International Forum

News and Stories from rest of the World
She was touted as perhaps the next Obama. She had the looks. She had all the ingredients, so they said, to make it to the White House. But, thanks to Rep. Tulsi Gabbard, today Kamala Harris...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
The typhoon is expected to pass near the capital, Manila, on Tuesday. === The Philippines evacuated 200,000 people in coastal and mountainous areas amid fears of flooding and landslides, and...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Ufilipino imewahamisha watu 200,000 katika maeneo ya pwani na yenye miiinuko kufuatia hofu ya mafuriko na maporomoko ya ardhi, huku ikifunga uwanja wa ndege wa kimataifa. Kimbunga Kammuri...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa Mchunguzi Wa Marekani, Katika Nyanja Kuu Tano; Uchumi, Siasa, Sheria, Ujasusi Na Teknolojia. Kwa Upande Wa Marais Nimeweza Kung'amua Kwamba Marais 25 Waliopita Ni Wanasheria Kitaaluma...
3 Reactions
89 Replies
8K Views
The untamed technological ambitions of the young creatives and inventors all across Africa is an attestation of a generation that is hungry to deliver cutting-edge technology to the continent...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umependekeza ushuru wenye thamani ya dola bilioni 2.4 dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka Ufaransa kama jibini na mikoba ya wanawake, kulipiza kisasi hatua...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia mapinduzi ya mwaka 1989 yaliyomweka madarakani rais wa Sudan aliyeondolewa madarakani Al Bashir, sasa atashtakiwa kwa makosa ya kuhujumu mfumo wa kidemokrasia. Endapo atatiwa hatiani...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Takriban watu 16 wamefariki kwenye ajali ya ndege ya jeshi kwenye jimbo la Mississippi nchini Marekani. Ajali hiyo ilitokea katika kaunti ya Leflore karibu kilomita 160 kusini mwa mji mkuu wa...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Gunfire rang out in the DR Congo town of Beni on Monday as protesters demanding the United Nations' withdrawal from the city again marched towards the UN headquarters. Security forces blocked...
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Mapigano makali yaliyodumu kwa muda wa masaa 48 huko kaskazini Magharibi mwa Syria yamewaua watu 96, kulingana na shirika linalofuatilia haki za binadamu la nchini humo. Shirika hilo limesema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
To mark 50 years of Uganda’s independence, New Vision will, until October 9, 2012, be publishing highlights of events and profiling personalities who have shaped the history of this country...
3 Reactions
16 Replies
17K Views
Ripoti ya uchunguzi inayolenga kumshitaki Rais Donald Trump wa Marekani, itawasilishwa leo kwa faragha mbele ya wabunge muhimu wakati wabunge wa chama cha Democratic wakizidi kuongeza shinikizo...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Kuna hali ya sintofahamu kati ya nchi hizi 2 jirani na ndugu baada ya Burundi kushutumu mara kwa mara kuwa wanachokozwa kwa kuvamiwa na Rwanda. Na hiyo imetokea baada tukio la juzi la kambi ya...
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Watu 24 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya basi huko nchini Tunisia. Basi hilo limedondokea katika bonde karibu na mto. Taarifa ya Wizara ya Utalii nchini Tunisia imeeleza kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
China imesitisha ziara ya manowari ya Marekani na kuiwekea vikwazo asasi moja ya Kimarekani, ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi kutokana na kusainiwa kwa muswada unaowaunga mkono waandamanaji...
1 Reactions
2 Replies
871 Views
Watu takriban 14 wameuwawa baada ya shambulio la wazi ndani ya kanisa nchini Burkina Faso. Waathirika wa shambulio hilo walikuwa wamehudhuria ibada katika kanisa la Hantoukoura, mashariki mwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ikiwa Ufaransa leo inatoa heshima kwa walinda amani wake 13 waliopoteza maisha nchini Mali juma lililopita, nchi hiyo imejikuta kwenye simanzi nyingi kubwa baada ya kupoteza raia wake watatu...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Jeshi la DRC latangaza kulitimua kundi la waasi kutoka Rwanda Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kulitimua kundi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda kutoka katika ngome yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Trump akaidi kushiriki katika kikao cha uchunguzi dhidi yake Wakili wa rais Donald Trump wa Marekani amesema Ikulu ya White House haitashiriki katika kikao cha uchunguzi bungeni Jumatano ijayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari! Uganda na Rwanda ziko mbioni zaidi ya mataifa mengine ya Afrika Mashariki katika mabadiliko ya kiteknolojia kuelekea magari yatumiayo nishati ya umeme ingawa mapungufu ya miundombinu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom