International Forum

News and Stories from rest of the World
Vikosi vya Serikali ya Burundi vimewaua Waasi 14 na kukamata bunduki 11, baada ya kuzuka kwa mapigano makali katika wilaya ya Musigasi. Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Burundi imeeleza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
39 people found dead inside lorry in Essex Thirty-nine people, including a teenager, have been found dead inside a lorry container at an industrial park in Essex. Police and ambulance crews were...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter mwenye umri wa miaka 95 sasa amelazwa tena hospitali baada ya kuanguka na kuvunjika nyonga nyumbani kwake huko Georgia Masemaji wa Rais huyo, Deanne...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu ametangaza kushindwa kuunda baraza la mawaziri, na kurejesha mamlaka ya kufanya hivyo kwa rais Reuven Rivlin wa nchi hiyo. Amesema amefanya juhudi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Vita ya mifuko ya plastic inayoshika kasi Duniani imefika Thailand, maduka makubwa maarufu kama supermarkets huko Thailand yameanza kutumia majani ya migomba kama vifungashio. Majani ya migomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Ukrain uliopita wiki chache zilizopita na mchekeshaji maarufu Zelensky kushinda pia Groysman kuwa Waziri Mkuu unalifanya taifa hilo lenye mgigoro wa ndani pia na jirani yake Urusi...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Najaribu kufuatilia kwenye mitandao ya kijamii na kwenye news channels ila ZERO VISIBILITY for Tanzania. Meanwhile, nchi za Rwanda, South Africa, Zimbabwe, Cameroon, Angola etc zimekubaliana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Utafiti uliofanywa nchini Rwanda umeonyesha kuwa, nchi hiyo imepiga hatua kubwa katika kutimiza lengo la Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI (UNAIDS) la 90-90-90 ambalo linasaidia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mfumo wa mawasiliano unapita chini ya bahari unaziunganisha nchi mbalimbali za bara la Afrika wazima. Mfumo huo unaofahamika kwa jina la Seacom umepata hitilafu usiku wa kuamkia leo Tatizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ByCaroline Njoroge Posted on April 27, 2016 The Chinese government has assured President Magufuli of its full support in the project The Chinese government has assured President Magufuli of its...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bunge la Rwanda limeidhinisha kwa kauli moja muswada unaowataka wachungaji wa makanisa kuwa na shahada ya theolojia. Sheria hiyo mpya inayataka pia madhehebu yote nchini humo kuweka wazi vyanzo...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Bunge la Korea Kaskazini, limepitisha mabadiliko ya katiba na kumuongezea nguvu zaidi kiongozi wao Kim Jong Un kuwa kiongozi wa juu kama alivyokuwa Babu yake Kwa sasa Kim ni kiongozi wa Taifa na...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Rais Donald Trump yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki iwapo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Aug 17, 2019 LIBREVILLE: Gabon’s Bongo in first live public appearance after stroke President Ali Bongo of Gabon on Friday made his first live appearance in public nearly 10 months after...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Shirika la ndege la nchini Australia, Qantas limefanya safari ya majaribio ya ndege za kibiashara moja kwa moja kutoka New York, Marekani hadi Sydney nchini Australia ikiwa ni majaribio ya huduma...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Wikileaks imelishtua shirika la ujasusi la Amerika CIA baada ya taarifa za siri za shirika hilo KUTOLEWA HADHARANI. Habari hizo zinasema kuwa MAELFU ya CODES ambazo CIA walikuwa wakituzimia...
6 Reactions
29 Replies
41K Views
Amani iwe nanyi wakuu katika jukwaa Naomba kujuzwa ivi hii inchi ya saud Arabia ni nchi ya namna gan Kuanzia muundo wa selikal na watu wake Je ni jamii gan ya watu Na kwanini waislam wa...
18 Reactions
383 Replies
30K Views
TURKEY’S President Recep Tayyip Erdogan and his ruling Justice and Development Party (AKP) have announced they want to create an “army of Islam” to wage war against Israel, it has been revealed...
1 Reactions
67 Replies
7K Views
HakiIKULU YA RAIS RWANDA Kampuni ya Mara nchin Rwanda imezindua simu mbili aina ya smartphone , ikitaja kuwa za kwanza 'kutengezwa barani Afrika' hatua inayopiga jeki maono yake ya kuwa bingwa wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Makamu wa Rais wa Zamani wa Marekani Bw. Joe Biden akishirikiana na magenge ya wahuni na wavuta bangi wanatamani Rais mteule Tariff Man Trump apinduliwe kwa hoja za kuokoteza mtaani kutoka kwenye...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
Back
Top Bottom