International Forum

News and Stories from rest of the World
Profesa wa Chuo kikuu ambaye ameandika kitabu kuhusu usafirishaji wa madawa ya kulevya na jinsi uhalifu unavyopangwa ameshtakiwa na mamlaka za Marekani kwa kosa la uhujumu uchumi wa kiasi cha dola...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Wataalam wameonya hakuna chanjo za kutosha nchini humo. Ugonjwa wa ukambi ama Surua umewaua takriban watoto 5000 katika taifa la Jamhuri ya KidemokrasIa ya Congo mwaka 2019, kulingana na mamlaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu jamaa ni Myahudi ambaye amefanya utafiti kuhusu taifa la Israel kwa miaka mingi sana. Siku zote huwashinda wapinzani wake kwa hoja nzito ambazo amezifanyia utafiti wa kina. Anajiamini sana na...
5 Reactions
66 Replies
6K Views
Madaktari waliofukuzwa kazi nchini Zimbabwe wanaotaka kurudishiwa ajira zao ni lazima wafanye maombi upya. Hili linakuja baada ya Serikali ya nchi hiyo kufungua tena kliniki ya akina mama ya...
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Urusi anawaza mbele sana, kwa sasa ana Russia’s Nuclear Tsunami Apocalypse Torpedo is Named 'Poseidon'. Hii ni kwamba ikidondondoshwa Km kadhaa kutoka Pwani inapeleka kilio kikubwa sana kwenye...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Maelfu ya raia wa Georgia wamefanya maandamano makubwa mjini Tbilisi, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani kitendo cha kuonyeshwa filamu ya kuchochea ufuska na maingiliano ya kimwili ya watu wenye...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Urefu km 10 upana km 4 sio UNO, Arabu league wala GCC wameweza kutengue ungomvi wa eneo hili State agent
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Watu ishirini na moja wameuawa, wengine wanne wamejeruhiwa na watoto kadhaa wametekwa nyara katika mashambulizi mawili ya ADF usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano Novemba 20 katika mji wa Beni na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JOHANNESBURG - Afrika Kusini. Kumekuwa na wimbi la kesi za utekaji nyara nchini Afrika Kusini, na takwimu zinaonesha ongezeko kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hapo awali, walengwa wakuu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jeshi la Burundi limepoteza askari zaidi ya 50 katika mapigano na watu wenye silaha yaliyotokea usiku wa Jumamosi kuamkia Jumapili katika Msitu wa Kibira, Wilayani Mabayi, Mkoani Cibitoke...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Jeshi la Mali limeshambuliwa na kundi la watu wanaoshukiwa kuwa magaidi, Kaskazini mwa nchi karibu na mpaka na Niger. Shambulio lilitokea Jumatatu, Novemba 18. Inaonekana kuwa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Ukitaka kujua walami "wamepinda" soma kisa hiki ========== A Michigan mother is suing the Archdiocese of Detroit alleging that the priest who spoke at her son’s funeral questioned whether her...
0 Reactions
4 Replies
848 Views
In June, Vice President Biden confirmed Hunter had secretly married South African filmmaker Melissa Cohen after he earlier dated older brother Beau Biden’s widow, Hallie Biden, following Beau’s...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shirika kuu la usalama wa mtandao nchini India, Cert, imewaomba watumiaji wa mtandao wa WhatsApp kupakua programu mpya ( ya hivi punde) katika simu zao baada ya kugundua kuwa kulikuwa na programu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
general support .(freeielts20@outlook.com) Get IELTS and PTE certificate available from the British council no Exams Required we are an organization specialized in the acquisition of IELTS...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi nchini Syria na kusababisha uharibifu mkubwa katika kambi 2 za Iran nchini Syria, na baada ya masaa mawili jeshi hilo la Israel likafanya mashambulizi...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Afisa wa Ulinzi alisema kuwa, hii ni mara ya kwanza kwa kombora hilo kufanyiwa majaribio nyakati za usiku India siku ya Jumamosi ilifanikiwa kufanya jaribio la usiku la kombora la 'Agni-II'...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
FOUR dead in 12 hours in sub-zero Britain: Homeless father-of-three and pensioner 'freeze to death' while two pedestrians die on freezing fog-bound roads in early hours of today In Scotland, a...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Viongozi wa waasi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati akiwemo Jenerali Abdoulaye Miskine, mmoja wa watu muhimu katika masuala ya siasa na usalama nchini humo wamekamatwa nchini Chad. Jenerali...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jeshi la Ulinzi la Lesotho (LDF) linawezesha kupatikana kwa silaha kwa ajili ya umiliki binafsi kwa askari wao. Lakini suala hilo limeibua maswali miongoni mwa watu wengi hususan katika kipindi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom