International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa ushuhuda kuwa hajawahi kuugua kwa miaka 31 sasa, akisema hayo yamesababishwa na yeye kufuata kanuni nzuri za ulaji kiafya Ameongezea kuwa asilimia 75 wagonjwa...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Mfumo mpya utakaotumika utahakikisha wanaokwenda Marekani lazima wawe na ujuzi au tajriba fulani na lazima wawe na uwezo wa kuongea Kingereza ipasavyo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
MAREKANI: Zaidi ya nusu(50.8%) ya wanafunzi watakaojiunga na Chuo Kikuu cha Havard kwa mwaka mpya wa masomo hawatakuwa Wazungu. Ni mara ya kwanza katika historia ya Chuo hicho chenye miaka 380...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mjumbe wa China katika Umoja wa mataifa amesema kwamba sasa ni wakati wa Marekani na Korea kaskazini wenyewe kuelewana kuhusu mpango wa nyuklia na majaribio ya makombora. Amesema si jukumu la...
15 Reactions
142 Replies
17K Views
•1.Northrop Grumman B-2 Spirit(USA) Ndege hii iliyotengenezwa kwa usiri mkubwa ni moja ya fahari ya jeshi la Marekani na inajulikana sana kutokana na umbile lake kufanana na Popo. Ilianza...
12 Reactions
81 Replies
11K Views
Saizi marekani kumekuwa na kelele nyingi sana ambazo haileweki mwisho wake nini. hii yote ni kwa sababu eti urusi iliingilia uchaguzi wa marekani na wanasema urusi ndio waliofanikisha ushindi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wizara ya elimu nchini Sudan imeripotiwa kutoa agizo kwa shule zote za kanisa kufunga siku ya Ijumaa na Jumamosi na kuendelea na masomo kama shule nyingine siku ya Jumapili. Kulingana na afisa wa...
6 Reactions
262 Replies
18K Views
Polisi mjini Lagos nchini Nigeria wanasema kuwa wamegundua madhabahu yanayomilikiwa na watu wanashukiwa kuwa wanachama wa dhehebu linalojulikana na Badoo Polisi waligundua makaburi na vifaa vya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
July 31, 2017 Kigali, Rwanda UCHAGUZI WA RWANDA 2017: Sera za wagombeaji na historia Mwenyeji wa kipindi Sylvanus Karemera wa RTV/RBA amewakaribisha magwiji Isidore Gahamanyi na Tom Ndahiro...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Siku chache baada ya mabunge yote ya USA kupitisha muswada wa kuiongezea Russia vikwazo zaidi na kisha Rais Trump kusaini kwa shingo upande, imedhihirisha kabisa kuwa Trump hakufurahia uamuzi huo...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezos amempiku Bill Gates kama mtu tajiri zaidi duniani akiwa na utajiri wenye thamani ya dola bilioni 90.6. Ongezeko la hisa za Amazon siku ya Alhamisi linamaanisha...
4 Reactions
57 Replies
13K Views
Waziri mkuu Wa Urusi amesema vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Urusi ni sawa na kitangaza vita vya kibiashara.Amesema kuwa mikakati iliotiwa saini na rais Trump, insonyesha udhaifu...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Rais Uhuru Kenyatta ameiambia jamii ya Wakamba kwamba atambwaga mgombea wa urais wa NASA Raila Odinga hata kama hawatampigia kura katika uchaguzi mkuu wa Agosti 8. Akiongea jana alipopeleka...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Marehemu Chris Musando, meneja wa Teknolojia na Mawasiliano ICT katika Tume ya Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya IEBC, alikuwa na siri muhimu kuhusu jinsi ya kuzuia wizi wa kura kwenye...
8 Reactions
60 Replies
7K Views
Waziri wa Ulinzi wa USA ameiomba nchi ya Korea Kaskazini wakae chini na waongee, kwamba wao siyo maadui! Wakati Watanzania tunatishana na kuogopeshana kwamba tusipompa Mzungu Rasilimali zetu basi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Raia wa Afrika Kusini aliyekuwa akishikiliwa mateka na Kikundi cha Islamic Mghreb(AQIM) kinachoshirikiana na Al-Qaeda kilichopo nchini Mali ameachiwa huru. Bwana Stephen McGown mwenye umri wa...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Mtu mmoja ameshtakiwa na maafisa wa polisi nchini Australia baada ya kuvunja na kuingia katika nyumba moja kabla ya kunywa shampeni na kulala kitandani . Polisi wanasema jamaa huyo wa miaka 36...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Source: Yemen rapist who murdered toddler girl is executed | Daily Mail Online YEMEN; Polisi nchini Yemen imempiga risasi hadharani Muhammad Al-Maghrabi pichani (41) Kwa tuhuma za kumbaka mpaka...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Too much difficult things on Trump's Desk: 1.North Korea threats to US (Intercontinental Messile Test capable of reaching US Mainland) 2.Special agent Bob Muller investigation of Russia's...
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Kumekucha huko duniani! Rais mtata wa Ufilipino, Rodrigo Duterte atishia kuzuia usafirishaji wa madini na anaweza kufungia kabisa sekta ya madini au kuwatoza wachimbaji kodi ambazo hawatoamini...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom