Saudi Arabia imesitisha kwa muda uchimbaji mafuta katika vituo viwili ambavyo vimeshambuliwa na ambavyo vinamilikiwa na kampuni ya mafuta ya nchi hiyo Saudi Aramco.
Waziri wa nishati ambaye pia...
Rais Donald Trump amesema Marekani iko tayari kujibu mashambulizi yaliyofanywa katika miundo mbinu ya mafuta ya Saudi Arabia, mashambulizi ambayo Marekani imeoinyoshea kidole cha lawama Iran...
Washington, Marekani. Kufuatia mashambulio katika vituo vikuu vya mafuta Saudi Arabia, maafisa nchini Marekani wamekuwa wakizungumza kuhusu kutumia akiba kubwa ya mafuta iliyofichwa nchini humo...
Watu 24 wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa leo, baada ya bomu lililokuwa limetegeshwa kwenye moja ya magari ya Polisi kulipuka Kaskazini mwa nchi hiyo huko Parwan
Hakuna mtu au kikundi...
Ashusha mabomu tani 40, kipigo cha carpet bombing ni aina ya kupiga mabomu bila kujali wapi unapiga, yaani mwendo wa kushusha tu, full milipuko hakuna kinachosazwa iwe panya, paka au bnadamu...
Millions of pigs have been culled across Asia in a bid to curb the spread of the disease
South Korea on Tuesday reported its first cases of African swine fever, becoming the latest country hit by...
Maelfu ya Watoto waliachiwa kutoka katika vikosi vya mapigano baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya amani mwaka jana(2018)
Tume ya Haki za Binadamu nchini Sudan Kusini imesema kwa uchunguzi wa...
Kiongozi Mkuu wa Upinzani, Hwang Kyo-ahn amekuwa wakwanza kunyoa nywele kama ishara ya kumpinga waziri huyo ambaye familia yake inatuhuma za rushwa
Hwang Kyo-ahn amenyoa nywele zake mbele ya...
Huko Marekani padri mmoja wa kanisa katoliki jimbo la New Mexico amehukumiwa miaka 30 kwa kusa la kulawiti na kuwadhulumu watoto kingono.
Padri huyo baada ya kusikia anatafta akamatwe...
Siku zote ukifa lazima upendeze, hata kama ulikuwa na maovu gani. Lakini cha kushangaza Nd. Mugabe aliyekuwa Rais wa Zimbabwe na mpigania uhuru, ngozi nyeuoe haikutaka ukaribu hata wa jeneza lake...
Daktari kijana aliyekuwa akiongoza mgomo wa Madaktari nchini humo kutokana na malipo kiduchu kutoka kwa Serikali ametoweka katika mazingira tatanishi
Dr. Peter Magombey ametoweka wakati ambao...
Eneo la Molise, pori la kupendeza lililosahaulika litamlipa mtu yeyote aliye tayari kuhamia zaidi ya Tsh. 60,000,000/= kwa miaka mitatu sawa na malipo yanayozidi milioni moja na nusu (1,500,000/=)...
Mashambulio manne ya makombora katika siku tatu; tukio la aina yake katika vita vya Yemen
Aug 04, 2019 10:50 UTC
Ikiwa ni katika kujibu mashambulio na jinai za kinyama zinazotekelezwa na muungano...
US Stealth Bomber costing $2.1bn and with call-sign 'DEATH' lands at British RAF base after training mission in Iceland as stunned plane fanatics look on
Plane spotters received an unexpected...
Mzuqa
Jana jamaa kajitoa mhanga kwa kujilipua na kuua wanamgambo wtatu wa Hamas. Hamas inaishutumu kikundi cha ISiS. Hali sasa hivi Gaza ni ya kutisha cha kushangaza hawa watu Israel siyo tishio...
Kumbe Saudia inajua kushambulia tu wa Yemeni lakini mfumo wake wa kujilinda na makombora ni bure kabisa. Wahuthi kwa sasa wana locally made drones zenye uwezo wa kwenda kushambulia hadi karibu...
Bei ya mafuta huenda ikaongezeka kwa hadi dola 10 kwa pipa baada ya kushambuliwa shirika la mafuta la Saudia
Sep 15, 2019 12:27 UTC
Vyombo vya habari vinavyojishughulisha na masuala ya uchumi...
Published 08:41 (GMT+0000) September 12, 2019
Multimission Launcher demonstrator. Photo courtesy of White Sands Missile Range
The U.S. Army is scheduled to conduct a flight test of the Low-cost...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.