Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika.
Ni pale UN...
About 350,000 people have protested in Barcelona over the jailing of separatist leaders from Spain's Catalonia region, police say.
The peaceful march was also organised to underline support for...
Mtoto wa Kiume wa miaka 2 amebainika kupooza baada ya chanjo ya Polio kushindwa kufanya kazi vizuri, bado hijafahamika kama kuna wagonjwa wengine nchini humo
Mgonjwa huyo amegundulika katika...
Idara za Polisi za England, Ireland ya Kaskazini na Ubelgiji zinaendelea na juhudi za kuitambua miili hiyo na jinsi gani imeweza kufikishwa Uingereza
Wabunge nao wamecharuka na kudai kuwa miili...
China 'to overtake US on science' in two years
David Shukman Science and environment correspondent, BBC News
China's surge in progress could soon overwhelm the US, say experts
China is on...
MGOGORO CATALONIA: MAELFU WAENDELEA KUHIMIZA KUJITENGA
-
Takriban watu 350,000 wameandamana huko Barcelona wakipinga kuhukumiwa kwa Viongozi wa kujitenga huko Catalonia, Uhispania
-
Maandamano...
Ndege nyingine mpya aina ya Airbus 330 - 300 imewasili leo nchini Rwanda hii ikiwa ni sehemu ya Shirika la Ndege nchini humo RwandAir kuingia soko la usafiri wa anga la Marekani na Ulaya
John...
Mwanamke mmoja nchini Urusi ameauawa na nguruwe aliokuwa anawafuga baada ya kuanguka kwenye banda la wanyama hao.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Urusi, mwanamke huyo mwenye umri wa miaka...
Heshima kwenu wadau,
Moja kwa moja tuungane kwenye mada tajwa hapo juu
Wakati nakua, niliamini kwamba ili mtu awe rais anapaswa kuwa na Elimu kubwa kuliko wale wote anaowaongoza kama sivyo...
African presidents resist term limits: Guinea, Burundi, Cameroon, Rwanda, Uganda
21/10/2019
Guinea’s president Alpha Conde has become the latest African head of state to seek an extension his...
Karibu watu 10 wameuawa katika mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Japan.
Kulingana na shirika la Kyodo, mvua kubwa imekuwa ikinyesha tangu jana, mji mkuu wa...
Mwanamke kutoka Misri amabaye aliaminika kuwa na uzito mkubwa zaidi Duniani amefariki huko katika Muungano wa Falme za Kiarabu, Eman Ahmed El Aty alisafiri mapema mwaka huu na kwenda India...
Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe jana waliandamana kumuunga mkono Rais Emmerson Mnangagwa kupinga vikwazo vilivyowekwa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya dhidi ya nchi hiyo.
Marekani na Ulaya...
Hakuna ubishi Marekani wana uwezo Kivita kulinganisha na Uwezo wa Iran Kivita. Takwimu zinaonyesha Marekani Hatakiwi hata Kepeleka Full Kikosi ili Kuichapa Irani, yaani kuichapa Iran Marekani...
Wild boars overrun Islamic State position, kill 3 militants
Three Islamic State militants setting up an ambush in a bitterly contested area of northern Iraq were killed by a herd of stampeding...
Kiongozi wa Chama cha Upinzani cha Movement Democratic Change(MDC), Nelson Chamisa alikataa kuukubali ushindi wa Emmerson Mnagangwa baada ya uchaguzi 2018
Waziri wa Sheria, Ziyambi Ziyambi...
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ameamuru kuvunjwa kwa hoteli na miundombinu ya utalii iliyojengwa na Korea Kusini eneo la Kaskazini ya nchi hiyo kwa kuwa Korea Kusini imeshindwa kupuuza...
Dar es Salaam. The Tanzanian government said on Wednesday October 23 that it supports China’s position in the Asian country’s ongoing dispute with Hong Kong.
Justice and Constitutional Affairs...
Kwa wale mnaofuatilia uchaguzi katika nchi ya Botswana chama tawala kimeshinda na Dr Masisi ametangzwa kuwa ni Raisi chini ya BDP. Nipo hapa Botswana nikifuatilia uchaguzi huu na yafuatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.