International Forum

News and Stories from rest of the World
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Australia inasema kuwa inasitisha kwa muda oparesheni zake za kijeshi nchini Syia baada ya onyo kutoka Urusi kuwa italenga ndege za muungano unaoongozwa na Marekani, Serikali ya Australia inasema...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Chama cha Republican kimeshinda uchaguzi muhimu wa bunge la Congress katika jimbo la Georgia ulioonekana na wengi kuwa kura ya maoni dhidi ya utawala wa rais Donald Trump. Huku kura zote ikiwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndege aina ya F/A-18E Super Hornet (sawa na iliyo pichani) ilitungua ndege ya serikali ya Syria Urusi imeonya kuwa itashambulia ndege za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria iwapo ndege...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Viongozi wa dini ya Kiislam 130 wamegoma katakata kuongoza sala ya kuwaombea Magaidi waliohusika katika shambulio la London. Jana Polisi walitoa taarifa yenye jina la muhusika wa tukio hilo, hata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mohammed bin Nayef (right) as crown prince Saudi Arabia's king has appointed his son Mohammed bin Salman as crown prince - replacing his nephew, Mohammed bin Nayef, as first in line to the...
0 Reactions
3 Replies
922 Views
YULIN, CHINA: Maandalizi ya tamasha la nyama ya Mbwa yaanza ingawa kumekuwepo taarifa za mamlaka za serikali kuzuia tamasha hilo kwa mwaka huu. Vyama vya kutetea haki za wanyama vimepinga tamasha...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanajeshi wa Ubelgiji wamemuua kwa kumpiga risasi mlipuaji wa bomu wa kujitoa muhanga, katika kituo kikuu cha reli mjini Brussels. Idara ya polisi imesema kuwa mtu huyo alikuwa amevalia kile...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
World should see this, Position party in hard time than ever, CCM in free to do politics any where in Tanzania, media are in trable to.
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Belgian soldiers shot a terror suspect after an explosion rocked the central train station in Brussels on Tuesday in the latest attack to hit Europe. Witnesses said the suspect shouted "Allahu...
0 Reactions
5 Replies
793 Views
Hizi taasisi kama FBI na CIA zinapenda mno kuwa huru na kuheshimiwa Sasa huyu Trump kaingia mkenge mkubwa na bado.... Why the FBI might wage "war" on Trump — and how they would actually do it
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Otto Warmbier, mwanafunzi mwenye asili ya Marekani aliyekuwa na umri wa miaka ishirini na miwili, aliyerejeshwa nchini humo wiki iliyopita baada ya miezi kumi na mitano ya kushikiliwa nchini Korea...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Treni ilikwama ikiwa inafanya safari ya Machadodorp na Carolina in Mpumalanga baada ya reli yake kuibwa siku ya Ijumaa, hii inatokana na kuwa na madini mengi ya chuma Wizi wa vyuma vya reli...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Leo wakati nasikiliza BBC SWAHILI kukikuwa kuna mjadala unazungumzia bara la AFRICA. Lakini wakati nikisikiliza uchambuzi kutoka hawa wenzetu wanasema bara la africa ni bara linachambuliwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mahakama imemhukumu miaka miwili jela mwanaume mmoja baada ya kumning'iniza mtoto wake dirishani kwa lengo la kumpiga picha mtoto huyo ili apate Likes nyingi katika mtandao wa Facebook. Baada ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ahamia K. Kusini kwa kuogelea Image caption Ramani ya Korea kaskazini Mwanajeshi mmoja wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini kupitia kuvuka mto Han kwa kuogelea...
3 Reactions
71 Replies
7K Views
JUN 16, 2017 @ 06:49 AM 967 The Little Black Book of Billionaire Secret Commercial Bank of Africa (CBA), the financial institution controlled by President Uhuru Kenyatta’s family, has agreed to...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo nimefikiria sana kuhusu hali ya kisiasa nchini Burundi ambapo mgogoro umeendelea kudumu bila kupatiwa utatuzi wowote, ijapokuwa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin William Mkapa anajitahidi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
SOMALIA: Watu 10 wafariki baada ya wapiganaji wa Al Shabaab kuegesha gari lililotegwa milipuko ktk eneo zilipo ofisi za Serikali. ====== At least 10 people were killed when Shabaab Islamists...
0 Reactions
2 Replies
664 Views
Kuna wasi wasi mkubwa nchini Ureno kuwa viwango vya juu vya joto vinavyoendelea kushuhudiwa nchini humo, huenda vikaanzisha upya mioto katika misitu nchini humo, ambayo tayari imesababisha vifo...
0 Reactions
4 Replies
824 Views
Back
Top Bottom