Tiba ya sindano badala ya vidonge vya kila siku kwa wagonjwa wa ukimwi nchini Rwanda yameshika kasi na sasa iko katika awamu ya mwisho.
Wizara ya afya ya Rwanda imetangaza kwamba mnamo miaka...
Korti ya Afrika Kusini Ijumaa ilitupilia mbali maombi ya Rais wa zamani Jacob Zuma kwa kukata rufaa ya uamuzi wa mapema wa korti wa kumstaki.
Mahakama kuu ya Pietermaritzburg katika Mkoa wa...
Urusi yuko pekee na NATO ni Ulaya plus USA na Canada ila Urusi anabakia kiwa tishio mno kwa NATO yote.
1. Nyambizi - Inaaminiwa Urusi ndo kiongozi wa nyambizi, linapokuja suala la Submarine...
Watu 9 wakiwemo watoto 2 wamefariki katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika jimbo la Dakota ya kusini nchini Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari vya Marekani...
Akizuru kambi ya kikosi cha jeshi la wanaanga la Marekani huko Bagram, Rais wa Marekani Donald Trump amekutana naRais wa Afghanistan Ashraf Ghani na kula chakula cha jioni na askari wa Marekani...
Serikali mpya ya Sri Lanka inakusudia kutupilia mbali mpango wa kuikodishia China Bandari ya Hambantota kwa miaka 99, kutokana makubaliano kutokuwa na maslahi kwa taifa.
Serikali iliyopita...
Makao makuu ya EU Brussels
The EU is ‘’Institutionally racist’’ and only lets black people in to clean the toilets, a Brexit party MEP claimed. ….. …… …….
Mathew Patten, who was elected...
Habari wanaJF,
Natumai mungali bukheri wa afya. Niende kwenye mada.
Ikiwa imesalia miezi kadhaa tu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu nchini Burundi, nchi ambayo inakosolewa na jumuiya ya...
Wairaq waendeleza maandamano mjini Baghdad na Nassiriya
Raia nchini Iraq wameendelea na maandamano kwenye mji mkuu Baghdad na eneo la kusini ya nchi hiyo ikiwa ni ishara ya kutoridhishwa na...
Serikali ya mpito nchi Sudan imekifutilia mbali Chama cha NCP kilichokuwa kikiongozwa na dikteta Omar Al Bashir, ikiwa ni katika juhudi za kuleta amani ya kweli nchini humo, lengo ni kuondoa...
Watu 9 pamoja na watoto wawili wamefariki na wengine 3 kujeruhiwa jana (Jumamosi) mchana baada ya ndege waliokuwa wakisafiria kuanguka kutokana na hali mbaya ya hewa muda mfupi baada ya kuondoka...
Jerusalem
dead sea oldest town Jerusalem myahudi akikatiza katikati ya jiji
daraja la kisasa kabisa katikati ya mji
underground railway
tel Aviv
Haifa town
tel Aviv
bandari ya Jaffa...
Kwa hali ya masikitiko dada wa aliyekuwa mpiganaji Fred Gisa Rwigema ajulikanaye kama Joy Agaba alikutwa juzi amenyongwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana.
Mauaji ambayo yalifanana na yale ya...
North Korea's state media on Saturday lashed out at Japanese Prime Minister Shinzo Abe as an "imbecile and political dwarf" for calling Pyongyang's latest test of a large multiple-rocket launcher...
Katika hali isiyo ya kawaida nchini Iran maarufu kwa propaganda za nchi za wenzie sasa mambo yanawaendea kuwa Magumu kila mji uujuao nchini Iran kisa kikuu ni Kupandishwa bei ya Mafuta mara mbili...
Wahamiaji 117 kutoka waliokuwa wamezuiliwa Libya wamewasili nchini Rwanda mapema leo asubuhi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHR.
Wengi wa wahamiaji wa kundi hili la sasa...
Rais wa Marekani, Donald Trump amesaini muswada wa kuunga mkono maandamano yakudai demokrasia mjini Hong Kong na kuwa sheria.
Rais huyo alitia saini sheria hiyo licha ya pingamizi kutoka kwa...
A man has been shot near London Bridge wielding a knife. More to come.
A man has been shot by police after a number of people were believed to be injured in a stabbing attack around London...
November 28, 2019
Galicia, Spain
Spanish Civil Guard divers stand over the refloated prow of the submersible. LALO R. VILLAR (AFP)
Spanish police officers have been inside the “narco-submarine”...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.