesema shambulio lolote dhidi ya nchi yake, kufuatia hujuma dhidi ya miundombinu ya mafuta ya Saudi Arabia litasababisha vita kamili na kuongeza mvutano...
3 Reactions
175 Replies
14K Views
Aged 22yrs, a 400 level theartre art student of LAGOS STATE University (LASU) was gruesomely murdered on the 8th of December 2019 at Ikoyi Ile in Ikire,Osun State. She came home to see her...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Kabla hujaimba au kuimbiwa mapambio hebu sikiliza hapa kwanza. Itakusaidia kwenye shughuli zako za kila siku.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hongera sana Rwanda, kainchi kadogo kiasi cha mkoa lakini kanaskika na kutikisa... Raisi wa Urusi, Vladmir Putin amesema kuwa nchi yake inaweza kuisaidia Afrika bila masharti ambayo...
1 Reactions
165 Replies
16K Views
KAULI YA HAKI YA MESUT OZIL KWA UKANDAMIZAJI WA WAISLAMU WA CHINA Kauli ya mchezaji Mesut Ozil kuhusu dhulma ya China kwa Waislamu wa Urghurs imedhihirisha haya: 1. Ukafiri ni mila moja, hii ni...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari wakuu Nchi za Afrika zinazotarijiwa kufanya uchaguzi mwaka 2020 ni nyingi kama tunavyoziona, na changamoto kubwa ni haki katika chaguzi zetu sisi Waafrika ambapo mara nyingi hupelekea hali...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Serikali ya Ukraine na waasi wanaotaka kujitenga mashariki mwa nchi ambao wanaoungwa mkono na Urusi wameanza kubadilishana wafungwa hii leo. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya Rais wa Urusi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais mstaafu wa Pakistani, Pervez Musharraf (76) amehukumiwa kifo katika kesi ya uhaini mkubwa iliyohusisha kuweko kwa dharura ya Kikatiba mnamo 2007. Hukumu hiyo imetolewa leo wakati kiongozi...
2 Reactions
71 Replies
7K Views
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kwa mara nyingine amebainisha msimamo wake wa kutogombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.Hatua ambayo imeonekana kuwashangaza raia wengi wa Burundi huku...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Uingereza inaajiri sana sasa hivi, kada ya afya ni wote, kuanzia Doctors, pharmacists, laboratory technicians, nurses, auxiliary nurses n.k. Kada nyingine ni IT na hospitality. Hospitali nyingi...
19 Reactions
33 Replies
3K Views
Bomu hilo lililokuwa limetegwa kwenye gari, limelipuka wakati gari hiyo ikiwa kwenye Kituo cha Ukaguzi cha Polisi Mmoja wa Maafisa wa Polisi, Kapteni Mohamed Hussein amesema kuwa shambulio hilo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom