International Forum

News and Stories from rest of the World
Waziri wa afya nchini Marekani, Tom Price amejiuzulu baada ya kukodi ndege binasfi ikiwa ni kwa ajili ya shughuli za kiserikali. Waziri Price aliomba radhi kwa kufanya safari akitumia ndege za...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Being called a 'good man' by Trump is sometimes an omen By JILL COLVIN,Associated Press Sep 30, 2017 BRANCHBURG, N.J. (AP) — Sometimes it's better not to be a nice guy. President Donald Trump...
0 Reactions
2 Replies
652 Views
Mtandao wa kijamii wa Twitter, umebaini kuwa kulikuwa na matangazo 2,000 yaliyotumiwa na vyombo vya Habari nchini Urusi kujaribu kuingilia Uchaguzi wa Marekani mwaka uliopita. Taarifa kutoka...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mkanyagano umetokea baina ya watu waliokuwa wamejificha kwenye daraja la reli ya Mumbai Mvua kubwa ilikuwa imenyesha na watu wakajificha kwenye daraja hilo, na baada ya mvua kukata ndipo watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kituo CCIB FM+, cha radio nchini Burundi kimefungiwa kwa muda baada ya kukosoa Serikali kufuatia mauaji ya warundi wakimbizi nchini Jamuhuri ya demokrasia ya kongo. CCIB FM+, cha nchini Burundi...
1 Reactions
4 Replies
923 Views
Mwarabu kasema majaribio kama hayo yataendelea na yataendelea tu. Kasema hakuna MTU wa kumpangia silaha gani awe nayo na silaha gani asiwe nayo! Huku KIDUKU anajambisha. Huku Iran anajambisha...
13 Reactions
91 Replies
10K Views
Watu 5 wamepoteza maisha na 20 kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko wa bomu karibu na msikiti wa Shia mjini Kabul wakati watu walipokuwa wanatoka kuswali sala ya Ijumaa Msemanji wa Wizara ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
China imeyaambia makampuni ya Korea Kaskazini yaliyo nchini mwake kufunga, wakati inajaribu kutekeleza vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hilo. Makampuni hayo yatafungwa ifikapo mwezi...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Summary: 1.Huyo Bwana anasema Marekani haipaswi kuwa kimbelembele kuinyooshea kidole North korea kuhusu silaha za Nyukilia wakat, yenyewe inazo, na ndiyo nchi pekee duniani kuwahi kuzitumia dhidi...
39 Reactions
48 Replies
5K Views
Mfalme Salman ametoa amri ambayo itaruhusu wanawake kuanza kuenesha magari, wizara ya mambo ya nje ya taifa hilo imesema kupitia ukurasa wake wa Twitter. Kamati imeundwa kutekelezwa kwa maagizo...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Maafisa usalama nchini Somalia wanasema mlipuko wa bomu la kwenye gari katika mji mkuu Mogadishu umewaua takriban watu saba na kuwajeruhi wengine sita. Msemaji wa utawala wa Mogadishu Abdifatah...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Sept 25, 2017 Nairobi, Kenya A Story a Day Episode 24: Joseph Kabila Kabange After Mzee Tatu (Laurent-Désiré Kabila) was assassinated, his son Joseph Kabila was sworn in as President. Jeff...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Anaandika Luqman Maloto Mwaka 1998, ilivuja skendo kubwa ya kimapenzi Marekani. Kwamba kati ya mwaka 1995 mpaka 1996, Rais wa 42 wa nchi hiyo, Bill Clinton alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
Hugh Hefner, who created Playboy magazine and spun it into a media and entertainment-industry giant — all the while, as its very public avatar, squiring attractive young women (and sometimes...
5 Reactions
25 Replies
6K Views
Korea Kaskazini yailaumu Marekani kwa kutangaza vita Waziri wa mambo ya nje wa Korea Kaskazini wamedai kwamba rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vita dhidi ya taifa hilo. Ri Yong-ho...
10 Reactions
95 Replies
8K Views
Baada ya Trump kukurupuka kutangaza kuiangamiza NK, Korea ilijibu kuwa itadungua ndege za USA zikipita S. Korea au Japan. Msemaji wa ikulu ya marekani ametoa taarifa kuwa Trump hakutangaza vita...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Kundi ya watalii kutoka nchini uholanzi wamesitisha likizo yao ya siku 22 nchini Afrika Kusini baada ya kuvamiwa na kuporwa mjini Johannesburg. Watalii hao 36 walikuwa wamewasili kwenye uwanja wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii ni baada ya hoja itakayomuwezesha Museveni kutawala hadi kifo kukataliwa, wameishia kupigana na kuvuruga shughuli zote bungeni.
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Ana technologia ya kufa mtu ambayo mataifa yote duniani yanaitafakari. Kim sio mpumbavu kumbwekea Marekani vile. Huyu jamaa inasemekana ana uwezo wa kuzima satellites zote angani zinazoendesha...
8 Reactions
52 Replies
5K Views
Maelfu ya raia nchini Afrika Kusini wameandamana katika miji kadhaa nchini humo kupinga ufisadi serikalini na kushinikiza rais Jacob Zuma anayekabiliwa na kashifa kadhaa kujiuzulu. Zaidi ya...
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Back
Top Bottom