International Forum

News and Stories from rest of the World
Barrick Reports Second Quarter 2017 Results TORONTO, July 26, 2017 PDF | Supplemental Information | All amounts expressed in U.S. dollars unless otherwise indicated Barrick reported...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Baraza la wawakilishi la Marekani limepiga kura kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi, Iran na Korea Kaskazini. Urusi inaadhibiwa kutokana na kudaiwa kuingilia uchaguzi mkuu wa mwaka jana wa...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Mbunge mmoja nchini Malaysia amekosolewa vikali baada ya kusema kuwa wanawake wanaowanyima mabwana zao tendo la ndoa huwasababishia dhuluma za kisaikolojia. Che Mohamad Zulkifly Jusoh kutoka...
0 Reactions
3 Replies
898 Views
TOFASIRI Ujirani kati ya Tanzania na Rwanda umezidi kuingia dosari baada ya duru za kipelelezi za Rwanda kushirikiana na chama cha CHADEMA, chama hasimu dhidi ya serikali inayoongozwa na ndugu...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Ndugai can be taken to court....... Expulsion of MPs the Speaker and the courts February 07, 2006 00:00 IST Updated: March 23, 2012 10:30 IST Mahendra P. Singh Even though the expelled...
0 Reactions
3 Replies
762 Views
Mwanajeshi mmoja wa Marekani amekiri kuua kinyama zaidi ya Wairaki 2000 katika kipindi cha miaka mitano aliyohudumu nchini humo. Kwa mujibu wa televisheni ya Marekani ya Fox News, Sajenti Dailard...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Mamlaka kuu nchini China imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 60 ya zaidi ya watoto milioni saba waliozaliwa mwaka huu, ni watoto wa pili ambao familia zilikubaliwa kuzaa. Hayo ni baada ya kibali...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Waandamanaji katika mji ulio kusini magharibi mwa Ufaransa wamejenga ukuta unaozunguka lango la hoteli ya zamani kuzuia isitumiwa kama makao ya wahamiaji. Wakaazi kadha waliweka ukuta wenye umbali...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wapinaji wa Taliban wamewaua wanajeshi 26 wa Afghanistan na kuwajeruhi 13 kwenye shambulizi lililofanywa jirani na kambi iliyopo Kandahar. KANDAHAR, Afghanistan (Reuters) - Taliban fighters...
1 Reactions
5 Replies
904 Views
A four-storey building at No 3 Massey Street, Lagos Island collapsed on Tuesday. The incident was said to have occurred at about 3pm, with rescue operators battling to rescue the trapped victims...
0 Reactions
3 Replies
638 Views
Raia mmoja wa Brazil ambaye ni mchezaji kandanda wa timu ya chelsea ya England amerudishwa uingereza kutoka ziarani China baada ya mwanasoka huyo kuwaita wachina ' wapumbavu' Mbrazili huyo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanafunzi sita wametoweka kwenye maonyesho ya kimataifa ya Roboti yaliofanyika huko Washington Marekani . Wanafunzi hao kutoka Burundi wavulana wanne na wasichana wawili wakiwa wenye umri kati ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
INDONESIA: Rais Joko Widodo awaamuru Askari wa Jeshi la Polisi kuwapiga risasi wafanyabiashara wa mihadarati watakao kataa kukamatwa. Kauli hii imepingwa na Mwanaharakati wa Haki za Binadamu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake wengi. Mahakama iliambiwa kuwa Winston Blackmore mwenye umri wa miak 61 alioa wanawake 24 naye mwanamume ambaye alikuwa ni...
0 Reactions
4 Replies
792 Views
Nikolae Ceausescu alikuwa ni Rais wa Romania na Katibu Mkuu wa chama tawala aliyetawala kwa mkono wa chuma. Kauli yake ilikuwa ni sheria na ole wake aliyethubutu kuukosoa utendaji wake vyombo vya...
33 Reactions
99 Replies
13K Views
Wadada mnasemaje kwa hili la Mwalimu wa kike kufanya mapenzi na mwanafunzi wa miaka 13. Watoto wetu wako salama kiasi gani? ======================================================== HOUSTON (AP) -...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mwanamke mmoja ambaye jina lake halijafahamika mpaka sasa amekamatwa kwenye uwanja wa ndege wa Shenzhen nchini akitokea Hong Kong na simu aina ya iPhone 102 akiwa amezifunga kiunoni tayari kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Viongozi wawili wa dini nchini Canada wamepatikana na hatia ya kuoa wake wengi. Mahakama iliambiwa kuwa Winston Blackmore mwenye umri wa miak 61 alioa wanawake 24 naye mwanamume ambaye alikuwa ni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
The daughters of couple who went missing in the Swiss Alps 75-years ago have said they "will finally be able to mourn" their parents after their funeral service. Marcelin Dumoulin and his wife...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Rais Robert Mugabe amempatia shemeji yake kiasi cha Dola za Kimarekani 60,000/-(Sawa na Zaidi ya Shilingi Milioni 134 za Kitanzania) kama Zawadi ya Siku yake ya kuzaliwa(Birthday Gift). Mugabe...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom