International Forum

News and Stories from rest of the World
Huwa napata tabu sana kuwaelewa watu wanao wabeza askari polisi. Kiukweli kazi ya uaskari polisi ni moja kati ya kazi za kizalendo sana kwani ni kazi inayo waweka wahusika...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Iran Unveils New Multiple Warhead Ballistic Missile Ijumaa ya Leo IRAN yaendelea kukaidi mwitikio wa US wakuitaka iachane na mpango wake wa kutengeneza makombora ya Ballistics ya masafa...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Raia wa Korea Kaskazini wamepigwa marufuku kuingia nchini Marekani. Korea Kaskazini inaingia kwenye orodha ya nchi za Venezuela na Chad ambazo zimezuiliwa kwa viongozi na familia zao. Nchi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Afisa mmoja nchini DRC anasema wafungwa 34 wametoroka gerezani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC baada ya kuuvunja ukuta wakati wa mvua mkubwa iliyokuwa inanyesha. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Wao wanaita propaganda nakini NK anatuma message. Don't try the NK nation. North Korea 'blows up US aircraft carrier and jets' in new propaganda video
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari zinazotawala kwa muda huu ni juu ya tamko la waziri wa mambo ya nje wa Korea Kaskazini kuibuka na kuitangazia dunia kuwa waki tayari kwa vita dhidi ya marekani.
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Leo Rais Trump akihutubia wajumbe wa baraza la umoja wa mataifa kasema maneno yenye kuonyesha uoga kuwa anaihofia NK,nilichokigundua nikuwa anajua NK inaouwezo wa kupiga hadi USA na kuwateketeza...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Ni hotuba iliyotumia lugha nyepesi bila ya terminologies ngumu za shule na ujumbe umefika bila ya kuzunguka mbuyu. Haikuwa hotuba ya darasani (academic) ilikuwa ni hotuba yenye uhalisia wa dunia...
11 Reactions
35 Replies
4K Views
kikosi cha jeshi la nchini Nigeria Serikali ya Nigeria imekamata silaha zilizokuwa zinaingizwa nchini humo kupitia bandari ya Lagos kinyume cha sheria, kutoka nchini Uturuki. Ni mara ya nne sasa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu mitazamo yenu maana mimi naona inaenda tokea vita kuu ya dunia au wote wana ogopana?? Maana korea imeahidi inatungua ndege meli za kivita zozote zitazopita karibu au hata nje ya korea...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Polisi mjini Berlin wamemsifu mkimbizi wa Iraqi aliyekabidhi pochi aliyoipata ikiwa na kitita cha dola $16,800. Pochi hiyo iliachwa ndani ya treni Ijumaa iliyopita usiku na mwanamke kikongwe...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wapendwa... Leo huko nchini Germany,uchaguzi wa kihistoria unafanyika huku ikisubiriwa kwa hamu na shauku kubwa kuona je,Mama Angela Merkel na Chama chake ataendelea kutawala tena kwa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Serikali ya Marekani Ijumaa iliyopita iliwaambia maafisa wa uchaguzi kuwa wadukuzi walishambulia mitambo yao ya uchaguzi kwenye majimbo 21 japokuwa kwa kiasi kikubwa hawakuweza kuingilia mitambo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimefurahi sana Angela kuchaguliwa tena kuea Chancellor was ujerumani. Sasa EU Na euro is right back on truck mashenzi uingereza yaondoke kabisa. Ujerumani Na ufaransa ndio baba Na mama wa EU Na...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wanajukwaa. Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Rais wa Philippines Rodrigo Durtete ameliagiza jeshi la polisi nchini humo kumchunguza na ikiwezekana wamuue mwanaye Paul Durtete...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Zimbabwean police arrested activist pastor Evan Mawarire of the #ThisFlag movement as he stepped down from his pulpit on Sunday. They accused him of subversion for a series of social media posts...
0 Reactions
1 Replies
632 Views
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani hajui lolote kuhusu dunia na eneo nyeti la Mashariki ya Kati isipokuwa fedha, mafuta na kudansi akiwa ameshika...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Marufuku kutuma pesa au kufanya biashara na North Korea.Bank zote zitakuwa monitored.Trump atakata internet .Secretary of Defense amesema North Korea itageuzwa Kuwa carpet
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Huyu kama atakua aling'atwa na mbwa maana amekua na kichaa kisichoeleweka. Jamaa anafanya majaribio ya nyuklia zake na kusababisha ukanda huo kutokalika kwa mitetemeko kila uchao. Anatikisa kote...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika kile kinachoonyesha kuzikwanza nchi mbali mbali duniani na hata nchi za Afrika, raisi Joseph Kabila amejikuta katika wakati mgumu baada ya hotuba yake kususiwa na kujikuta akihutubia...
4 Reactions
69 Replies
9K Views
Back
Top Bottom