URUSI: Tume ya Uchaguzi yamfungia kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani kiongozi wa Upinzani, Alexei Navalny.
Taarifa ya tume imesema kuwa kiongozi huyo hastahili kugombea urais kutokana...
Katika sintofahamu jana jimbo la New Hampshire mwakilishi wa jimbo hilo alisema aliyekuwa akigombea kiti cha urais Hillary Clinton anastahili adhabu ya kupigwa risasi kwa maelezo zaidi soma...
Zaidi ya watu 100 wanahofiwa kufariki baada ya sehemu ya Mlima kuanguka na kuyafukia makazi yao katika kijiji cha Xinmo katika Kaunti ya Maoxian Kusini mwa nchi ya China.
Takribani waokoaji 400...
Onyo alilokuwa akitoa Obama juu ya Trump kuwa hana sifa za mtu makini wa kuwa Raisi wa Marekani zimeanza kujionyesha wazi. Wamarekani wameanza kuona kuwa na Trump White House ni tatizo kubwa sana...
Mtu mmoja ameuawa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari kugonga umati wa watu waliokuwa wakitembea karibu na msikiti kaskazini mwa London.
Mwanamume mmoja wa umri wa miaka 48 alikamatwa...
June 19, 2017
Shambulio lingine London, Gari lagonga watu kadha
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari la mizigo kuvamia kundi la waenda kwa miguu, karibu na msikiti ulioko kaskazini ya mji mkuu...
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema kuwa inachunguza taarifa za kifo cha kiongozi wa Dola ya Kiislam, Abu Bakr al - Baghdad baada ya vikosi vya nchi hiyo kufanya shambulio la anga wakati viongozi wa...
Katibu Mkuu wa Umoja wa maraufa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unatoa himaya na uungaji mkono kwa makundi ya kigaidi likiwemo la Jabhat al-Nusra linaloendesha harakati zake huko...
Jeshi la utawala wa Kizayuni limemfukuza mwanajeshi mmoja aliyekataa kumpiga risasi binti wa Kipalestina aliye na umri wa miaka 16 kwa jina la Nauf Infiat.
Katika tukio hilo ambalo lilijiri...
Shirika la ndege la American Airlines limepata ombi kutoka shirika la Qatar Airlines ambalo linataka kununua asilimia 10 ya shirika hilo la Marekani. American Airlines ilisema kuwa Qatar ina nia...
Wadukuzi wa Urusi walilenga majimbo 21 wakati wa kampeni za uchaguzi wa Marekani ,kulingaa na maafisa wa Marekani.
Jeanette Manfra wa idara ya usalama wa ndani alikataa kutaja majimbo hayo wakati...
Rais Donald Trump ametangaza kujiondoa kwa Marekani katika makubaliano ya Paris juu ya mabadiliko ya tabia nchi.
Amesema mkataba huo si wa haki na unahatarisha mamilioni ya nafasi za kazi za watu...
Imetokea Afrika Kusini katika mji wa Lady Frere kondoo kuzaa mtoto kama binadamu na kuzua tafaruki miongoni mwa jamii. Hata hivyo, wataalamu wa mifugo wamekanusha kwamba huyo kondoo sio nusu...
Shirika la ndege la Israel EI AI limepigwa marufuku kutowaomba wanawake kubadilisha viti iwapo mwanamume wa kiyahudi atakataa kukaa karibu nao ,mahakama imeamuru.
Abiria Renee Rabinowitz ambaye...
Leo tarehe 3 mwezi WA pili(2) nchini Mozambique tunasherehekea sikukuu ya mashujaa,na tunakumbuka mauaji ya aliyekuwa muasisi wa frelimo hayati eduardo mondlane,tunawapongeza mashujaa wetu wote...
It is with heavy hearts that we announce the death of Quett Ketumile Joni Masire born 23 July 1925 in Kanye, Botswana.
Botswana's second President passed away tonight at 10pm after a few days in...
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa hakumrekodi aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika la FBI James Comey licha ya kudai hivyo hapo awali.
Alituma ujumbe katika mtandao wake wa Twitter kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.