International Forum

News and Stories from rest of the World
Spika wa bunge la Sudan Kusini amejiuzulu baada ya kushutumiwa na wabunge wenzake kwa kushindwa hadi wakati huu kuwasilisha ripoti jumla ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali. Spika wa bunge la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu 81 wamekufa kwa sababu ya janga la homa ya mafua Watu 81 wamekufa kwa sababu ya janga la homa ya mafua nchini Iran. Naibu Waziri wa Afya wa Iran Ali Riza Reisi, ameliambia shirika rasmi la...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Iran yazindua drone mpya yenye uwezo mkubwa wa kivita Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua ndege mpya isiyo na rubani (drone) yenye uwezo mkubwa wa kioparesheni na kivita...
4 Reactions
32 Replies
5K Views
Kwa mara ya kwanza leo katika kipindi cha miaka mitatu kutafanyika tena kile kinachoitwa Mkutano wa Kilele wa Normandy kuhusu mzozo wa mashariki mwa Ukraine. Mkutano huo ulioandaliwa na Rais wa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
World bank imeikubali kuipa China mkopo wa dola bilioni 1.9 licha ya pingamizi kutoka serikali ya Marekani. Je, wataalamu wa uchumi hii imekaaje kwani huyu China ndio mtoa mikopo mikubwa kwa nchi...
2 Reactions
63 Replies
6K Views
Mteja akila nyama ya mbwa huko Yogyakarta Mei 28, 2011 [Picha: Dwi Oblo/Reuters] Kila mwaka nchini Indonesia, takribani mbwa milioni moja huuuliwa kwa matumizi ya wanadamu. Hii ni kwa mujibu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtu aliyekuwa anatarajiwa kugombea nafasi ya Waziri Mkuu wa Lebanon Samir Khatib amesema anajiondoa kutoka kwenye kugombea wadhfa huo. Hatua hiyo inaurefusha mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo...
1 Reactions
2 Replies
652 Views
Shirika la habari la jimbo la Florida limesema mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman amempigia simu Rais Donald Trump na kutoa rambirambi zake kwa familia na wahanga wa tukio la...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Dr Stergomena Lawrence Tax SADC Executive Secretary Dr Stergomena Lawrence Tax proved why she is the Iron Lady of the region over the weekend when she stood her ground to a barrage of abuse by...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Picha ikionesha moshi uliotanda angani mara tu baada ya volcano hiyo kulipuka. Picha: Michael Schade/AFP Mlipuko wa volcano umetokea katika eneo linalotembelewa na watalii wengi huko nchini New...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mlipuko huo ametokea asubuhi ya leo na imeelezwa kuwa wengi wa waliofariki ni Wafanyakazi wa Kiwanda hicho waliokuwa wamelala Kikosi cha Zimamoto kimefika eneo la tukio na kuendelea na juhudi za...
1 Reactions
4 Replies
37K Views
Makao makuu ya jeshi la Iran nchini Syria yashambuliwa na kuharibiwa na mashambulizi ya anga ya Israel. ======= Israel destroyed an apparent Quds Force headquarters in Syria according to...
4 Reactions
172 Replies
15K Views
Mr. Netanyahu said: Only 70 years ago! The Jews were taken to slaughter like sheep. - 60 years ago! - No country. No Army. Seven Arab countries declared war on the small Jewish state, only a...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Korea Kaskazini imesema imefanya jaribio la kombora la masafa marefu, ikieleza kwamba litakua matokeo muhimu katika eneo lake la kimkakati. Shirika la Habari la Korea CNA limesema jaribio hilo...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
1.GROVER CLEVELAND: Kabla ya kuwa Rais, alikuwa mnyongaji wa wahukumiwa wa hukumu ya kifo.Ni rais aliyeongoza kwa mihula miwili isiyofuatana 1885-1889 na 1893-1897. 2.HARRY S TRUMAN: 'S' iliyopo...
28 Reactions
105 Replies
19K Views
Mchungaji Sam Little (25) ambaye ni raia wa Uingereza amekamatwa nchini Uganda kwa tuhuma za kuwanywesha waumini wake dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni tiba ya miujiza inayotibu magonjwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Rais wa Marekani Bwana Trump ameitaka Benki ya Dunia kusitisha kuipa mikopo China kwa sababu China ina pesa nyingi ambazo inakopesha nchi nyingine, iweje China anakopesha wengine kupitia mradi...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Shirika la Human Rights Watch limesema katika ripoti yake iliyotolewa leo kuwa maafisa wa serikali na wanachama wa kundi la vijana linaloogopwa la chama tawala wanaitisha pesa kwa lazima za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shirika la World Economic Forum limetoa orodha ya nchi 137 katika viwango vya ubora wa huduma za Vikosi vya Majeshi ya Polisi duniani. Orodha hii imezingatia kiwango cha kuaminika na kutegemewa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Former CIA agent sentenced to 19 years for conspiracy with China Jerry Chun Shing Lee was accused of delivering secrets to Chinese intelligence officers in exchange for $840,000 A former CIA...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom