International Forum

News and Stories from rest of the World
Ile zahama iliyowakuta Huawei sasa imehamia kwa makampuni kadhaa ya kiteknolojia ya China ikiwemo kampuni kubwa ya camera za ulinzi ya Hkvision. Marekani inaendeleza mbinyo wa kuyatupia kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwisho wa mwezi wa 9 na mwanzo wa mwenzi wa 10 kuna kikao kinaendelea pale new york USA Yes ni mataifa yanatoa riport zao mbali mbali shukrani nyingi sana kwa serikali yetu ya tanzania kwa riport...
0 Reactions
0 Replies
530 Views
Marekani yazidi kuibana china,na vikwazo lukuki,je itafanikiwa kudidimiza uchumi wa china?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapenzi raia wa kigeni ambao hawajaoana sasa wanaweza kulala chumba kimoja cha hoteli nchini Saudi Arabia. Hayo ni sehemu ya mabadiliko ya masharti ya kupata viza yaliyotangazwa hivi karibuni na...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Watanzania wengi wanaamini kabisa kwamba Mugabe aliingia msituni akisaidiwa na sisi pia kumuondoa Mkoloni Uingereza, hilo ni kweli lkn kwa kiasi fulani, nitajaribu kuelezea. Mugabe & Co...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Iran kuzindua satalaiti tatu mpya za Zafar, Pars 1 na Nahid 1 Oct 05, 2019 08:03 UTC Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran itakamilisha utengenezaji wa...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Uingereza ina nini au imekwazwa na nini?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram Oct 05, 2019 15:05 UTC Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu wenye silaha wametekeleza mauaji ya watu 11 usiku wa kuamkia leo kaskazini mwa Rwanda. Tukio la mauaji hayo lilitokea mida ya saa tatu usiku katika tarafa za Kinigi na Musanze wilayani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Shambulizi la silaha nchini Marekani: Watu 4 wameuawa na 5 kujeruhiwa kufuatia shambulizi la kutumia silaha lililofanyika katika baa moja jimboni Kansas nchini Marekani. Kwa mujibu wa habari...
1 Reactions
6 Replies
861 Views
[https://static] North Korea is accusing the US of spreading the Ebola virus, claiming it has been “bent on the development of bio-weapons” in order to achieve world supremacy. The secretive...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nancy Pelosi mtoto wake alifutiwa Kesi ya utapeli Ukraine kampuni ya gas baada ya mama ake kuitishia Ukraine 2015 .Trump anafichua siri za watoto wa mafisadi sasa washington .Na trump Ameomba...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
DALLAS (AP) — A witness in the murder trial of a white Dallas police officer who fatally shot her black neighbor has been killed in a shooting, the Dallas Morning News reported, citing...
1 Reactions
3 Replies
903 Views
Nawasalimu nyote ktk jukwaa hili,twende kwenye mada. Kuna mchakato unaendelea nchini Burundi kumtafuta mlithi wa rais Nkurunziza baada ya kutanabaisha kua hatogombea tena katika uchaguzi ujao...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nchi za magharibi na mashirika yao ya fedha hawawezi kuacha kukopesha nchi za Afrika kwa masharti magumu ili mradi misaada wanayowapatia haileti tija kwa raia wake. Habari kamili ipo hapa...
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Hunter Biden ni mtoto wa joe Biden ila huyu m baba ana matatizo kibao na baba ake alijua mtoto wake ana matatizo ,kwanza alifukuzwa Navy kwa ajili ya cocaine heroine na Akaja ku date mke wa kaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Askari wanne wa Idara ya Polisi wamefariki baada ya kushambuliwa kwa kisu baada ya Mtu mmoja kuvamia Makao Makuu ya Polisi Mtu huyo aliuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuanza kuwashambulia askari...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Salami: Adui hana ujasiri wa kufyatua risasi hewa dhidi ya Iran Oct 04, 2019 01:40 UTC Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema adui wa taifa hili hana uthubutu...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hawa ndio Majaji wasiopenda kupewa maelekezo kutoka juu.
3 Reactions
6 Replies
2K Views
...Jaji mmoja nchini Thailand amejipiga risasi akiwa mahakamani akipinga kuingiliwa uhuru wa mahakama. Jaji huyo aliwaachia huru watuhumiwa wanaofuata imani ya Kiislamu waliokuwa wanakibiliwa na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom