Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa...
Maombi ya Watu takribani 371 waliokua katika mchakato wa kujaza fomu za kuiomba Serikali ya Switzerland iwaruhusu kujiua kupitia sanduku jipya maalum kwa ajili ya kujiua liitwalo ‘Sarco...
Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya...
Maajabu (kama walivyokuwa wajinga) hayatakaa yaishe.
Ya kwamba mara ya mwisho Ilikuwa angalau mwaka huu.
Ya kuwa madai haya si kutokea Kwa vyanzo reja reja:
La kutia moyo ni kuwa vita vyote...
Bila shaka Natenyahu naye alikuwa mbele ya runinga:
Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel...
https://x.com/dogeofficialceo/status/1843382048767258909?t=snaDQf8FVMrm5Dx2zKuZzw&s=19
Elon anacheka lakini ni ukweli. Ikiwa Trump atashindwa, Elon ataishia kushtakiwa na kupigania maisha yake...
Katika kikao cha Leo Benjamini Netanyahu pamoja na majenerali wa Wanamgambo wa Israel wameafiki kushambulia sehemu zingine za Kijeshi za Iran ila kamwe hawatathubutu kugusa Kambi ya Nyuklia ya...
Benjamin Netanyahu amewatahadharisha na kuwasihi raia wa Lebanon 🇱🇧 akiwaomba kushikamana na kutumia wakati huu kuiondosha Hezbollah, Netanyahu amesema kwamba kundi hilo la kigaidi limekuwa...
Russia Demands Explanation for Biden’s Nord Stream 2 Comments
Marekani wameficha kichwa kwenye shamba la karanga huku matako yote yanaonekana ngoja tuone watachomokea wapi.
On February 7, Biden...
Nina wasi wasi hata wale mateka wa Kiisrael walitekwa kimtego ili Israel ipate sababu ya kufanya haya. Hezbollah kwa sasa wanataka amani. Wayahudi wabishi. Why jamani? Msifanye hivyo. Acheni amani...
Kimbunga cha Helene kimeua zaidi ya watu 90 kusini mashariki mwa Marekani, na kusababisha mafuriko na uharibifu mkubwa kwa miundombinu na jamii.
Siku chache baada ya kimbunga hicho cha kiwango...
Wanakumbi.
MPYA:
🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:
"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"
Iran imesema...
Jumatano ya 24th July 2024, ndege vita 4 zinazojulikana kama nuclear bombers za China na Russia ziliingia kufanya "strategic patrol" au "doria ya kimkakati" eneo la Alaska Air Defense...
Wahuni hawa kama ilivyo kawaida yao ya unyama na itikadi za kitapeli zisizokuwa na maana walifanya maafa sana.
Maafa wanayofanya na itikadi walizonazo haziwezi vumilika kwa dunia ya kawaida...
BREAKING:
Iran yasema Israel ikithubutu kurusha hata jiwe itapata kipigo zaidi ya kile cha Jana..Netanyahoo alizoea kupigana na Wanamgambo amekutana na Jeshi kamili.
🇮🇷 Statement by the IRGC...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni kuhusu msimamo wa mjerumani Martin Luther profesa wa theolojia , kasisi na baba wa mageuzi ya kidini duniani.
Mtazamo wa kasisi huyu wa kijerumani kwa Wayahudi ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.