Jeshi la uturuki lipo mpakani mwa syria na iraq ambapo linafanya mazoezi ya nguvu.
Sababu ya kufanya hivyo ni kutopenda kufanyika kwa kura ya maoni ya jimbo la wakurdi wanaotaka kujitenga kutoka...
Aman iwe nanyi wapendwa kwatika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza hapo juu
.ubabe bado mkubwa sana huko ras ya korea marekan ametuma madege makubwa ya kivita ili kumuonya kim na...
Watu 6 wamejeruhiwa huko Stratford mashariki mwa London kwenye kile kinachotajwa kuwa shambulizi la tindi kali.
Polisi waliitwa kwenda huko Stratford kufuatia makabiliano kati ya makundi mawili...
WanaJf hakika mahasimu hawa ambao tumeshuhudia wakitupiana maneno na kujiita majina yasiyofaa kila mmoja, Korea kaskazin na Marekani kama watafikia hatua ya kushambulia kijeshi basi dunia nzima...
TRUMP DHIDI YA KIM NA DHANA ZA HEGEMONIC NA STATE BEHAVIOUR KATIKA NATIONAL INTERESTS!
Dunia nzima sasa imekaa kama watu wanaosubiria jambo fulani kwa makini. Jambo hili ni vita baina ya Marekani...
Karibuni Timu Trump na Timu Kiduku.....
Kiongozi wa Korea Kaskazini amwita Rais Donald Trump "mbwa mwenye hofu" na "gangster anayependa kucheza na moto" katika taarifa rasmi iliyotolewa jana...
Rais Robert Mugabe amemshambulia Rais Donald Trump wa Marekani katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa akimkejeli kuwa sawa na sanamu kubwa la Goliath lililonakshiwa kwa dhahabu.
Akihutubia...
Rais Wa Korea ya kaskazini hakamatiki kwa kauli za kejeli na dharau! Adau "atamfuga" kibabu Trump ambaye amezeeka na akili yake imezeeka na kuwa kama ya zezeta. Ametumia msamiati mkali Wa English...
John Haltiwanger,Newsweek 9 hours ago
The seemingly neverending war of words between U.S. and North Korean leaders has escalated yet again. Kim Jong Un referred to President Donald Trump as...
Takribani wahamiaji 50 wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya. Inadaiwa kuwa boti hiyo iliishiwa mafuta.
Boti hiyo iliondoka katika mji wa Sabratha...
Mamia ya vijana wamefanya maandamano katika maeneo ya uchimbaji madini nchini Guinea, huku wakichoma moto kituo cha polisi na kuwasha moto kwenye jengo lingine la umma.
Habari kutoka mji wa...
Maelfu ya watu wameandamana nchini Ufilipino kwenye maadhimisho ya miaka 45 tangu kupitishwa kwa sheria ya kijeshi nchini humo wakipinga walichokiita maamzuzi ya kiimla ya Rais Duterte na umwagaji...
Nine elephants were electrocuted by electric power lines while drinking water from a leaked pipe at Dukwi village near Sua Pan in Botswana.
The elephants hit the overhead power lines which fell...
Gavana wa Benki Kuu ya Kenya Patrick Njoroge hatimaye amekubali kuondoa picha ya Rais wa kwanza wa nchi hiyo Mzee Jomo Kenyatta kwenye noti zote.
Picha za Utalii na Kilimo kama Wanyama Pori ...
Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na nchi za 5+1 kimefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York kwa lengo la kutathmini utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia ya Iran...
Ed Mazza,HuffPost 7 hours ago
President Donald Trump called Kim Jong Un “rocket man” earlier this week, and now the North Korean dictator has returned fire.
Kim gave Trump a nickname of his...
Msaada wa kibinadamu wa Korea Kusini umekuja katikati ya mvutano juu ya muendelezo wa vitisho vya nyuklia na kijeshi vinavyofanywa na Korea Kaskazini ambapo kumekuwa na hisia mbalimbali juu ya...
It might make things worse.
Kim Jong Un: What If America Just Assassinated North Korea's Dangerous Dictator?
Putting Kim six feet underground is only one choice in a set of options that the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.